Dalili 10 za kukaribia kujifungua pamoja na uchungu wa kujifungua

Dalili 10 za kukaribia kujifungua pamoja na uchungu wa kujifungua

Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dalili 10 za kukaribia kujifungua pamoja na uchungu wa kujifungua



Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Bofya hapa


DALILI 10 ZA KUKARIBIA KUJIFUNGUA
Kwa muda mreefu mwanamke amesubiria siku ya kujifungua na mtoto mpya kutokea duniani. Wanawake wanahitaji kuitambua siku hii vyema ili yasijetokea mengine mabaya. Kwa kuwa dalili hizi zinakuja kwa namna tofauti anaweza kujikuta mjamzito akamzalia mwanae kwenye tundu la choo. Makala hii itakuorodheshea dalili 10 za uchungu wa kujifungua



Dalili 10 za kukaribia kujifungua
1.mtoto anaanza kushuka maeneo ya kwenye nyonga. Kwa wanawake wengi wanaanza kuona hali hii wiki mbili ama nne kabla ya kujifungua.
2.Njia ya mimba (cervix) huanza kuachia. Hii ni sehemu inayounganisha uke na sehemu ya ndani ya mfuko wa mimba.
3.maumivu ya tumbo yanaongezeka pamoja na ya mgongo
4.Viungio vyako utaviona kama vinaachiana
5.Unaweza kuharisha
6.Kuongezeka kwa uzito kutakata kabisa uzito utakuwa hauongezeki
7.Uchovu unakuwa mkali zaidi

8.Uke unaanza kutoa uteleziutelezi
9.Maumivu ya tumbo ya mara kwa mara kuongezeka
10.Kutokwa na maji kwenye uke.



Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Bofya hapa



                   

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 17548

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Fahamu dalili za hatari kwa wajawazito.
Fahamu dalili za hatari kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mama mjamzito, kwa sababu kuna baadhi ya Dalili zikitokea kwa mama mjamzito ni vizuri kabisa kuwahi hospitali mara moja.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo wakatu wa tendo la ndoa
Sababu za maumivu ya tumbo wakatu wa tendo la ndoa

Jifunze sababu kuu zinazosababisha kuhisi maumivu makali ya tumbo wakati wa kushiriki tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Je tumbo huanza kukua baada ya mda gan?
Je tumbo huanza kukua baada ya mda gan?

Ni Swali kila mjamzito anataka kujiuliza hasa akiwa katika mimba ya kwanza. Wengine wanataka kujuwa ni muda gani anujuwe mavazi makubwa. Kama na wewe unataka kujuwa muda ambao tumbo huwa kubwa, endelea kusoma.

Soma Zaidi...
Vyanzo vya kuharibika kwa mimba ya miezi kuanzia 0-3
Vyanzo vya kuharibika kwa mimba ya miezi kuanzia 0-3

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu, kwa sababu hii ni miezi ya kwanza kabisa Kuna sababu au vyanzo vya kuharibika kwa mimba katika kipindi hiki.

Soma Zaidi...
Mimi ni mama ninaye nyonyesha toka nimejefunguwa sijawai kuziona siku zangu lakini nilipo choma sindano za yutiai  nikaaza kutokwa na tamu kama siku tano na mwanangu ana mwaka moja je ninahatali ya kubeba mimba
Mimi ni mama ninaye nyonyesha toka nimejefunguwa sijawai kuziona siku zangu lakini nilipo choma sindano za yutiai nikaaza kutokwa na tamu kama siku tano na mwanangu ana mwaka moja je ninahatali ya kubeba mimba

Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.

Soma Zaidi...
 SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA
SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA

Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa kushiriki tendo la ndoa kwa wajawazito
Utaratibu wa kushiriki tendo la ndoa kwa wajawazito

Jifunze muda ambao mjamzito hatatkiwa kishiriki tendo la ndoa. je kuna madhara kwa mjamzito kushiriki tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Zijue Athari za kuweka vitu ukeni.
Zijue Athari za kuweka vitu ukeni.

Posti hii inahusu zaidi athari za kuweka vitu ukeni, tunajua kwa wakati huu kadri ya kukua kwa sayansi na teknolojia watu wanaendelea kugundua mbinu mbalimbali ili waweze kuwafurahisha wapenzi wao wakati wa kufanya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Nini husababisha uke kuwa mkavu
Nini husababisha uke kuwa mkavu

Post hii inakwenda kukupa sababu zinazoweza kupelekea uke kuwa mkavu yaani kukosa majimaji wakati wa kufanya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...