picha

Aina za kifua kikuu.

Posti hii inahusu zaidi aina mbili za kifua kikuu, aina ya kwanza ni ile ya kawaida ambayo ushambulia mapafu na aina ya pili ni ile ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye limfu node, kwenye sehemu za moyo, kwenye uti wa mgongo, kwen

Aina za kifua kikuu.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua aina ya pili ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili, na yenyewe iko kwenye makundi mawili,ambapo kundi la kwanza ni lile ambalo kama Ugonjwa umekaa mda mrefu bila kutibiwa na kundi la pili huwa na sifa mbalimbali na za kawaida ambazo uweza kutibika kwa urahisi kuliko la kwanza.

 

2. Kwa hiyo kundi la kwanza mgonjwa uwa na matatizo kwenye sehemu ya ubongo ambayo kwa kitaalamu huitwa Tb meningitis ambapo mgonjwa uweza kufikia pabaya hasa kwa upande wa kufikiri pale Ugonjwa kama haujatibiwa mapema.

 

3. Matatizo kwe uti wa mgongo.

Kwa sababu ni vigumu sana kutambua kwamba Tatizo kwenye uti wa mgongo ni kutokana na kuwepo kwa kifua kikuu hali ambayo Usababisha maumivu ya mda mrefu kwenye uti wa mgongo na pengine watu wanaweza kutumia madawa mengi ya kutibu mgongo bila mafanikio yoyote kwa hiyo kupima ni lazima.

 

4. Vile vile kuna uwezekano wa kuwepo kwa ma tatizo kwenye via vya uzazi kwa kuwepo kwa maumivu yasiyokuwa na kipimo na mgonjwa anaweza kutumia dawa bila ya kupata nafuu yoyote ila akija kuchukua vipimo na kugundua kwamba ni Tb anaweza kutumia dawa na kupona.

 

5. Kwa kuwa aina hii ya Tb haijajulikana sana na watu na pia ni vigumu kugundua kwa hiyo ikitokea mtu akapata maumivu au hali isiyoeleweka kwenye sehemu mbalimbali kama vile kwenye via vya uzazi, sehemu za moyo hasa kwenye perikadium, kwenye joint, kwenye tumbo ni lazima kupima vipimo mbalimbali ili kugundua kama ni Tb au ni kitu kingine kwa sababu ni vigumu sana kugundua Tb ya kwenye sehemu mbalimbali kama hizi.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1993

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 ai web app     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Kuona damu kwenye mkojo

Kuona damu kwenye mkojo kunaweza kusababisha wasiwasi. Ingawa katika hali nyingi kuna sababu zisizofaa, Damu kwenye mkojo (hematuria) pia inaweza kuonyesha ugonjwa mbaya.

Soma Zaidi...
Aina za saratani ( cancer)

Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kisukari aina ya 1 (type 1)

Kisukari cha Aina ya 1, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha changa au Kisukari kitegemeacho insulini, ni hali sugu ambapo kongosho hutoa insulini kidogo au haitoi kabisa, homoni inayohitajika kuruhusu sukari (glucose) iingie kwenye se

Soma Zaidi...
Vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa UTI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ugonjwa wa UTI

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga

Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali

Soma Zaidi...