Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa pre- eclampsia ni Ugonjwa ambao uwapata wanawake wajawazito uwapata pale mimba inapofikisha umri wa wiki ishilini, utokea pale ambapo Mama mjamzito huwa na kiwango kikubwa cha shinikizo la damu na pia kuwepo kwa protini
1.Kama tulivyoona hapo juu kwamba Ugonjwa huu usababishwa na kuwepo kwa shinikizo la damu pamoja na protini kwenye mkojo,kwa hiyo tunapaswa kufahamu kwamba Mama kabla hajabeba mimba anakuwa hana tatizo hili lakini akibeba mimba ndipo mabadiliko utokea kwa mjamzito kwa hiyo Mama mwenye Tatizo hili anapaswa kuangaliwa kwa karibu zaidi ili aweze kufikia wakati wa kujifungua kwa usalama, na walio wengi wakijifungua matatizo ya aina hii uisha kabisa.
2.Kwa hiyo kuna aina mbili ya ugonjwa huu wa eclampsia, kuna eclampsia ya kawaida na isiyo ya kawaida, tunaweza kuzitambua kwa kutumia vipimo vya shinikizo la damu na kuipima kiwango cha protini kwenye mkojo.
3. Pre - eclampsia ya kawaida utokea kwa kupima presha ya chini ambayo kwa kitaalamu huitwa dystolic presha, kwa kawaida presha ya chini ya kawaida inapaswa kuanzia sitini mpaka tisini, ila kwa mgonjwa wa pre-eclampsia presha ya chini uanzia tisini na haizidi mia na kumi, na pia kiwango cha protini kwenye mkojo ufika 2+ kwa hiyo aina hizi kwa mgonjwa uweza kuonekana za kawaida ila mama anapaswa kutunzwa kwa uangalizi zaidi.
4. Aina ya pili ya pre-eclampsia. Nia pale ambapo shinikizo la damu yaani presha ya juu na chini huwa juu, ambapo presha ya chini uanzia mia na kumi na ya juu ufika mia sitini na kuendelea, tunajua wazi kuwa presha ya juu uanzia mia ishirini na kuisha mua arobaini ikizidi hapo sio ya kawaida, kwa hiyo Mama wa hivi anapaswa kuwa na uangalizi wa karibu kutoka kwa wahudumu wa afya ili aweze kuepuka kuwepo kwa kifafa cha Mimba.
5.Kwa hiyo baada ya kujua hayo tunapaswa kuwahi kwenda kliniki mara tu ugunduapo uko mja mzito kwa sababu ya kuchukua vipimo mbalimbali ili kuweza kuokoa Maisha ya Mama na mtoto, na jamii inapaswa kuepukana mila na destory zinazoweza kufanya tatizo likawa kubwa kwa sababu ya kwenda kwa waganga na kusababisha madhara yasiyo tarajiwa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowPosti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa macho, ugonjwa huu kwa kawaida una dalili kuu tano kadri ya maambukizi yanavyoongezeka na madhara yake kwa hiyo tunapaswa kujua dalili hizo Kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Minyoo ni katika viume wanyonyaji, wanaoishi katika miili ya viumbe hai na kujipatia chakula humo. Minyoo wanaweza kuishi kwenye maeneo yenye majimaji kama kwenye maji, ndani ya viumembe hai kama mtu, ngombe, ngure na paka. Minyoo pia wanaweza kuishi kwen
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Saratani ya kibofu cha nyongo ni Saratani inayoanzia kwenye kibofu cha nyongo. Nyongo yako ni kiungo kidogo, chenye umbo la peari upande wa kulia wa tumbo lako, chini ya ini lako. Kibofu cha nyongo huhifadhi nyongo, Kioevu cha usaga
Soma Zaidi...Kisukari cha Aina ya 2, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha watu wazima au kisichotegemea insulini, ni ugonjwa sugu unaoathiri jinsi mwili wako unavyobadilisha sukari (glucose), chanzo muhimu cha nishati ya mwili wako.
Soma Zaidi...Haya ni maradhi ambayo husambazwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu kwa kupitia mbu.
Soma Zaidi...