nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nin

nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nin

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nin

Samahani doctar mimi kila nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nini



Namba ya swali 056

Je unepima UTI?



Namba ya swali 056

bado
Pamoja na hilo doctor Mimi huwa Nina presha napatwa na hofu Sana muda mwingine mpaka mshtuko wa moyo na vitu kunitembea mwilini vipi hapo waweza kunisaidia samahani lakini kwa usumbufu doctar



Namba ya swali 056

Pole sana. Hofu hiyo kitaalamu hutambulika kama anxiety. Husababishwa na hiyo hali uliyo nayo. Ijapokuwa zipo dawa kwa ajili yankuiondoa ama kuituliza ila ji vyema kufanya yafuatayo:- 1. Pata ushauri kwa washauri wa kidini ama watoaji ushauri nasaha, kuhusu kuondoa hofu. Kamabutaweza fanya mazoezi mara kwa mara mara. Ukipata tatizo halikisha unakabiliana nalo. Jitahidi kuwa mwenye furaha ukiwa nyumbani ama kazini

Hofu ulio nayo inawapata watu wengi, yenyewe si ugonjwa bali inaweza kupewa dawa ama kuondoka yenyewe



Namba ya swali 056

Nashukuru Sana ndugu yangu kitu kinachonitia hofu ni vitu kunitembea mwilini



Namba ya swali 056

Ni maeneo gani ya mwili?



Namba ya swali 056

Kwenye magoti mpaka mabegani



Namba ya swali 056

Je unapata maumivu kayika maeneo hayo??



Namba ya swali 056

Maumivu sipati ilatu vinatembea kwenye mishipa



Namba ya swali 056

Kwenye mishipa, hutokea kwa sababu ya never zenyewe, hii sio tatizo saana. Zipo sababu nyingine ila kama hupati maumivu yeyote, sio shida sana kiafya.



Namba ya swali 056

Nashukuru Sana kwa maelezo yako ndugu japo sikufahamu mungu akutie nguvu



Namba ya swali 056

Wengine wanasema litakua jini mahaba ndio wananitia hofu sana



Namba ya swali 056

Hapana, hali hiyo huwapata hata watu wenye UTI, KISUKARI NA WENYE MATATIZO YA TEZI YA THYROID NA NEVA. Pia huweza kuwapata watu wakati wakiwa na wa hofu. Ila hata hivyo jini mahaba, sijajuwa habari zake zaidi lakini sijapataponkusikia kuwa anaweza kusababisha hali hiyo. Ila ok wanasema dalili za majini huwa vitu hivi vinatokea. kitu cha msingi ni kuwa makini.



Namba ya swali 056

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1036

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Hatua tatu anazozipitia mgonjwa wa tauni
Hatua tatu anazozipitia mgonjwa wa tauni

Posti hii inahusu zaidi njia au hatua tatu muhimu anazopitia Mgonjwa wa gauni, kuanzia kwa Maambukizi mpaka kwenye hatua ya mwisho hasa kama Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.
Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.

Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri.

Soma Zaidi...
Ishara na dalilili za Kichaa Cha mbwa
Ishara na dalilili za Kichaa Cha mbwa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kichaa cha mbwa ni virusi hatari vinavyoenezwa kwa watu kutoka kwa mate ya wanyama walioambukizwa. Virusi vya kichaa cha mbwa kawaida hupitishwa kwa kuuma.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa fungusi uken
Dalili za ugonjwa wa fungusi uken

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo.

Soma Zaidi...
Dalili za saratani (cancer)
Dalili za saratani (cancer)

Posti hii inahusu zaidi dalili za kansa, ni dalili ambazo utokea kwa mtu Mwenye tatizo la ugonjwa wa Kansa ingawa sio lazima dalili hizi kutokea tukadhani kuwa ni Kansa Ila zilizonyingi huwa ni kweli dalili za kansa.

Soma Zaidi...
 Sababu za maumivu ya matiti na chuchu
Sababu za maumivu ya matiti na chuchu

Maumivu ya matiti yanaweza kuanzia kidogo hadi makali. Inaweza kukuathiri siku chache tu kwa mwezi, kwa mfano kabla tu ya kipindi chako, au inaweza kudumu kwa siku saba au zaidi kila mwezi. Maumivu ya matiti yanaweza kukuathiri kabla tu ya kipindi chako

Soma Zaidi...
Je ugonjwa wa pumu uneweza kusababisha kifo, na nini kifanyike kupunguza madhara?
Je ugonjwa wa pumu uneweza kusababisha kifo, na nini kifanyike kupunguza madhara?

Ugojwa wa pumu ni hatari na unaweza kutokea ghafla. Lakini je unaweza kusababisha kifo, makalahii itakwend akujibu swali hili

Soma Zaidi...
Hatua za kupambana na ugonjwa wa UTI
Hatua za kupambana na ugonjwa wa UTI

Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
ujuwe ugonjwa wa gout na athari zake mwilini
ujuwe ugonjwa wa gout na athari zake mwilini

Post hii itakwenda kuzungumzia ugonjwa wa gout unaosababishwa na ongezeko la asidi mwilini.

Soma Zaidi...