Zoezi la 6 kusimamisha swala

Zoezi la 6 kusimamisha swala

Zoezi hili linamaswali mbalimbali kuhusiana na swala na masharti ya swala.

Download Post hii hapa

Zoezi la 6.1

2.(a) Tofautisha kati ya ‘kuswali’ na ‘kusimamisha swala’

(b)  Ni upi umuhimu wa kusimamisha swala katika Uislamu?

 

3.(a)  Nini maana ya ‘twahara’ kilugha na kifiqih.

(b)  Bainisha makundi ya maji yanayotumika kujitwaharishia.

(c) Orodhesha mambo yanayoweza kuharibu maji machache kutofaa   kujitwaharishia.

4.(a)  Toa maelezo mafupi juu ya

        (i)  maji safi                           (ii)  udongo safi              (iii)  najisi  (iv)  hadathi

     (b)  Taja mgawanyo wa najisi na namna ya kujitwaharisha kwa kila aina ya najisi

5.Bainisha kati ya najisi kubwa na najisi ndogo.

  1. najisi hafifu na najisi ndogo.
  2. Maji makombo na maji mutlaq

            (b)  (i)  Eleza maana ya hadathi.

                 (ii)  Bainisha mgawanyo wa hadathi na namna (jinsi) ya kujitwaharisha kwazo.

 

6.(a)  Kwa kutumia ushahidi wa aya, orodhesha nguzo za udhu.

(b)  Eleza maana ya

                  (i)  Tayammamu      (ii) Qibla

(c)  Eleza hatua kwa hatua namna ya

                  (i)  kutia udhu                (ii)  kutayammamu

                  (iii)  kujitwaharisha kutokana na hadath kubwa (janaba).

 

7.(a)  Bainisha mambo yanayotengua udhu.

(b)  Taja nguzo na masharti za tayammamu

 

8.Ainisha mipaka ya sitara ya mwanamume na mwanamke kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah.

 

9.(a)  Taja nyakati zilizoharamishwa kuswali

(b)  Tofautisha kati ya ‘adhana’ na ‘iqama’

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1368

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Yaliyo haramu kwa mtu asiyekuwa na udhu
Yaliyo haramu kwa mtu asiyekuwa na udhu

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ambauo ni haramu kwa mtu asiye na udhu.

Soma Zaidi...
Nini maana ya funga na ni lipi lengo lake
Nini maana ya funga na ni lipi lengo lake

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu lengo la funga na maana yake katika uislamu.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa
Jinsi ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa

Kutawadha ni katika ibada muhimu za mwanzo kutakiwa kuzijuwa na ni lazima. Swala yako haitaweza kutimia bila ya kujuwa udhu. Inakupasa kujuwa nguzo za udhu, yanayoharibu udhu na namna ya kutawadha kifasaha. Hapa utajifunza hatuwa za kutawadha

Soma Zaidi...