picha

Kazi ya madini mwilini

Posti hii inakwenda kukueleza kuhusu kazi za madini mwilini

KAZI ZA MADINI MWILINI

1. Madini hutumika kwa ajili ya kudhibiti kiwango cha majimaji kwenye mwili kama madini ya sodium au chumvi

 

2. Huhitajika madini kwa ajili ya utengenezwaji wa asidi mbalimbali kama asidi ya hydrocloric kama madini ya chloride na phpsphprus

 

3. Husaidia katika kudhibiti kiwangi cha uzalishaji wa tindikali mwilini kama tindikali ya hydrocloric kama madini ya chloride

 

4. Husaidia katika usafirishwaji wa taarifa kutoka sehemu moja ya mwili kwenda sehemu nyingine kama madini ya sodium na potassium

 

5. Husaidia katika ujongeaji wa mishipa kama madini ya sodium na cailcium

 

6. Madini huhitajika kwa ajili ya kuimarisha afya ya mifupa, misuli, mishipa, meno na moyo kama madini ya calcium na magnesium

 

7. Huhitajika madini kwa ajili ya kuganda kwa damu maeneo yenye majeraha kama madini ya calcium na phosphorus

 

8. Huhitajika madini kwa ajili ya kuimarisha mfumo wa kinga mwilini kama madini ya calcium

 

9. Huhitajika katika utengenezwaji wa hemoglobin chembechembe nyekundu za damu kama madini ya chuma

 

10. Huhitajika katika kutengeneza protini na genetics material, huhitajika katika utengenezwaji wa manii na ni muhimu katika mfumo wa uzalishaji kwa mfano madini ya zinc

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 2428

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 ai web app     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi

Soma Zaidi...
Zijue kazi za ovari

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa ovari kwenye mwili wa mwanamke. ovari ni sehemu ambapo mayai ya mwanamke hutunza, kwa hiyo kila mwanamke huwa na ovari ambayo husaidia kutunza mayai.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu vitamini C na kazi zake

Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata

Soma Zaidi...
Nyanja sita za afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu nyanja sita za afya

Soma Zaidi...
Madhara ya kunywa pombe kiafya

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake.

Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma ya kwanza

Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini

Soma Zaidi...