Dalili za maambukizi kwenye ovari

Posti hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye ovari, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye ovari na kusababisha matatizo makubwa kama mgonjwa haujatibiwa mapema.

Dalili za maambukizi kwenye ovari

1. Maumivu makali chini yatumbo, hutokea kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria ambao ushambulia sehemu ya ndani ya ovari.

 

2. Maumivu makali kwenye pelvis, kutokana n kuwepo kwa bakteria ndani ya ovari bakteria hawa ueneza sumu ambayo usababisha maumivu makali kwenye pelvis

 

3. Kutokwa damu ukeni, hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa majeraha ndani ya ovari ambayo huaribu sehemu mbalimbali za uzazi na Damu uonekana ukeni

 

4. Damu nzito uonekana wakati wa hedhi na yenye mabonge mabonge na pia utoka kwa mda mrefu isiyokuwa ya kawaida

 

5. Maumivu ya kichwa hutokea lakini sio kwa wote na pengine kwa sababu ya maambukizi Homa upanda

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1463

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Minyoo Ni nini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya minyoo

Soma Zaidi...
Viungo vinavyoathiriwa na malaria

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kushoto

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto

Soma Zaidi...
Dalili za presha ya kushuka

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za presha ya kushuka

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za kuvimba kope.

Posti hii inaonyesha Dalili na ishara za kuvimba kope ambayo kitaalamu hujulikana Kama blepharitis.

Soma Zaidi...
NINI SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO

NENO LA AWALI Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo.

Soma Zaidi...
Kukosa choo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kukosa choo

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kuharisha na sababu zake.

Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu

Soma Zaidi...
Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

Soma Zaidi...