Aina za kifua kikuu.
Posti hii inahusu zaidi aina mbili za kifua kikuu, aina ya kwanza ni ile ya kawaida ambayo ushambulia mapafu na aina ya pili ni ile ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye limfu node, kwenye sehemu za moyo, kwenye uti wa mgongo, kwen
Aina za kifua kikuu.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua aina ya pili ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili, na yenyewe iko kwenye makundi mawili,ambapo kundi la kwanza ni lile ambalo kama Ugonjwa umekaa mda mrefu bila kutibiwa na kundi la pili huwa na sifa mbalimbali na za kawaida ambazo uweza kutibika kwa urahisi kuliko la kwanza.
2. Kwa hiyo kundi la kwanza mgonjwa uwa na matatizo kwenye sehemu ya ubongo ambayo kwa kitaalamu huitwa Tb meningitis ambapo mgonjwa uweza kufikia pabaya hasa kwa upande wa kufikiri pale Ugonjwa kama haujatibiwa mapema.
3. Matatizo kwe uti wa mgongo.
Kwa sababu ni vigumu sana kutambua kwamba Tatizo kwenye uti wa mgongo ni kutokana na kuwepo kwa kifua kikuu hali ambayo Usababisha maumivu ya mda mrefu kwenye uti wa mgongo na pengine watu wanaweza kutumia madawa mengi ya kutibu mgongo bila mafanikio yoyote kwa hiyo kupima ni lazima.
4. Vile vile kuna uwezekano wa kuwepo kwa ma tatizo kwenye via vya uzazi kwa kuwepo kwa maumivu yasiyokuwa na kipimo na mgonjwa anaweza kutumia dawa bila ya kupata nafuu yoyote ila akija kuchukua vipimo na kugundua kwamba ni Tb anaweza kutumia dawa na kupona.
5. Kwa kuwa aina hii ya Tb haijajulikana sana na watu na pia ni vigumu kugundua kwa hiyo ikitokea mtu akapata maumivu au hali isiyoeleweka kwenye sehemu mbalimbali kama vile kwenye via vya uzazi, sehemu za moyo hasa kwenye perikadium, kwenye joint, kwenye tumbo ni lazima kupima vipimo mbalimbali ili kugundua kama ni Tb au ni kitu kingine kwa sababu ni vigumu sana kugundua Tb ya kwenye sehemu mbalimbali kama hizi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha
Soma Zaidi...Dalili za Kuvimbiwa kwa watoto
Posti hii inazungumzia kuhusiana Kuvimbiwa kwa watoto ni tatizo la kawaida.Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi kuna sifa ya kupata haja kubwa mara kwa mara au kinyesi kigumu, kikavu. Sababu mbalimbali zinaweza kusababisha kuvimbiwa kwa watoto.Sababu za kawa
Soma Zaidi...Dalilili za tetekwanga
posti hii inazungumziaTetekuwanga . Tetekwanga(varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, kama vile upele. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya mara kwa mara
Soma Zaidi...Magonjwa ya kuambukiza
Magonjwa ya kuambukiza: Ni yale yanayoweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine au kutoka kwa wanyama kwenda kwa mtu Mlipuko tukio lililoenea la ugonjwa katika jamii kwa wakati fulani ambao huonekana kama kesi mpya kwa kiwango ambacho kinazi
Soma Zaidi...Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa
Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa.
Soma Zaidi...