Sababu za ugonjwa wa pumu, dalili zake na jinsi ya kujilinda na pumu.
Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa ambapo mgonjwa hushindwa kupumua vizuri na hupelekea matatizo ya kudumu kama haujatibiwa mapema.
Dalili za ugonjwa wa pumu
1. Kubanwa na kifua
2. Kupumua kwa shida
3. Kikohoa
4. Mlio wa kupumua huwa kama sauti ya filimbi
5.hewa huwa fupi wakati wa kupumua.
Aina ya ugonjwa wa pumu
1. Pumu ya mda
Hii ni Aina ya pumu ambayo huchukua mda mfupi na inaweza kutibiwa na ikaisha kabisa.
2. Pumu ya kudumu
Hii ni Aina ya pumu ambayo huchukua mda mrefu na mtu anaweza kuishi nayo maisha yake yote Ila Kuna dawa ambayo hutumika Ili kupunguza makali na kutumia kwa mda.
Zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa pumu,kufuata a na wataalamu mbalimbali hakuna sababu za moja kwa moja zinazosababisha pumu Ila Kuna viashilia ka vifuatavyo
. 1- Uchafuzi wa Hali ya hewa
. 2- Kemikali mbalimbali
.3. harufu ya Maua na mimes
.4. vipodozi
.5. pamoja na vumbi
Namna ya kutibu ugonjwa wa pumu
Ugonjwa huu ukiuwahi unatibika hospitalin, pia kujitahidi kujiepusha na mazingira yanayosababisha kuwepo kwa pumu na kufuata maagizo ya wataalamu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 web hosting 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Dalili za maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo,ni dalili ambazo ujionesha kwa mtu akiwa na shida kwenye utumbo mdogo na tumbo la kawaida.
Soma Zaidi...Ninashida Kuna mtu anaumwa pressure Kila anap pima Iko juu il mwil aumuumi at kidg n dawa anatumia unawez kunisaidiaj
Kama unasumbuliwa na presha post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakuoatia ushauri kutokana na swali alilouliza mdau wetu.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kisukari
Ugonjwa wa kisukari hurejelea kundi la magonjwa yanayoathiri jinsi mwili wako unavyotumia sukari kwenye damu (glucose). Glucose ni muhimu kwa afya yako kwa sababu ni chanzo muhimu cha nishati kwa seli zinazounda misuli na tishu zako. Pia ndio chanzo ki
Soma Zaidi...Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nye
Soma Zaidi...Dalili za kuvimbiwa kwa watoto.
Kuvimbiwa kwa watoto ni shida ya kawaida. Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi huonyeshwa na kinyesi kisicho kawaida au kinyesi ngumu na kavu.
Soma Zaidi...Vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume
Suala la nguvu za kiume limekuwa likijadiliwa kwa miaka mingi, mara nyingi likiambatana na ahadi za miujiza na tiba za siri. Makala haya yanachambua ukweli wa kisayansi kuhusu jinsi lishe inavyoweza kuimarisha uwezo wa kiume, yakitaja vyakula halisi vinavyoboresha mzunguko wa damu na homoni, pamoja na kufanya tathmini ya ukweli (fact check) dhidi ya dhana potofu zilizosambaa mitaani.
Soma Zaidi...