image

Athari za ugonjwa wa Homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni

Athari za Ugonjwa wa inni.

1. Kutokea kwa saratani ya inni.

Ugonjwa wa inni usipotibiwa unaweza kuleta madhara makubwa ambayo ni kuwepo kwa saratani ya ini, tunajua kuwa inni Lina kazi nyingi kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo likishindwa kufanya kazi yake vizuri matatizo mengi yanaweza kujitokeza kwenye mfumo mzima wa binadamu kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye inni usababisha kuzalishwa kwa seli ambazo haziitajiwi ndizo usababisha saratani kwenye inii.kwa hiyo jamii inapaswa kujua Dalili za Homa ya inni na kupima mara kwa mara na kuangalia kama Kuna maambukizi au Kuna chanjo ya Homa ya inni unatolewa kwa watu wote yaana watoto na watu wazima, kwa hiyo watu wanapaswa kupata chanjo hiyo Ili kujiepusha na janga hili la Homa ya inni.

 

2. Kusinyaa kwa ini.

Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ini kunakuwepo na hali ya kusinyaa kwa ini na hivyo kufanya ini kushindwa kufaulu kazi zake za kawaida ipasavyo kwenye sehemu mbalimbali za mwili na hivyo kuufanya mwili kudhoofika na pengine mgonjwa mengine yanaweza kutokea kwa sababu ya ini kusinyaa na kutofanya kazi zake vizuri kwenye mwili wa binadamu. Kwa hiyo tunapaswa  kutibu ugonjwa huu mapema ipasavyo Ili kuweza kuleta magonjwa mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.

 

3. Kuendelea kusambaa kwa ugonjwa huu wa inni.

Ugonjwa huu wa ini usipotibiwa mapema madhara yake ni kuendelea kusambaa kwa ugonjwa huu kwa sababu watu hawataweza kujiadhari na ugonjwa huu wataendelea kuishi kawaida bila tahadhari yoyote kwa hiyo kitakachotokea ni kuendelea kusambaa kwa watu mbalimbali na hatimaye kuleta madhara makubwa zaidi na kwa wakati mwingine ugonjwa huu usipodhibitiwa mapema unaweza kuleta kifo kwa sababu ni ugonjwa wa hatari.

 

4. Kwa hiyo jamii inapaswa kujua Dalili za ugonjwa wa Homa ya ini, namna ya kuzuia, njia za maambukizi na kuhakikisha kuwa watu wanapatwa chanjo hasa watoto wadogo ambao chanjo zao zina tolewa Bure na kuhakikisha kuwa wale wote wenye Imani potofu kuhusu chanjo ya Homa ya ini wapewe Elimu ya kutosha juu ya chanjo hii.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1259


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

Madhara ya utapia mlo (marasmus)
Utapiamlo Mkali sana (Marasmus) hufafanuliwa kama aina kali ya utapiamlo ambayo ina sifa ya kupoteza. Utapiamlo uliokithiri umeainishwa katika Utapiamlo Mkali sana (SAM) na Utapiamlo Uliokithiri wa Wastani (MAM), kulingana na kiwango cha kupoteza na kuw Soma Zaidi...

Visababishi vya ugonjwa wa Varicose vein
Posti hii inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya ugonjwa wa vericose veini, ni visababishi mbalimbali ambavyo utokea kwenye mtindo wa maisha kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni
Somo hili linakwenda kukuletea sababu za maumivu ya tumbo kitovu i Soma Zaidi...

Yajue magonjwa nyemelezi.
Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi ambayo kwa kawaida utokea pale ambapo kinga ya mwili inashuka. Soma Zaidi...

Sababu za Maambukizi kwenye mifupa.
Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster Soma Zaidi...

MARADHI MAKUU HATARI MATANO (5) YANAYOENEZWA KWA KUNG'ATWA NA MBU (malaria ndio inachukua nafasi ya kwanza)
1. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nye Soma Zaidi...

Maradhi ya macho, dalili zake na matibabu yake
Makala hii itakufundisha maradho makuu ya macho, matibabu yake na tiba zake Soma Zaidi...

Huduma kwa walio na matatizo ya asili nyingi mwilini
Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wale ambao tayari wameshakuwa na tatizo la asidi mwilini, ni njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza tatizo hili au Mgonjwa anapoendelea kupata matibabu. Soma Zaidi...

MARADHI MENGINE 10 YANAYOTOKANA NA MBU ( matende, ngirimaji, homa ya manjano, n.k
Tofauti na maradhi yaliyotajwa hapo juu pia tafiti za kisayansi zimethibitisha kuwepo kwa maradhi mengine hatari yanayosambazwa na mbu, kama vile ngirimaji pamoja na matende. Soma Zaidi...

kuna uhusiano gani kati ya masundosundo naukimwi na je mtu anaweza asiwe nadalili zote hizo hulizo ziainisha akatokewa na masundosundo
Soma Zaidi...