picha

Vituo vya kunuia hijjah au umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Miiqaat, ni vituo vya kunuia Hijjah na Umrah.

-    Vituo vitano alivyoviweka Mtume (s.a.w) ni;

  1. Zul-Hulaifa (Bir-‘Ali).

-    Ni cha watu watokao Madinah, kiko kilometa 450 kutoka Makkah.

 

  1. Juhfah (Rabigh).

-    Ni cha watu watokao Misri na Syria, kiko kilometa 187 kaskazini-magharibi ya Makkah.

 

  1. Qurnul-Manaazil (Sail).

-    Ni kituo cha watu watokao Najd, kiko kilometa 94 mashariki ya Makkah.

 

  1. Makkah.

-    Ni kituo cha wakazi wa Makkah na wale wanao nuia Hija mwezi 8, Dhul-Hijah.  

 

  1. Yalamlam.

-    Ni kituo cha watu watokao Yemen, Afrika Mashaiki na Afrika Kusini, kiko kilometa 54 kusini-magharibi ya Makkah.

 

  1. Dhaaru-Iraq.

-    Ni kituo cha watu kutoka Iraq, Iran, n.k., alichokiweka Khalifah Umar Ibn Khatwaab (r.a) wakati wa ukhalifah wake.

-    Kiko kilometa 94 kaskazini –mashariki ya Makkah.

 

  1. Jiddah.

-    Ni kituo cha wasafiri wa ndege, kiko kilometa 72 kusini ya Makkah.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 3079

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 ai web app     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Ni zipi najisi katika uislamu

Post hii inakwenda kukupa orodha ya vitu vilivyo najisi.

Soma Zaidi...
Tofauti kati ya fiqh na sheria

Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria.

Soma Zaidi...
Ni upibutaratibu wa kuingia eda na kutoka eda

Katika uislamu hakuna sheria ya mwanamke kuingizwa eda na kutolewa eda kama ilivyozoeleka. Endelea na post hii ujifunze zaidi

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujitwaharisha kutokana na najisi

Post hii inakwenda kukufundisha jinsi ya kujitwaharisha kutokana na najisi.

Soma Zaidi...
Je ni kwa nini lengo la finga halifikiwi kwa wafungaji

Lengo la funga ni kuwa mchamungu sasa ni kwa nini wafungaji hawalifikii lengo hili na kuwa wachamungu.

Soma Zaidi...