Aina za kifua kikuu.

Posti hii inahusu zaidi aina mbili za kifua kikuu, aina ya kwanza ni ile ya kawaida ambayo ushambulia mapafu na aina ya pili ni ile ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye limfu node, kwenye sehemu za moyo, kwenye uti wa mgongo, kwen

Aina za kifua kikuu.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua aina ya pili ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili, na yenyewe iko kwenye makundi mawili,ambapo kundi la kwanza ni lile ambalo kama Ugonjwa umekaa mda mrefu bila kutibiwa na kundi la pili huwa na sifa mbalimbali na za kawaida ambazo uweza kutibika kwa urahisi kuliko la kwanza.

 

2. Kwa hiyo kundi la kwanza mgonjwa uwa na matatizo kwenye sehemu ya ubongo ambayo kwa kitaalamu huitwa Tb meningitis ambapo mgonjwa uweza kufikia pabaya hasa kwa upande wa kufikiri pale Ugonjwa kama haujatibiwa mapema.

 

3. Matatizo kwe uti wa mgongo.

Kwa sababu ni vigumu sana kutambua kwamba Tatizo kwenye uti wa mgongo ni kutokana na kuwepo kwa kifua kikuu hali ambayo Usababisha maumivu ya mda mrefu kwenye uti wa mgongo na pengine watu wanaweza kutumia madawa mengi ya kutibu mgongo bila mafanikio yoyote kwa hiyo kupima ni lazima.

 

4. Vile vile kuna uwezekano wa kuwepo kwa ma tatizo kwenye via vya uzazi kwa kuwepo kwa maumivu yasiyokuwa na kipimo na mgonjwa anaweza kutumia dawa bila ya kupata nafuu yoyote ila akija kuchukua vipimo na kugundua kwamba ni Tb anaweza kutumia dawa na kupona.

 

5. Kwa kuwa aina hii ya Tb haijajulikana sana na watu na pia ni vigumu kugundua kwa hiyo ikitokea mtu akapata maumivu au hali isiyoeleweka kwenye sehemu mbalimbali kama vile kwenye via vya uzazi, sehemu za moyo hasa kwenye perikadium, kwenye joint, kwenye tumbo ni lazima kupima vipimo mbalimbali ili kugundua kama ni Tb au ni kitu kingine kwa sababu ni vigumu sana kugundua Tb ya kwenye sehemu mbalimbali kama hizi.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1677

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Dalili za VVU/UKIMWI Ni zipi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za VVU/ UKIMWI

Soma Zaidi...
Matibabu ya fangasi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya fangasi

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za michubuko

Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za michubuko,kwa Sababu michubuko utokea sehemu tofauti tofauti na pia Kuna aina mbalimbali kama tutakavyoona hapo mbeleni.

Soma Zaidi...
Tatizo la Kikohozi Cha muda mrefu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kikohozi cha muda mrefu ni zaidi ya kero. Kikohozi cha muda mrefu kinaweza kuharibu usingizi wako na kukuacha unahisi uchovu. Matukio makali ya kikohozi cha muda mrefu yanaweza kusababisha kutapika, kizunguz

Soma Zaidi...
Dalili za fangasi Mdomoni.

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za fangasi Mdomoni kwa watoto, vijana, watu wazima na mama wanaonyonyeshwa.

Soma Zaidi...
Dalilili za tetekwanga

posti hii inazungumziaTetekuwanga . Tetekwanga(varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, kama vile upele. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya mara kwa mara

Soma Zaidi...
Walio kwenye hatari ya kupata UTI

Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake

Soma Zaidi...
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?

Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili.

Soma Zaidi...
Nini chanzo cha malaria

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu chanzo cha ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...