picha

Vipimo vya VVU

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vipimo mbalimbali vinavyotumika kupima VVU

VIPIMO VYA VVU:

VVU vinaweza kuonekana mapema sana kulingana na aina ya vipimo. Vipo vipimo ambavyo vinaweza kugunduwa virusi mapema sana hata ndani ya wiki. Hivi hutumiaka sana maabara na si rahisi kuvipata. Hapo chini nitataja baadhi ya vipimo ambavyo hupatikana karibia maeneo mengi

 

Kuna aina nyingi za vipimo vya VVU. Hapa nitataja baadhi tu ya aina za vipimo hivyo:-

1. Kipimo kinachohuisisha Muunganiko wa HIV antibody na antigen. Chenyewe kinaweza tu kupima damu ya mtu. Hivi vinatumika kugunduwa antigeni ijulikanayo kama p24. antigeni p24 ni chembechembe inayozalishwa mwilini baada ya kupata maambukizi, hivyo kama itakuwepo kwenye damu inamaana mtu atakuwa ameathirika. Kipimo hiki kinaweza kugunduwa virusi mwilini kuanzia wiki 2 mpaka 6 toka kuambukizwa. Yaani kuanzia wiki 2 mpaka mweni mmoja na nusu.

 

2.kipimo cha HIV antibody testing. Kipimo hiki kinaweza kupimwa kwa kuchukuwa damu ya mtu ama majimajinya wili wake. Chenyewe kinapima VVU mwilini kuanzia wiki ya 3 mpaka wiki ya 12 yaani wiki tatu mapaka miezi mitatu.

 

3.Kipimo kuangalia viral load; huu ni upimaji wa kiasi cha virusi kwenye kipimo cha damu. Ni kuwa kama kiasi cha virusi kwenye damu yako ni kikubwa sana unaweza kuwa dhaifu kuliko ambaye kiasi chake ni kidogo.

 

4.Kipimo cha kuangalia drugs resistance. Hapa ni kuangalia uwezo wa mwili kama utakuwa msugu kutumia aina flani ya ART.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 4580

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 web hosting     πŸ‘‰2 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰3 ai web app     πŸ‘‰4 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Kutokwa na jasho kupita kiasi wakati wa kulala: Chanzo chake.

kuamka katikati ya usiku ukajikuta nguo zako au mashuka yameloa jasho hadi unalazimika kubadilisha, licha ya kwamba chumba kina ubaridi wa kutosha? Hali hii kitaalamu inajulikana kama Night Sweats. Makala haya yanachambua vyanzo mbalimbali vinavyosababisha tatizo hili, kuanzia sababu za kawaida za kimazingira hadi viashiria vya matatizo ya kiafya yanayohitaji ushauri wa daktari.

Soma Zaidi...
Msaada kwa Mgonjwa aliyeshindwa kupitisha mkojo.

Posti hii utokea huduma ya kwanza kwa mtu aliye na shida ya kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo,

Soma Zaidi...
Sababu za Kutokwa na Uchafu Ukeni

Posti hii inachunguza hali ya kawaida ya kutokwa na uchafu ukeni, ikitofautisha kati ya uchafu wa kawaida (wa kisaikolojia) na ule unaoashiria matatizo ya kiafya. Tutajadili visababishi vikuu, dalili za hatari, na umuhimu wa kuona daktari kwa uchunguzi sahihi.

Soma Zaidi...
​Njia za Kutatua Migogoro Katika Ndoa

​Migogoro katika ndoa ni jambo lisiloepukika, lakini uwezo wa kuitatua ndiyo siri ya ndoa yenye furaha na kudumu. Posti hii inatoa mwongozo wa hatua kwa hatua wa jinsi ya kukabiliana na kutoelewana, kukuza mawasiliano bora, na kujenga msingi wa kuaminiana kati ya wanandoa.

Soma Zaidi...
Dalili za kuaribika kwa mishipa ya retina.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari.

Soma Zaidi...
Sababu za mwanamke kuumwa tumbo y chini ya kitovu.

Posti hii inahusu sababu za mwanamke kuumwa tumbo chini ya kitovu, ni tatizo ambalo limewapata wanawake wengi na pengine sababu ni vigumu kupata au pengine zinapatikana lakini kwa kuchelewa hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.

Soma Zaidi...