Mambo yanayoweza kutoa udhu wako
Post hii itakufundisha mambo ambayo yanabatilisha udhu.
Udhu unaweza kuharibika kwa sababu ya Moja kati ya mambo yafuatayo:-
- Kutokwa na upepo (kujamba)
- Kulala ulalaji usio wa kukaa
- Kutokwa na haja ndogo (mkojo)
- Kutokwa na haja kubwa au ndogo
- Kuzimia
- Kutokwa na hedhi
- Kutokwa na madii
- Kutokwa na madii
- Kutokwa na akili kwa kulewa ama maradhi
- Kutokwa na damu ya ugonjwa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 ai web app 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Kitau cha Fiqh
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 ai web app 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Hadathi ya kati na kati
Posti hiibinakwenda kukufundisha kuhusu hadathi ya kati na kati.
Soma Zaidi...