Maradhi yatokanayo na fangasi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi
MARADHI YATOKANAYO NA FANGASI
1.Ugonjwa uitwa Mycoses:
2.Ugonjwa uitwa Mycotoxicoses
3.Ugonjwa uitwa Candidiasis: ugonjwa huu umegawanyika kama:-
?Candidiasis ya mdomoni Ooral Candidiasis)
?Candidiadis ya kwenye tundu la hewa kuelekea kwenye mapafy (Bronchocandidiasis au Bronchomoniasis)
?Candidiasis ya kwenye mapafu (pulmonary Candidiasis)
?Endocarditis
?Meningitis
4.Ugonjwa wa actinomycosis
5.Ugonjwa wa Aspergillosis
6.Ugonjwa uitwa Otomycosis (fangasi wa kwenye sikio)
7.Ugonjwa uitwa peniciliinosis
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 kitabu cha Simulizi ๐2 ai web app ๐3 Madrasa kiganjani ๐4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐5 Kitabu cha Afya ๐6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Dalili na ishara za Ugonjwa wa kuambukiza.
Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe
Soma Zaidi...Ugonjwa wa mfumo wa kinga ya mwili inavyoshambulia ini.
Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako.
Soma Zaidi...Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya seli nyeupe.
Posti hii inazungumzia kuhusiana naรย Sarataniรย ambayo hutokea katika aina ya seli nyeupe ya damu inayoitwa seli ya plasma. Seli za plasma hukusaidia kupambana na maambukizo kwa kutengeneza kingamwili zinazotambua na kushambulia vijidudu. Pia husababish
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Dengue
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dengue, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ila unasambazwa na mbu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine mbu anayasambaza Ugonjwa huu kwa kitaalamu huitwa Aedes mosquito .
Soma Zaidi...Ijuwe saratani ya kibofu cha nyongo
Makala hii inakwenda kukufahamishavkuhusu saratani yavkibifu cha mkojo.
Soma Zaidi...Dalili za Ugonjwa wa mapigo ya moyo
Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, Kupepesuka au kudunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya kutisha, kwa kawaida hayana madhara. Katik
Soma Zaidi...