Mambo yanayoweza kutoa udhu wako
Post hii itakufundisha mambo ambayo yanabatilisha udhu.
Udhu unaweza kuharibika kwa sababu ya Moja kati ya mambo yafuatayo:-
- Kutokwa na upepo (kujamba)
- Kulala ulalaji usio wa kukaa
- Kutokwa na haja ndogo (mkojo)
- Kutokwa na haja kubwa au ndogo
- Kuzimia
- Kutokwa na hedhi
- Kutokwa na madii
- Kutokwa na madii
- Kutokwa na akili kwa kulewa ama maradhi
- Kutokwa na damu ya ugonjwa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐1 Madrasa kiganjani ๐2 Kitau cha Fiqh ๐3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐4 ai web app ๐5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐6 Kitabu cha Afya
๐1 Madrasa kiganjani ๐2 Kitau cha Fiqh ๐3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐4 ai web app ๐5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Jinsi ya kuswali swala vitani
Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika ilibkuswalibukiwa vitani.
Soma Zaidi...Hatua za kinga za ugumba na Utasa.
Ugumba ni รขโฌลugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasaรย kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba.
Soma Zaidi...Mafungu ya mirathi katika uislamu
Mafungu ya urithi yaliyotajwa katika haya sita yafutayo:1.
Soma Zaidi...Namna ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa.
Post hii inakwenda kukugundisha jinsi ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...