Maradhi yatokanayo na fangasi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi
MARADHI YATOKANAYO NA FANGASI
1.Ugonjwa uitwa Mycoses:
2.Ugonjwa uitwa Mycotoxicoses
3.Ugonjwa uitwa Candidiasis: ugonjwa huu umegawanyika kama:-
?Candidiasis ya mdomoni Ooral Candidiasis)
?Candidiadis ya kwenye tundu la hewa kuelekea kwenye mapafy (Bronchocandidiasis au Bronchomoniasis)
?Candidiasis ya kwenye mapafu (pulmonary Candidiasis)
?Endocarditis
?Meningitis
4.Ugonjwa wa actinomycosis
5.Ugonjwa wa Aspergillosis
6.Ugonjwa uitwa Otomycosis (fangasi wa kwenye sikio)
7.Ugonjwa uitwa peniciliinosis
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 kitabu cha Simulizi π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π4 Kitau cha Fiqh π5 Dua za Mitume na Manabii π6 web hosting
Post zinazofanana:
Dalili za awali za ugonjwa wa kizukari
ugonjwa wa kisukari ni moja katika magonjwa hatari sana, na mpaka sasa bado hauna matibabu ya kuponya moja kwa moja
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo upande wa kushoto: Nini maana yake?
Maumivu ya tumbo upande wa kushoto (left-sided abdominal pain) ni dalili ya kawaida inayoweza kusababishwa na mambo mengiβkuanzia matatizo madogo ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula hadi hali nzito zinazohitaji matibabu ya dharura. Makala haya yanalenga kutoa mwongozo wa kitaalamu kuhusu sababu zinazowezekana za maumivu haya, dalili za hatari zinazopaswa kufuatiliwa, na hatua za kuchukua ili kutunza afya yako.
Soma Zaidi...Tatizo la fizi kuachana.
Posti hii inahusu zaidi tatizo la fizi kuachana, ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi kwa wakati mwingine unakuta fizi zimeachana kutoka sehemu moja kwa nyingine kwa hiyo tunaweza kuona sababu kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Dalili za ugonjwa wa fungusi uken
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo.
Soma Zaidi...