Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
Njia za kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
1.Kwa kutumia X-ray kwa kutumia X-ray tunaweza kuona ni shida iliyopo na ni kwa kiwango gani kwa mtu mwenye Maambukizi.
2.Kwa kumwangalia mtu na kuongea naye tunaweza kujua kuwa maambukizi yako sehemu gani na njia ya kupambana nayo
3.Kwa kukata sehemu yoyote kwenye sehemu iliyoariadhirika na kupelekwa maabara kwa ajili ya uchaguzi zaidi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 kitabu cha Simulizi π3 ai web app π4 Kitabu cha Afya π5 Bongolite - Game zone - Play free game π6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Madhara ya kaswende kwa wajawazito na watoto wadogo.
Posti inahusu zaidi madhara ya kaswende kwa mama mjamzito na mtoto, Ni ugonjwa unaopatikana hasa kwa njia ya kujamiiana na utoka kwa mwenye Ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa, kwa hiyo tunapaswa kujua madhara ya ugonjwa huu kwa mama mjamzito na mt
Soma Zaidi...Je wiki 1 dalili zinaonyesha za maambukizi ya ukimwi na wiki 3 vipimo vinaweza kuonyesha Kama umeasilika
Muda ambao maambukizi ya virusi vya ukimwi kuonyesha dalili unaweza kutofautiana kutika mtu hadi mwingine.
Soma Zaidi...Ukiwa na aleji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?
Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?
Soma Zaidi...Chanzo cha VVU na UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyanzo m ali mbali vinavyohisiwa kuwa chanzo cha UKIMWI
Soma Zaidi...Homa ya matone (Mumps): Dalili na tiba yake.
Homa ya matone, inayojulikana kama Mumps, ni maambukizi ya virusi yanayoathiri tezi zinazozalisha mate (salivary glands), hasa tezi zilizopo pande zote mbili za shavu (tezi za parotidi). Ugonjwa huu huambukiza kwa urahisi kupitia matone ya maji yanayotoka unapopiga chafya, kukohoa, au kuzungumza. Ingawa kwa sasa ni nadra kutokana na chanjo, bado inaweza kuwapata watu ambao hawajapata chanjo hiyo. Makala haya yanakupa uelewa wa dalili zake na jinsi ya kutoa huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...Mazoezi ya viungo kama tiba ya unyogovu na wasiwasi.
βGundua uhusiano wa kisayansi kati ya mazoezi ya viungo na afya ya akili. Makala hii inachambua jinsi shughuli za kimwili zinavyoweza kutumika kama nyenzo madhubuti ya tiba ya unyogovu na wasiwasi, ikitoa mwongozo wa kitaalamu wa kuanza safari ya ustawi wa kimwili na kiakili
Soma Zaidi...