Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu.
Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu. Mbu bu katika wadudu wadogo ambao wamechukuwa nafasi kubwa katika tafiti za sayansi. Maeneo mengi ya duniani yamekuwa yakisumbuliwa na maradhi haya.
Mbu hupatikana sana katika maeneo yenye joto. Katika makala hii tutakwenda kueleza maradhi ambayo huletwa na mbu na hususani tutakwenda kuona pia kwa ndani kuhusu ugonjwa wa malaria, na maradhi mengine kama vyanzo vyao, dalili zao na athari zao kiafya.
Makala hii ni katika makala zetu za kiafya ambazo zimeangalia katika yale ambayo yameenea kwenye jamii katika maradhi. Tunatarajia msomaji wetu ukimaliza makala hii utakuwa na ufahamu wa kutosheleza kuhusu mbu, na maradhi ambayo anaambukiza.
Ukiwa na maoni ama mawazo, hakikisha kuwasiliana nasi kwa haraka zaidi kupitia mawasiliano yatu hapo chini. Pia kama unahitaji kutia sauti makala zetu hizi wasiliana nasi:-
Mawasiliano:-
Mwandishi: Rajabu Athuman
Msambazaji: www.bongoclass.com
Phone: +255675255927
Email: admin@bongoclass.com
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dalili za jeraha kali kwenye ubongo, ni majeraha ambayo utokea kwenye ubongo pale ambapo mtu anapata ajali au amepigwa na kitu chochote kigumu kichwni, zifuatazo ni dalili za jeraha kali kwenye ubongo
Soma Zaidi...Dr huwa nasikia maumivu makali sana juu ya tumbo yn kama kuna moto hivi na mgongon kama unadungwa sindano hivi je hizo ni dalili za vidonda vya tumbo?
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuletea somo linalozungumzia maumivu ya tumbo chini ya kitomvu. Ni katika maumivu amaboyo kwa wanaume mara nyingi huhusishwa an ngiri na kwa upande wa wanawake huhusishwa na chango hasa pale wanapokaribia kuingia katika siku zao. Ma
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu
Soma Zaidi...postii hii inshusiana na dalili na matatizo ya pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu ya tetanospasmin inayozalishwa katika majeraha yaliyoambukizwa na kizuizi cha bacillus clostridia. Bakteria ya pepopunda hu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI
Soma Zaidi...Vidonda vya tumbo no tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda,hutokea baada ya ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaitwa mucus kuharibika. Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) imegawanyika katika ma
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazopelekea kukosa choo ,yaani kinyesi kuwa kigumu au kukosa kabisa choo.
Soma Zaidi...Hii ni huduma ya kwanza kwa aliyeshambuliwa na pumu katika mazingira ambayo ni mbali na kituo cha afya, na hakuna dawa.
Soma Zaidi...