Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama

Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama

Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama


siku ya mwisho katika Quran imepewayafuatayo:



Siku ya Qiyama (21:47, 75:1, 75:6, 79: 42) Siku ya mwisho (2:4, 2:8, 58:22)



Siku ya malipo (1 :4, 82:9, 95 :7, 107:1, 83 :11) Msiba ugongao nyoyo (101:1)



Siku ya hukumu (77:13-14)Wakati maalumu (56:49-50)



Siku ya makamio (50:20)



Siku ya makutano (40:15)



Siku iliyokaribu sana kufika (40:18)



Siku ya kuitana (40:32)



Siku ya kutoka makaburini (50:42)Tukio lilokaribu, limesogea



Siku zitakapotikisika mbingu mtikisiko wake 187


(xiv)Siku ya kukaa daima (50:42)



(xv)Siku zitakapofichuliwa siri (86:9)



(xvi)Tukio la Haki (69:1-3)



(xvii)Siku ya Haki (78:39)



(xviii)Tukio kubwa (56:1-2)



(xix)Siku iliyokadiriwa (85:2)



(xx)Msiba ukumbao (88:1)



(xxi)Siku iliyokuu (83:5)



(xxii)Siku ya mkusanyiko (64:9)



(xxiii)Siku ya Hisabu




                   


Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Tawhid Main: Dini File: Download PDF Views 1850

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Kujielimisha kwa Ajili ya Allah (s.w).

Elimu ndiyo zana aliyotunukiwa mwanadamu ili aitumie kutekeleza majukumu yake kama Khalifa wa Allah (s.

Soma Zaidi...
Sifa za wuamini zilizotajwa katika surat Al-ma'aarij

Kwa hakika binaadamu ameumbwa, hali ya kuwa mwenye pap atiko.

Soma Zaidi...
Kina Cha uovu wa shirk

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Nafasi ya akili katika kumtambua Allah

Kwa kutumia akili yako unaweza kumtambua Allah bila ya shaka yeyote ile. Postbhii itakufundisha nafasi ya akilonkatika kutambuwa uwepo na Uwezo wa Allah.

Soma Zaidi...
Kujiepusha na kukaribia zinaa

Si zinaa tu iliyoharamishwa bali hata yale yote yanayotengeneza mazingira na kuchochea kufanyika kwa zinaa nayo pia yameharamishwa.

Soma Zaidi...
Makundi ya dini za wanaadamu

Kwenye kipengele hichi tutajifunza makundi ya dini za watu. Na makundi hayo ni matatu.

Soma Zaidi...