Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa ambapo mgonjwa hushindwa kupumua vizuri na hupelekea matatizo ya kudumu kama haujatibiwa mapema.
Dalili za ugonjwa wa pumu
1. Kubanwa na kifua
2. Kupumua kwa shida
3. Kikohoa
4. Mlio wa kupumua huwa kama sauti ya filimbi
5.hewa huwa fupi wakati wa kupumua.
Aina ya ugonjwa wa pumu
1. Pumu ya mda
Hii ni Aina ya pumu ambayo huchukua mda mfupi na inaweza kutibiwa na ikaisha kabisa.
2. Pumu ya kudumu
Hii ni Aina ya pumu ambayo huchukua mda mrefu na mtu anaweza kuishi nayo maisha yake yote Ila Kuna dawa ambayo hutumika Ili kupunguza makali na kutumia kwa mda.
Zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa pumu,kufuata a na wataalamu mbalimbali hakuna sababu za moja kwa moja zinazosababisha pumu Ila Kuna viashilia ka vifuatavyo
. 1- Uchafuzi wa Hali ya hewa
. 2- Kemikali mbalimbali
.3. harufu ya Maua na mimes
.4. vipodozi
.5. pamoja na vumbi
Namna ya kutibu ugonjwa wa pumu
Ugonjwa huu ukiuwahi unatibika hospitalin, pia kujitahidi kujiepusha na mazingira yanayosababisha kuwepo kwa pumu na kufuata maagizo ya wataalamu.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3576
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5 Kitau cha Fiqh
👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno
Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume. Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu ugonjwa wa makende kushindwa kushuka
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara Soma Zaidi...
Tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nina minyoo
Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo. Soma Zaidi...
Kwanini prsha yangu haitaki kukasawa
Soma Zaidi...
FANGASI NA MADHARA YAO KIAFYA: FANGASI WA SEHEMU ZA SIRI NA NYAYONI
Soma Zaidi...
Najis nina fangasi nawashwa sehem za sili pia korodan zinawaka kama moto pia nahsi kupungukiwa nguvu
Soma Zaidi...
Homa ya ini Nini Nini, na husababishwa na nini
Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake. Soma Zaidi...
Maradhi ya Ini na dalili zake, na vipi utajikinga nayo
MAGONJWA YA INI NA DALILIZAKE, NA KUKABILIANA NAYO Ini ni katika viungo vikuu katika mwili wa binadamu. Soma Zaidi...
Ufahamu ugonjwa wa UTI na dalili zake hasa kwa wajawazito
Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI Soma Zaidi...
Msaada kwa wenye Maambukizi kwenye mifupa
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwahudumia wenye Maambukizi kwenye mifupa, ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuwasaidia wenye Maambukizi kwenye mifupa. Soma Zaidi...
Dalili na ishara za Ugonjwa wa akili.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa akili . Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.zifuatazo ni njia zinazoweza kutumika kama mtu amepata uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Soma Zaidi...