Zoezi la 6 kusimamisha swala


image


Zoezi hili linamaswali mbalimbali kuhusiana na swala na masharti ya swala.


Zoezi la 6.1

2.(a) Tofautisha kati ya ‘kuswali’ na ‘kusimamisha swala’

(b)  Ni upi umuhimu wa kusimamisha swala katika Uislamu?

 

3.(a)  Nini maana ya ‘twahara’ kilugha na kifiqih.

(b)  Bainisha makundi ya maji yanayotumika kujitwaharishia.

(c) Orodhesha mambo yanayoweza kuharibu maji machache kutofaa   kujitwaharishia.

4.(a)  Toa maelezo mafupi juu ya

        (i)  maji safi                           (ii)  udongo safi              (iii)  najisi  (iv)  hadathi

     (b)  Taja mgawanyo wa najisi na namna ya kujitwaharisha kwa kila aina ya najisi

5.Bainisha kati ya najisi kubwa na najisi ndogo.

  1. najisi hafifu na najisi ndogo.
  2. Maji makombo na maji mutlaq

            (b)  (i)  Eleza maana ya hadathi.

                 (ii)  Bainisha mgawanyo wa hadathi na namna (jinsi) ya kujitwaharisha kwazo.

 

6.(a)  Kwa kutumia ushahidi wa aya, orodhesha nguzo za udhu.

(b)  Eleza maana ya

                  (i)  Tayammamu      (ii) Qibla

(c)  Eleza hatua kwa hatua namna ya

                  (i)  kutia udhu                (ii)  kutayammamu

                  (iii)  kujitwaharisha kutokana na hadath kubwa (janaba).

 

7.(a)  Bainisha mambo yanayotengua udhu.

(b)  Taja nguzo na masharti za tayammamu

 

8.Ainisha mipaka ya sitara ya mwanamume na mwanamke kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah.

 

9.(a)  Taja nyakati zilizoharamishwa kuswali

(b)  Tofautisha kati ya ‘adhana’ na ‘iqama’



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Sababu za makafiri wa kiqureish kuupinga ujumbe wa uislamu
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kuandaliwa kwa Muhammad kabla ya kupewa utume
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Dhana ya ibada kwa mtazamo wa uislamu..
Mtazamo wa uislamu juu ya ibada (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kuandaliwa kwa Muhammad wakati na baada ya kupewa utume
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Zoezi la 6 kusimamisha swala
Zoezi hili linamaswali mbalimbali kuhusiana na swala na masharti ya swala. Soma Zaidi...

image Maswali kuhusu Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Nguzo za imani
Zifuatazo Ni nguzo za imani (EDK form 2: elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mwenendo wa mwenye kunuia hijjah na umrah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kwanini wengi wanaohijji hawafikii lengo la hijjah zao
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mbinu na njia walizotumia maadui wa uislamu dhidi ya waislamu na dola ya kiislamu madinah
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...