YAJUE MARADHI YA KISUKARI
Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari
Kisukari hutokea kwa sababu kuu mbili yaweza kua mwili kushindwa kutumia insulini iliyopo mwilini au mwili kushindwa kuzalisha insulini
Dalili za kisukari
1. Kukosa nguvu
2. Kupungu na kukonda
3.mwili kuwa dhaifu
Nini tufanye kujilinda na kisukari
1.fanya mazoezi mara kwa mara
2. Punguza uzito
3. Kula kiafya
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.
Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe.
Soma Zaidi...Bipolar disorders
Bipolar disorder ni hali ya afya ya akili inayohusisha mabadiliko makubwa katika hisia, nishati, na shughuli za kila siku za mtu. Dalili za bipolar disorder zinaweza kuwa kwenye kipindi cha mania na kipindi cha unyogovu, zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa bipolar.
Soma Zaidi...Maradhi ya Pumu yanatokeaje?
Nini hasa kinatokea mpaka mtu anakuwa na pumu, ama anashambuliwa na pumu. Makala hii itakwenda kukufundisha jambo hili
Soma Zaidi...Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.
Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri.
Soma Zaidi...Dalili za ugonjwa wa vericose veini
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini
Soma Zaidi...Athari za kutokunywa maji ya kutosha kwa afya ya figo.
Figo ni kiungo muhimu kinachohusika na kusafisha damu na kudhibiti uwiano wa maji mwilini. Makala hii inachunguza kwa kina uhusiano wa moja kwa moja kati ya ulaji wa maji na afya ya figo. Tutajadili jinsi upungufu wa maji (dehydration) unavyoweza kusababisha magonjwa sugu ya figo, mawe kwenye figo, na shinikizo la damu, pamoja na kutoa mwongozo wa kisayansi wa kiasi sahihi cha maji unachohitaji ili kulinda afya yako.
Soma Zaidi...