Fahamu kuhusu Ugonjwa wa pre - eclampsia

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa pre- eclampsia ni Ugonjwa ambao uwapata wanawake wajawazito uwapata pale mimba inapofikisha umri wa wiki ishilini, utokea pale ambapo Mama mjamzito huwa na kiwango kikubwa cha shinikizo la damu na pia kuwepo kwa protini

Fahamu kuhusu Ugonjwa wa pre- eclampsia.

1.Kama tulivyoona hapo juu kwamba Ugonjwa huu usababishwa na kuwepo kwa shinikizo la damu pamoja na protini kwenye mkojo,kwa hiyo tunapaswa kufahamu kwamba Mama kabla hajabeba mimba anakuwa hana tatizo hili lakini akibeba mimba ndipo mabadiliko utokea kwa mjamzito kwa hiyo Mama mwenye Tatizo hili anapaswa kuangaliwa kwa karibu zaidi ili aweze kufikia wakati wa kujifungua kwa usalama, na walio wengi wakijifungua matatizo ya aina hii uisha kabisa.

 

2.Kwa hiyo kuna aina mbili ya ugonjwa huu wa eclampsia, kuna eclampsia ya kawaida na isiyo ya kawaida, tunaweza kuzitambua kwa kutumia vipimo vya shinikizo la damu na kuipima kiwango cha protini kwenye mkojo.

 

3. Pre - eclampsia ya kawaida utokea kwa kupima presha ya chini ambayo kwa kitaalamu huitwa dystolic presha, kwa kawaida presha ya chini ya kawaida inapaswa kuanzia sitini mpaka tisini, ila kwa mgonjwa wa pre-eclampsia presha ya chini uanzia tisini na haizidi mia na kumi, na pia kiwango cha protini kwenye mkojo ufika 2+ kwa hiyo aina hizi kwa mgonjwa uweza kuonekana za kawaida ila mama anapaswa kutunzwa kwa uangalizi zaidi.

 

4. Aina ya pili ya pre-eclampsia. Nia pale ambapo shinikizo la damu yaani presha ya juu na chini huwa juu, ambapo presha ya chini uanzia mia na kumi na ya juu ufika mia sitini na kuendelea, tunajua wazi kuwa presha ya juu uanzia mia ishirini na kuisha mua arobaini ikizidi hapo sio ya kawaida, kwa hiyo Mama wa hivi anapaswa kuwa na uangalizi wa karibu kutoka kwa wahudumu wa afya ili aweze kuepuka kuwepo kwa kifafa cha Mimba.

 

5.Kwa hiyo baada ya kujua hayo tunapaswa kuwahi kwenda kliniki mara tu ugunduapo uko mja mzito kwa sababu ya kuchukua vipimo mbalimbali ili kuweza kuokoa Maisha ya Mama na mtoto, na jamii inapaswa kuepukana mila na destory zinazoweza kufanya tatizo likawa kubwa kwa sababu ya kwenda kwa waganga na kusababisha madhara yasiyo tarajiwa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1986

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Sababu za ugonjwa wa mkojo kuwa na damu

Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu.

Soma Zaidi...
Dalili za upotevu wa kusikia

posti hii inazungumzia kuhusiana na Upotevu wa kusikia unaotokea hatua kwa hatua kadri umri unavyozeeka (presbycusis) ni jambo la kawaida. T Kwa wale walio na umri wa zaidi ya miaka 75, idadi ya watu walio na  upotezaji wa kusikia inakaribia 1 kati y

Soma Zaidi...
Jifunze kuhusu ugonjwa wa bawasiri na dalili zake

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu ugonjwa wa Bawasiri na dalili zake. Pia utajifunza njia za kujilinda nao.

Soma Zaidi...
MJUE MBU, NA YAJUWE MARADHI MAKUU MATANO (5) HATARI YANAYOAMBUKIZWA NA MBU, malaria kukamata namba moja kwenye maradhi hayo)

Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu.

Soma Zaidi...
Kuhusu HIV na UKIMWI

Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI

Soma Zaidi...
Aina za saratani ( cancer)

Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida.

Soma Zaidi...
Dalili za Mgonjwa wa kisukari

Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa ana Ugonjwa wa kisukari.zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari.

Soma Zaidi...
Minyoo Ni nini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya minyoo

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto.

Soma Zaidi...
Dalili za UTI

Somo hili linakwenda kukuletea dalili za UTI

Soma Zaidi...