Navigation Menu



image

Athari za ugonjwa wa Homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni

Athari za Ugonjwa wa inni.

1. Kutokea kwa saratani ya inni.

Ugonjwa wa inni usipotibiwa unaweza kuleta madhara makubwa ambayo ni kuwepo kwa saratani ya ini, tunajua kuwa inni Lina kazi nyingi kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo likishindwa kufanya kazi yake vizuri matatizo mengi yanaweza kujitokeza kwenye mfumo mzima wa binadamu kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye inni usababisha kuzalishwa kwa seli ambazo haziitajiwi ndizo usababisha saratani kwenye inii.kwa hiyo jamii inapaswa kujua Dalili za Homa ya inni na kupima mara kwa mara na kuangalia kama Kuna maambukizi au Kuna chanjo ya Homa ya inni unatolewa kwa watu wote yaana watoto na watu wazima, kwa hiyo watu wanapaswa kupata chanjo hiyo Ili kujiepusha na janga hili la Homa ya inni.

 

2. Kusinyaa kwa ini.

Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ini kunakuwepo na hali ya kusinyaa kwa ini na hivyo kufanya ini kushindwa kufaulu kazi zake za kawaida ipasavyo kwenye sehemu mbalimbali za mwili na hivyo kuufanya mwili kudhoofika na pengine mgonjwa mengine yanaweza kutokea kwa sababu ya ini kusinyaa na kutofanya kazi zake vizuri kwenye mwili wa binadamu. Kwa hiyo tunapaswa  kutibu ugonjwa huu mapema ipasavyo Ili kuweza kuleta magonjwa mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.

 

3. Kuendelea kusambaa kwa ugonjwa huu wa inni.

Ugonjwa huu wa ini usipotibiwa mapema madhara yake ni kuendelea kusambaa kwa ugonjwa huu kwa sababu watu hawataweza kujiadhari na ugonjwa huu wataendelea kuishi kawaida bila tahadhari yoyote kwa hiyo kitakachotokea ni kuendelea kusambaa kwa watu mbalimbali na hatimaye kuleta madhara makubwa zaidi na kwa wakati mwingine ugonjwa huu usipodhibitiwa mapema unaweza kuleta kifo kwa sababu ni ugonjwa wa hatari.

 

4. Kwa hiyo jamii inapaswa kujua Dalili za ugonjwa wa Homa ya ini, namna ya kuzuia, njia za maambukizi na kuhakikisha kuwa watu wanapatwa chanjo hasa watoto wadogo ambao chanjo zao zina tolewa Bure na kuhakikisha kuwa wale wote wenye Imani potofu kuhusu chanjo ya Homa ya ini wapewe Elimu ya kutosha juu ya chanjo hii.






           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1329


Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰3 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰5 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰6 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu ni madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa pale ambapo matibabu yanapokuwa hayatolewi kwa mgonjwa wa maumivu chini ya kitovu. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nye Soma Zaidi...

Mambo ambayo yanaweza kuongeza hatari ya Ugonjwa wa Homa ya ini yenye sumu.
Posti hii inazungumzia zaidi kuhusiana na Homa ya ini yenye sumu ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuguswa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, madawa ya kulevya au virutubisho vya lis Soma Zaidi...

dalili za ukimwi huchukua muda gani?
Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya maradhi haya ya ukimwi, dalili zake, tiba na kinga zake na mengineyo zaidi. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa Bawasili
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Bawasili, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mgonjwa ambaye ana ugonjwa wa Bawasili. Soma Zaidi...

Dalili za maambukizi kwenye milija(fallopian tube)
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa UTI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ambao kwa kitaalamu huitwa Dementia ugonjwa huu uwapata wale ambao umri umekwenda lakini kwa wakati mwingine Usababishwa na vitu mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

fangasi, aina zao, dalili zao na matibabu yao
Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n. Soma Zaidi...

MAMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO
MAMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO Tukiachia mbali kuchukua dawa aina ya NSAIDs, unaweza kuwa na hatari ya kuongezeka kwa vidonda vya tumbo ikiwa: Utakuwa ni mvutaji wa sigara. Soma Zaidi...

ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO: maumivu ya tumbo, kichwa, kutapika damu, kichefuchefu, miwasho
ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO Kukaa na minyoo na kutoitibu kwa muda mrefu kunaweza kusababisha madhara mengi hususani kwenye ini na maeneo mengine ya mfumo wa kumeng’enya chakula. Soma Zaidi...

UGNJWA WA UTI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...