Zoezi la 6 kusimamisha swala

Zoezi hili linamaswali mbalimbali kuhusiana na swala na masharti ya swala.

Zoezi la 6.1

2.(a) Tofautisha kati ya ‘kuswali’ na ‘kusimamisha swala’

(b)  Ni upi umuhimu wa kusimamisha swala katika Uislamu?

 

3.(a)  Nini maana ya ‘twahara’ kilugha na kifiqih.

(b)  Bainisha makundi ya maji yanayotumika kujitwaharishia.

(c) Orodhesha mambo yanayoweza kuharibu maji machache kutofaa   kujitwaharishia.

4.(a)  Toa maelezo mafupi juu ya

        (i)  maji safi                           (ii)  udongo safi              (iii)  najisi  (iv)  hadathi

     (b)  Taja mgawanyo wa najisi na namna ya kujitwaharisha kwa kila aina ya najisi

5.Bainisha kati ya najisi kubwa na najisi ndogo.

  1. najisi hafifu na najisi ndogo.
  2. Maji makombo na maji mutlaq

            (b)  (i)  Eleza maana ya hadathi.

                 (ii)  Bainisha mgawanyo wa hadathi na namna (jinsi) ya kujitwaharisha kwazo.

 

6.(a)  Kwa kutumia ushahidi wa aya, orodhesha nguzo za udhu.

(b)  Eleza maana ya

                  (i)  Tayammamu      (ii) Qibla

(c)  Eleza hatua kwa hatua namna ya

                  (i)  kutia udhu                (ii)  kutayammamu

                  (iii)  kujitwaharisha kutokana na hadath kubwa (janaba).

 

7.(a)  Bainisha mambo yanayotengua udhu.

(b)  Taja nguzo na masharti za tayammamu

 

8.Ainisha mipaka ya sitara ya mwanamume na mwanamke kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah.

 

9.(a)  Taja nyakati zilizoharamishwa kuswali

(b)  Tofautisha kati ya ‘adhana’ na ‘iqama’

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1673

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 web hosting    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Ni nini maana ya swala

Post hii inakwenda kukugundisha kuhusu maana halisi ya ibada ya swala.

Soma Zaidi...
Kuenea kwa dhana ya udhibiti uzazi na uzazi wa mpango

Kustawi kwa Kampeni ya Kudhibiti UzaziMiongoni mwa sababu zilizosaidia kustawi kwa kampeni hii ni matokeo ya mapinduzi ya viwanda (Industrial revolution) ya huko Ulaya.

Soma Zaidi...
Swala ya ijumaa, nguzo zake, sharti zake na jinsi ya kuiswali

Post hii inakwenda kukugundisha kuhusu swala ya ijumaa taratibu zake na jinsi ya kuiiswali.

Soma Zaidi...
Aina za Najisi na twahara katika uislamu

Post hii inakwenda kukufundisha aina za najis. Pia utajifunza aina za twahara katika uislamu

Soma Zaidi...
Hifadhi ya Mwanamke na Maadili ya Jamii

(c) Hifadhi ya Mwanamke na Maadili ya JamiiKimaumbile wanaadam kama walivyo wanyama, wamejaaliwa kuwa na mvuto wa kimapenzi kati ya mume na mke ili kuwawezesha kutekeleza wajibu mkubwa wa kuzaana na kuendeleza kizazi.

Soma Zaidi...
Je ni zipi nguzo za uislamu, na ni ngapi nguzo za uislamu?

Post hii itakujuza maana ya uislamu na nguzo zake.

Soma Zaidi...