Athari za ugonjwa wa Homa ya inni


image


Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni


Athari za Ugonjwa wa inni.

1. Kutokea kwa saratani ya inni.

Ugonjwa wa inni usipotibiwa unaweza kuleta madhara makubwa ambayo ni kuwepo kwa saratani ya ini, tunajua kuwa inni Lina kazi nyingi kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo likishindwa kufanya kazi yake vizuri matatizo mengi yanaweza kujitokeza kwenye mfumo mzima wa binadamu kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye inni usababisha kuzalishwa kwa seli ambazo haziitajiwi ndizo usababisha saratani kwenye inii.kwa hiyo jamii inapaswa kujua Dalili za Homa ya inni na kupima mara kwa mara na kuangalia kama Kuna maambukizi au Kuna chanjo ya Homa ya inni unatolewa kwa watu wote yaana watoto na watu wazima, kwa hiyo watu wanapaswa kupata chanjo hiyo Ili kujiepusha na janga hili la Homa ya inni.

 

2. Kusinyaa kwa ini.

Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ini kunakuwepo na hali ya kusinyaa kwa ini na hivyo kufanya ini kushindwa kufaulu kazi zake za kawaida ipasavyo kwenye sehemu mbalimbali za mwili na hivyo kuufanya mwili kudhoofika na pengine mgonjwa mengine yanaweza kutokea kwa sababu ya ini kusinyaa na kutofanya kazi zake vizuri kwenye mwili wa binadamu. Kwa hiyo tunapaswa  kutibu ugonjwa huu mapema ipasavyo Ili kuweza kuleta magonjwa mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.

 

3. Kuendelea kusambaa kwa ugonjwa huu wa inni.

Ugonjwa huu wa ini usipotibiwa mapema madhara yake ni kuendelea kusambaa kwa ugonjwa huu kwa sababu watu hawataweza kujiadhari na ugonjwa huu wataendelea kuishi kawaida bila tahadhari yoyote kwa hiyo kitakachotokea ni kuendelea kusambaa kwa watu mbalimbali na hatimaye kuleta madhara makubwa zaidi na kwa wakati mwingine ugonjwa huu usipodhibitiwa mapema unaweza kuleta kifo kwa sababu ni ugonjwa wa hatari.

 

4. Kwa hiyo jamii inapaswa kujua Dalili za ugonjwa wa Homa ya ini, namna ya kuzuia, njia za maambukizi na kuhakikisha kuwa watu wanapatwa chanjo hasa watoto wadogo ambao chanjo zao zina tolewa Bure na kuhakikisha kuwa wale wote wenye Imani potofu kuhusu chanjo ya Homa ya ini wapewe Elimu ya kutosha juu ya chanjo hii.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Sababu zinazoweza kumfanya figo kuharibika.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kufanya figo kuharibika.hili ni janga ambalo linawakumba Watu wengi siku hizi na kusababisha kupoteza maisha kwa wagonjwa wa figo hasa hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kulipia hela ya kusafishia figo. Soma Zaidi...

image Dalili na madhara ya Kiungulia
post hii inaelezea kuhusiana na dalili au ishara na madhara ya Kiungulia ni maumivu ya moto kwenye kifua chako, nyuma ya mfupa wako wa kifua. Maumivu huwa mabaya zaidi wakati wa kulala au kuinama Soma Zaidi...

image Dalili za kuvunjika kwa nyonga
Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri. Soma Zaidi...

image Huduma za msingi kwa mama mjamzito na mtoto.
Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa hiyo anapaswa kupewa huduma muhimu kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Yanayoathiri afya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayoathiri afya Soma Zaidi...

image Namna ya kumtunza mtoto aliyezaliwa
Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa. Soma Zaidi...

image Vyakula vya madini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini Soma Zaidi...

image Njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa macho.
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa macho, ugonjwa huu kwa kawaida una dalili kuu tano kadri ya maambukizi yanavyoongezeka na madhara yake kwa hiyo tunapaswa kujua dalili hizo Kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Mkojo mchafu na Rangi za mikojo na maana zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Rangi za mkojo na maana zake na mkojo mchafu Soma Zaidi...