picha

Vituo vya kunuia hijjah au umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Miiqaat, ni vituo vya kunuia Hijjah na Umrah.

-    Vituo vitano alivyoviweka Mtume (s.a.w) ni;

  1. Zul-Hulaifa (Bir-‘Ali).

-    Ni cha watu watokao Madinah, kiko kilometa 450 kutoka Makkah.

 

  1. Juhfah (Rabigh).

-    Ni cha watu watokao Misri na Syria, kiko kilometa 187 kaskazini-magharibi ya Makkah.

 

  1. Qurnul-Manaazil (Sail).

-    Ni kituo cha watu watokao Najd, kiko kilometa 94 mashariki ya Makkah.

 

  1. Makkah.

-    Ni kituo cha wakazi wa Makkah na wale wanao nuia Hija mwezi 8, Dhul-Hijah.  

 

  1. Yalamlam.

-    Ni kituo cha watu watokao Yemen, Afrika Mashaiki na Afrika Kusini, kiko kilometa 54 kusini-magharibi ya Makkah.

 

  1. Dhaaru-Iraq.

-    Ni kituo cha watu kutoka Iraq, Iran, n.k., alichokiweka Khalifah Umar Ibn Khatwaab (r.a) wakati wa ukhalifah wake.

-    Kiko kilometa 94 kaskazini –mashariki ya Makkah.

 

  1. Jiddah.

-    Ni kituo cha wasafiri wa ndege, kiko kilometa 72 kusini ya Makkah.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 3183

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Ni nini maana ya Talaka katika uislamu

Post hii inakwenda kukufundisha maana ya neno talaka katika uislamu kisheria na kilugha.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kusherehekea siku ya idi katika uislamu

Uislamu umeweka taratibu maalumu za kuzifata katika kusherehekea siku ya idi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuswali kuswali swala ya maiti

Post hii itakufundisha kuhusu swala ya maiti, nguzo za swala ya maiti, sharti za swwla ya maiti na jinsi ya kuiswali.

Soma Zaidi...