picha

Vituo vya kunuia hijjah au umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Miiqaat, ni vituo vya kunuia Hijjah na Umrah.

-    Vituo vitano alivyoviweka Mtume (s.a.w) ni;

  1. Zul-Hulaifa (Bir-‘Ali).

-    Ni cha watu watokao Madinah, kiko kilometa 450 kutoka Makkah.

 

  1. Juhfah (Rabigh).

-    Ni cha watu watokao Misri na Syria, kiko kilometa 187 kaskazini-magharibi ya Makkah.

 

  1. Qurnul-Manaazil (Sail).

-    Ni kituo cha watu watokao Najd, kiko kilometa 94 mashariki ya Makkah.

 

  1. Makkah.

-    Ni kituo cha wakazi wa Makkah na wale wanao nuia Hija mwezi 8, Dhul-Hijah.  

 

  1. Yalamlam.

-    Ni kituo cha watu watokao Yemen, Afrika Mashaiki na Afrika Kusini, kiko kilometa 54 kusini-magharibi ya Makkah.

 

  1. Dhaaru-Iraq.

-    Ni kituo cha watu kutoka Iraq, Iran, n.k., alichokiweka Khalifah Umar Ibn Khatwaab (r.a) wakati wa ukhalifah wake.

-    Kiko kilometa 94 kaskazini –mashariki ya Makkah.

 

  1. Jiddah.

-    Ni kituo cha wasafiri wa ndege, kiko kilometa 72 kusini ya Makkah.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 2949

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Nadharia ya uchumi wa kiislamu

Dhana ya uchumi wa kiislamu imejegwa jui ya ukati na kati. Dhana hii imetofautiana sana na dhana nyinginezo kama ubepari na ujamaa.

Soma Zaidi...
Mambo yanayoweza kutoa udhu wako

Post hii itakufundisha mambo ambayo yanabatilisha udhu.

Soma Zaidi...
Kwanini lengo la zakat na sadaqat halifikiwi katika jamii yetu

Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...