picha

Maradhi yatokanayo na fangasi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi

MARADHI YATOKANAYO NA FANGASI

1.Ugonjwa uitwa Mycoses:

2.Ugonjwa uitwa Mycotoxicoses

3.Ugonjwa uitwa Candidiasis: ugonjwa huu umegawanyika kama:-

?Candidiasis ya mdomoni Ooral Candidiasis)

?Candidiadis ya kwenye tundu la hewa kuelekea kwenye mapafy (Bronchocandidiasis au Bronchomoniasis)

?Candidiasis ya kwenye mapafu (pulmonary Candidiasis)

?Endocarditis

?Meningitis

4.Ugonjwa wa actinomycosis

5.Ugonjwa wa Aspergillosis

6.Ugonjwa uitwa Otomycosis (fangasi wa kwenye sikio)

7.Ugonjwa uitwa peniciliinosis

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2342

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Dalili za madonda ya koo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Koo langu limekauka yaweza kuwa ni muadhirika?

kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo.

Soma Zaidi...
Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?

Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza

Soma Zaidi...
​Sababu za Mtoto Kukosa Hamu ya Kula

Kukosa hamu ya kula kwa watoto ni changamoto inayowapa hofu wazazi wengi. Post hii inaangazia sababu mbalimbali za tatizo hili, kuanzia mabadiliko ya ukuaji, maambukizi ya magonjwa, hadi mambo ya kisaikolojia, ili kuwasaidia wazazi kuelewa nini cha kufanya.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa vitiligo, chanzo, dalili na matibabu yake

Katika post hii utajifunza kuhusu ugonjwa wa vitiligo, chanzo chake, dalili zake na matibabu yaje

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa pre - eclampsia

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa pre- eclampsia ni Ugonjwa ambao uwapata wanawake wajawazito uwapata pale mimba inapofikisha umri wa wiki ishilini, utokea pale ambapo Mama mjamzito huwa na kiwango kikubwa cha shinikizo la damu na pia kuwepo kwa protini

Soma Zaidi...