siku ya mwisho katika Quran imepewayafuatayo:
Siku ya Qiyama (21:47, 75:1, 75:6, 79: 42) Siku ya mwisho (2:4, 2:8, 58:22)
Siku ya malipo (1 :4, 82:9, 95 :7, 107:1, 83 :11) Msiba ugongao nyoyo (101:1)
Siku ya hukumu (77:13-14)Wakati maalumu (56:49-50)
Siku ya makamio (50:20)
Siku ya makutano (40:15)
Siku iliyokaribu sana kufika (40:18)
Siku ya kuitana (40:32)
Siku ya kutoka makaburini (50:42)Tukio lilokaribu, limesogea
Siku zitakapotikisika mbingu mtikisiko wake 187
(xiv)Siku ya kukaa daima (50:42)
(xv)Siku zitakapofichuliwa siri (86:9)
(xvi)Tukio la Haki (69:1-3)
(xvii)Siku ya Haki (78:39)
(xviii)Tukio kubwa (56:1-2)
(xix)Siku iliyokadiriwa (85:2)
(xx)Msiba ukumbao (88:1)
(xxi)Siku iliyokuu (83:5)
(xxii)Siku ya mkusanyiko (64:9)
(xxiii)Siku ya Hisabu
Umeionaje Makala hii.. ?
Vipawa vya mwanaadamu ni sababu nyingine inayomfanya mwanaadamu asiweze kuishi bila ya kufuata dini moja au nyingine.
Soma Zaidi...Haki ya ElimuKatika Uislamu kujielimisha ni faradhi inayowahusu Waislamu wote, wanaume na wanawake: "Soma kwa jina ?
Soma Zaidi...Kwa mtazamo wa kikafiri elimu imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Elimu ya dunia na Elimu ya akhera.
Soma Zaidi...Huwaoni wale wanafiki wanawaambia ndugu zao walio makafiri miongoni mwa watu waliopewa Kitabu (kabla yenu) Mayahudi (Wanawaambia): "Kama mkitolewa, (mkifukuzwa hapa) tutaondoka pamoja nanyi, wala hat utamtii yoyote kabisa juu yenu.
Soma Zaidi...Waumini wanawajibika kuwatunzia mayatima mali zao na kuwakabidhi wanapofikia baleghe yao baada ya kuwajaribu na kuthibitisha kuwa wanao uwezo wa kutunza mali zao - Rejea Qur-an (4:5-6).
Soma Zaidi...Elimu inaweza kugawanyika katika makundibmrngine mawili ambayo ni elimu yenye manufaa na elimubisiyi na manufaa
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي ذَرٍّ جُنْدَبِ بْنِ جُنَادَةَ، وَأَبِي عَبْدِ الرَّحْمَنِ مُعَاذِ بْنِ جَبَلٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا، عَنْ رَسُولِ اللَ...
Soma Zaidi...