Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama

Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama

Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama


siku ya mwisho katika Quran imepewayafuatayo:



Siku ya Qiyama (21:47, 75:1, 75:6, 79: 42) Siku ya mwisho (2:4, 2:8, 58:22)



Siku ya malipo (1 :4, 82:9, 95 :7, 107:1, 83 :11) Msiba ugongao nyoyo (101:1)



Siku ya hukumu (77:13-14)Wakati maalumu (56:49-50)



Siku ya makamio (50:20)



Siku ya makutano (40:15)



Siku iliyokaribu sana kufika (40:18)



Siku ya kuitana (40:32)



Siku ya kutoka makaburini (50:42)Tukio lilokaribu, limesogea



Siku zitakapotikisika mbingu mtikisiko wake 187


(xiv)Siku ya kukaa daima (50:42)



(xv)Siku zitakapofichuliwa siri (86:9)



(xvi)Tukio la Haki (69:1-3)



(xvii)Siku ya Haki (78:39)



(xviii)Tukio kubwa (56:1-2)



(xix)Siku iliyokadiriwa (85:2)



(xx)Msiba ukumbao (88:1)



(xxi)Siku iliyokuu (83:5)



(xxii)Siku ya mkusanyiko (64:9)



(xxiii)Siku ya Hisabu




                   


Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Tawhid Main: Dini File: Download PDF Views 2416

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰2 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰3 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰5 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana: