Kazi ya madini mwilini

Posti hii inakwenda kukueleza kuhusu kazi za madini mwilini

KAZI ZA MADINI MWILINI

1. Madini hutumika kwa ajili ya kudhibiti kiwango cha majimaji kwenye mwili kama madini ya sodium au chumvi

 

2. Huhitajika madini kwa ajili ya utengenezwaji wa asidi mbalimbali kama asidi ya hydrocloric kama madini ya chloride na phpsphprus

 

3. Husaidia katika kudhibiti kiwangi cha uzalishaji wa tindikali mwilini kama tindikali ya hydrocloric kama madini ya chloride

 

4. Husaidia katika usafirishwaji wa taarifa kutoka sehemu moja ya mwili kwenda sehemu nyingine kama madini ya sodium na potassium

 

5. Husaidia katika ujongeaji wa mishipa kama madini ya sodium na cailcium

 

6. Madini huhitajika kwa ajili ya kuimarisha afya ya mifupa, misuli, mishipa, meno na moyo kama madini ya calcium na magnesium

 

7. Huhitajika madini kwa ajili ya kuganda kwa damu maeneo yenye majeraha kama madini ya calcium na phosphorus

 

8. Huhitajika madini kwa ajili ya kuimarisha mfumo wa kinga mwilini kama madini ya calcium

 

9. Huhitajika katika utengenezwaji wa hemoglobin chembechembe nyekundu za damu kama madini ya chuma

 

10. Huhitajika katika kutengeneza protini na genetics material, huhitajika katika utengenezwaji wa manii na ni muhimu katika mfumo wa uzalishaji kwa mfano madini ya zinc

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2042

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Hatua za kufuata baada ya kuhisi kuwa umeambukizwa na virusi vya HIV

Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
fahamu kuhusu vitamini B na faida zake

makala hii inakwenda kukupa faida, kazi na athari za vitamini B mwilini. Nini hutokea endapo utakuwa na upungufu wa vitamini B mwilini?

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza uzito na kitambi

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu michubuko kwa watoto wakati wa kuzaliwa

Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...
fahamu vitamini A na kazi zake

Je na wewe i katika wale ambaowanahitaji kujuwa kuhusu Vitamini A, kazi zake na vyakula vya vitamini A. post hii inakwenda kukujuza zaidi pamoja na historia ya vitamini A.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Somo hili linakwenda kukuletea utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Soma Zaidi...
Kiasi Cha mkojo kisichokuwa cha kawaida.

Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ANAYETOKWA NA DAMU YA PUA

Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.

Soma Zaidi...
Nini husababisha kibofu cha mkojo kuuma na baadae kutoka damu

Katika post hii utajifunza sababu zinazowezabkuorlekea kibofu kuuma upande mmoja

Soma Zaidi...