Sababu za ugonjwa wa pumu, dalili zake na jinsi ya kujilinda na pumu.
Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa ambapo mgonjwa hushindwa kupumua vizuri na hupelekea matatizo ya kudumu kama haujatibiwa mapema.
Dalili za ugonjwa wa pumu
1. Kubanwa na kifua
2. Kupumua kwa shida
3. Kikohoa
4. Mlio wa kupumua huwa kama sauti ya filimbi
5.hewa huwa fupi wakati wa kupumua.
Aina ya ugonjwa wa pumu
1. Pumu ya mda
Hii ni Aina ya pumu ambayo huchukua mda mfupi na inaweza kutibiwa na ikaisha kabisa.
2. Pumu ya kudumu
Hii ni Aina ya pumu ambayo huchukua mda mrefu na mtu anaweza kuishi nayo maisha yake yote Ila Kuna dawa ambayo hutumika Ili kupunguza makali na kutumia kwa mda.
Zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa pumu,kufuata a na wataalamu mbalimbali hakuna sababu za moja kwa moja zinazosababisha pumu Ila Kuna viashilia ka vifuatavyo
. 1- Uchafuzi wa Hali ya hewa
. 2- Kemikali mbalimbali
.3. harufu ya Maua na mimes
.4. vipodozi
.5. pamoja na vumbi
Namna ya kutibu ugonjwa wa pumu
Ugonjwa huu ukiuwahi unatibika hospitalin, pia kujitahidi kujiepusha na mazingira yanayosababisha kuwepo kwa pumu na kufuata maagizo ya wataalamu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Aina mbalimbali za michubuko
Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za michubuko,kwa Sababu michubuko utokea sehemu tofauti tofauti na pia Kuna aina mbalimbali kama tutakavyoona hapo mbeleni.
Soma Zaidi...Ndugu mke Wang viungo vina mlegea miguu inamuaka moto nn tatozo
Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii.
Soma Zaidi...Ni bakteria gani husababisha ugonjwa wa pumu
Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu.
Soma Zaidi...Dalili za ugonjwa wa fungusi uken
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo.
Soma Zaidi...Chanzo cha kiungulia
Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki.
Soma Zaidi...