image

Zoezi la 6 kusimamisha swala

Zoezi hili linamaswali mbalimbali kuhusiana na swala na masharti ya swala.

Zoezi la 6.1

2.(a) Tofautisha kati ya ‘kuswali’ na ‘kusimamisha swala’

(b)  Ni upi umuhimu wa kusimamisha swala katika Uislamu?

 

3.(a)  Nini maana ya ‘twahara’ kilugha na kifiqih.

(b)  Bainisha makundi ya maji yanayotumika kujitwaharishia.

(c) Orodhesha mambo yanayoweza kuharibu maji machache kutofaa   kujitwaharishia.

4.(a)  Toa maelezo mafupi juu ya

        (i)  maji safi                           (ii)  udongo safi              (iii)  najisi  (iv)  hadathi

     (b)  Taja mgawanyo wa najisi na namna ya kujitwaharisha kwa kila aina ya najisi

5.Bainisha kati ya najisi kubwa na najisi ndogo.

  1. najisi hafifu na najisi ndogo.
  2. Maji makombo na maji mutlaq

            (b)  (i)  Eleza maana ya hadathi.

                 (ii)  Bainisha mgawanyo wa hadathi na namna (jinsi) ya kujitwaharisha kwazo.

 

6.(a)  Kwa kutumia ushahidi wa aya, orodhesha nguzo za udhu.

(b)  Eleza maana ya

                  (i)  Tayammamu      (ii) Qibla

(c)  Eleza hatua kwa hatua namna ya

                  (i)  kutia udhu                (ii)  kutayammamu

                  (iii)  kujitwaharisha kutokana na hadath kubwa (janaba).

 

7.(a)  Bainisha mambo yanayotengua udhu.

(b)  Taja nguzo na masharti za tayammamu

 

8.Ainisha mipaka ya sitara ya mwanamume na mwanamke kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah.

 

9.(a)  Taja nyakati zilizoharamishwa kuswali

(b)  Tofautisha kati ya ‘adhana’ na ‘iqama’





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 957


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

lengo la kuswali za faradhi na suna
Soma Zaidi...

Haki za muislamu kwa muislamu mwenziwe
Hizi ndio haki kuu tano unazopasa kumpatia Muislamu mwenzio. Soma Zaidi...

Jinsi ambavyo mgonjwa anatakiwa aswali
Post hii inakwenda kukufundisha jinsi ambavyo mgonjwa anatakiwa aswali kulingana na ugonjwa wake. Soma Zaidi...

MALI ZISIZORUHUSIWA KUTOLEWA ZAKA
*Suala la kumilikiwa binaadam (utumwa), japokuwa linaendelea kutajwa kwenye Sharia (katika vitabu), ni suala ambalo haliko. Soma Zaidi...

Miiko au Mambo yanayoharibu/kubatilisha funga
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Nadharia ya uchumi kiislamu
1. Soma Zaidi...

Mgogoro wa kuandama kwa mwezi, Je mwezi wa Kimataifa ama kila Mji na mwezi wake?
Mwezi ukionekana sehemu moja, Waislamu wote ulimwenguni watalazimika kufunga? Soma Zaidi...

namna ya kuswali swala ya msafiri, nguzo zake na hukumu zake
Soma Zaidi...

Wanaostahiki kupewa sadaqat
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Namna ya kutekeleza swala ya maiti hatua kwa hatua
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Taratibu za kumiliki hisa na mali ya shirika
Katika Uislamu kuwa na hisa kwenye mali inaruhusiwa. Hapa utajifunza taratibu za kumiliki hisa. Soma Zaidi...

kanunu na sheria za biashara katika islamu
Soma Zaidi...