Namna ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa.

Post hii inakwenda kukugundisha jinsi ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa.

Namna ya kutawadha hatua kwa hatua

1. kupiga msaki
2. kusema Bismillaah na kuanza kuosha viganja vya mikono (mara tatu) -hatua 1
3. Kusukutua na kupandisha maji puani (mara tatu) - hatua 2 na 3
4. Kuosha uso kwa ukamilifu (mara tatu) - hatua 4
5. Kuosha mkono wa kulia mpaka kwenye fundo (mara tatu)
-hatua 5
6. Kuosha mkono wa kushoto mpaka kwenye fundo (mara tatu)
-hatua 6
7. Kupaka maji kichwani- hatua 7
8. Kuosha masikio (mara tatu)- hatua 8
9. Kuosha mguu wa kulia halafu wa kushoto mpaka kwenye fundo (mara tatu)- hatua 9.

 

Baada ya kumaliza utasimama na kuelekea kibla kisha kuleta dua kamal ilibyoelezwa hapo juu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1076

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Mgawanyiko katika kuitumia mali unayomiliki

Unajuwa namna ambavyo matumizi ya mali yako, yanavyogawanywa? Jifunze hapa mgawanyiko wa mali yako.

Soma Zaidi...
Nini maana ya funga na ni lipi lengo lake

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu lengo la funga na maana yake katika uislamu.

Soma Zaidi...
Dhana ya haki na uadilifu katika uislamu

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mgogoro wa kuandama kwa mwezi, Je mwezi wa Kimataifa ama kila Mji na mwezi wake?

Mwezi ukionekana sehemu moja, Waislamu wote ulimwenguni watalazimika kufunga?

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuswali kuswali swala ya maiti

Post hii itakufundisha kuhusu swala ya maiti, nguzo za swala ya maiti, sharti za swwla ya maiti na jinsi ya kuiswali.

Soma Zaidi...
Kutoa vilivyo halali

Nguzo za uislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...