Zoezi hili linamaswali mbalimbali kuhusiana na swala na masharti ya swala.
Zoezi la 6.1
2.(a) Tofautisha kati ya ‘kuswali’ na ‘kusimamisha swala’
(b) Ni upi umuhimu wa kusimamisha swala katika Uislamu?
3.(a) Nini maana ya ‘twahara’ kilugha na kifiqih.
(b) Bainisha makundi ya maji yanayotumika kujitwaharishia.
(c) Orodhesha mambo yanayoweza kuharibu maji machache kutofaa kujitwaharishia.
4.(a) Toa maelezo mafupi juu ya
(i) maji safi (ii) udongo safi (iii) najisi (iv) hadathi
(b) Taja mgawanyo wa najisi na namna ya kujitwaharisha kwa kila aina ya najisi
5.Bainisha kati ya najisi kubwa na najisi ndogo.
(b) (i) Eleza maana ya hadathi.
(ii) Bainisha mgawanyo wa hadathi na namna (jinsi) ya kujitwaharisha kwazo.
6.(a) Kwa kutumia ushahidi wa aya, orodhesha nguzo za udhu.
(b) Eleza maana ya
(i) Tayammamu (ii) Qibla
(c) Eleza hatua kwa hatua namna ya
(i) kutia udhu (ii) kutayammamu
(iii) kujitwaharisha kutokana na hadath kubwa (janaba).
7.(a) Bainisha mambo yanayotengua udhu.
(b) Taja nguzo na masharti za tayammamu
8.Ainisha mipaka ya sitara ya mwanamume na mwanamke kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah.
9.(a) Taja nyakati zilizoharamishwa kuswali
(b) Tofautisha kati ya ‘adhana’ na ‘iqama’
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya kupatwa yaani kupatwa kwa juwa na kupatwa kwa mwezi swalat kusuf na swalat khusuf
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuhusu zakat al fitiri, kiwango chake, watu wanaostahili kupewa na kutoa, pia umuhimu wake katika jamii.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha sunnah 9 za swala. Sunnah hizi ni zile ambazo ukiziwacha swala yako haibatiliki.
Soma Zaidi...Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...