picha

Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

Njia za kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

1.Kwa kutumia X-ray kwa kutumia X-ray tunaweza kuona ni shida iliyopo na ni kwa kiwango gani kwa mtu mwenye Maambukizi.

2.Kwa kumwangalia mtu na kuongea naye tunaweza kujua kuwa maambukizi yako sehemu gani na njia ya kupambana nayo

3.Kwa kukata sehemu yoyote kwenye sehemu iliyoariadhirika na kupelekwa maabara kwa ajili ya uchaguzi zaidi.

 

 

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1801

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰2 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰3 ai web app     πŸ‘‰4 web hosting     πŸ‘‰5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     πŸ‘‰6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Kukosa hamu ya kufanya chochote: Nini cha kufanya?

​Katika ulimwengu wa sasa wenye kasi kubwa, kukumbwa na hali ya kukosa hamu ya kufanya chochote (ambayo kitaalamu hujulikana kama avolition au apathy) ni changamoto inayowakabili watu wengi. Makala hii inachunguza visababishi vya hali hii, athari zake katika maisha ya kila siku, na kutoa mikakati madhubuti ya kurejesha ari, nguvu, na motisha ya kufanya kazi na kufurahia maisha.

Soma Zaidi...
Je kwa mfano mimi nmeupata ukimwi leo na sihitaji kwenda kupima yaaan uanza kujionyesha baada ya muda gani

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa ukimwi huonekana baada ya muda gani toka kuathirika?

Soma Zaidi...
Kutokwa na uchafu mweupe ukeni: Ni ugonjwa?

Kutokwa na uchafu ukeni ni jambo la kawaida kwa kila mwanamke aliyefikia umri wa kuvunja ungo. Hata hivyo, wengi hukumbwa na hofu pindi wanapoona mabadiliko katika rangi, harufu, au wingi wa uchafu huo. Makala hii inafafanua tofauti kati ya uchafu wa kawaida (physiological discharge) na ule unaoashiria ugonjwa (pathological discharge), na kutoa mwongozo wa wakati wa kutafuta msaada wa kitaalamu.

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya damu au uboho.

posti hii inahusu dalili za aratani ya damu au ubobo ambayo kwa jina lingine hujulikana Kama Acute lymphocytic Leukemia (ALL) ni aina ya Saratani ya damu na uboho tishu zenye sponji ndani ya mifupa ambapo seli za damu hutengenezwa.

Soma Zaidi...
Dalili za Mgonjwa wa kisukari

Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa ana Ugonjwa wa kisukari.zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari.

Soma Zaidi...
Dalili za fangasi kwenye mapafu

Posti hii inaonyesha dalili za fangasi kwenye mapafu.

Soma Zaidi...