Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri.
1.Kwa hali ya kawaida Ugonjwa ambao unasababishwa na virusi huwa hauna dawa lakini kuna huduma mbalimbali ambazo utolewa na mgonjwa anaweza kupona na kuendelea na hali yake ya kawaida na pengine huwa tiba inayotolewa kuendana na dalili iliyopo kama Mgonjwa anaumwa kichwa dawa ya maumivu utolewa au kama anaharisha dawa ya kuzuia kuharisha utolewa na mambo kama hayo hatimaye Mgonjwa anapata nafuu na kuendelea na shughuli zake kama kawaida.
2. Kwa sababu mgonjwa wa Dengue anakuwa na maumivu makali ya kichwa kwa kawaida anapewa dawa ya maumivu na kwa wakati mwingine anapewa maji ambayo yamependekezwa na wizara ya afya ni lingers na pengine Mgonjwa kama ana uwezo wa kunywa maji ya kawaida anaweza kunywa na pia kuna wakati mwingine hali ikiwa imefikia pabaya mgonjwa huwa anatoa damu kwa hiyo kuna hatari ya kupungukiwa damu kwa hiyo anaongezea damu na anapewa dawa ya kusaidia damu iache kutoka mara kwa mara.
3. Vile vile Tunapaswa kuzuia Ugonjwa huu kwa kwa kuwapatia watu elimu kuhusu kuwepo kwa ugonjwa huu na kuwapatia mbinu za kujikinga na ugonjwa huu kwa kutumia neti wakati wa usiku kukata vichaka na mazalia ya mbu na kwa wakati mwingine kutumia dawa za kujipaka ili kuweza kupunguza kiwango cha kuenea kwa mbu.
4. Kwa hiyo baada ya kujua Ugonjwa huu jamii pia inapaswa ielezwe wazi pale Ugonjwa huu unapotokea ili kuweza kuwafahamisha watu wajue namna ya kujikinga na hasa kuwakinga watoto wadogo na wazee ambao wapo kwenye hatari kubwa ya kupata matatizo zaidi, kwa hiyo na mila na desturi potovu zinapaswa kuepukwa wakati wa kipindi hiki cha Ugonjwa huu ili kuepuka madhara na matatizo yatokanayo na Ugonjwa ambao hauna dawa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowPost hii inakwenda kujibu swali la muulizaji. Kuhusu syyle za tendo la ndoa
Soma Zaidi...Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni huduma maalumu ambayo utolewa kwa mtu ambaye ana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Zifuatazo ni huduma maalumu kwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, ni madhara ambayo yanaweza kutokea iwapo maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa kwa wakati.
Soma Zaidi...Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;
Soma Zaidi...Tezi dume ambayo haijashuka si ya kawaida kwa ujumla, lakini ni ya kawaida kwa wavulana waliozaliwa kabla ya wakati.na muda mwingine zikipanda tumboni huwa hazishuki kabisa kwenye korodani.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya
Soma Zaidi...