Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
MAJI NA FAIDA ZAKE MWILINI
Maji ni kimiminika kilichotokana na muunganiko wa haidrojen na oksijen. Karibia asilimia 90 ya seli ni maji. Na karibia asilimia 50 - 80 ya mwili wa kiumbe ni maji. Pia anakadiriwa kuwa asilimia 60 ya uzito wa kiumbe ni maji. Kiasi cha maji unayotumia inategemea na mambo mengi kama, hali ya hewa, shughuli unazozifanya, ama hali ya afya.
Faida za maji mwilini
1.Kulainisha viungo
2.Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
3.Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
4.Huboresha afya ya ngozi
5.Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
6.Husaidia katika kupunguza joto
7.Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
8.Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
9.Hutdhibiti shinikizo la damu
10.Huzuia uharibifu wa figo
11.Husaidia katika kupunguza uzito
Upungufu wa maji
Upungufu wa maji unaweza kusababisha mambo yafuatayo:
1.maumivu ya kishwa mara kwa mara
2.Ngozi kukauka
3.Miwasho
4.Homa
5.Mkojo kuwa na harufu kali
6.Maambukizi ya mara kwa mara
7.Uchovu
8.Kiu
Vyakula vyenye maji kwa wingi
1.Tikiti
2.Tango
3.Nanasi
4.Machungwa
5.Madanzi
6.Mapensheni
7.Miwa
8.Mapapai
9.Mastafeli
10.Matunda damu
11.Komamanga
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...