Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.
Swali:
Ndio mahana nilikuwa ninafatilia makala yko kwan ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna hali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan.
Jibu:
Γ’ΕΒΓ―ΒΈΒ Weupe wa ulimi uliochanganyika na utandu unaweza kuwa ni dalili ya fangasi. Hata hivyo dalili nyingine zinahitajika ili kuthibitisha dhana hii ama upate vipimo.
Γ’ΕΒΓ―ΒΈΒ Fangasi mdomoni inaweza kuleta dalili nyingine kama vidonda vya mdomo, mashavuvkwa ndani, kupasuka kwa midomo na kona za mdomo.
Γ’ΕΒΓ―ΒΈΒ Vidonda vya kooni vinaweza kuwa ni moja katika dalili za fangasi. Hata hivyo utahitajika kupata vipimo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini
Soma Zaidi...Minyoo ni katika parasite, yaani ni viumbe wanaokaa kwenye mwili na kujipatia chakula chake humo. Katika miili yetu minyoo huishi na kula kuzaliana na kukuwa. Kama unahitaji kujuwa wapi hasa wanakaa mwilini mwetu, endelea na makala hii
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Ugonjwa wa ulevi wakati Mtoto akiwa tumboni (fetasi) ni hali ya mtoto inayotokana na unywaji pombe wakati wa ujauzito wa mama. Ugonjwa wa pombe wa fetasi husababisha uharibifu wa ubongo na matatizo ya ukuaji.
Soma Zaidi...Je, mtu mwenye dalili zifuatazo Kama, Mapigo ya moyo kwenda mbio, mwili kuchoka,kichefuchefu, kizungungu, joto kiasi.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali ni ugonjwa ambao hutokea wakati mwili wako hutoa kiasi cha kutosha cha homoni fulani zinazozalishwa na tezi zako za adrenali. ugonjwa huu hutokea katika makundi yote ya umri na huathiri
Soma Zaidi...Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa upele, ni dalili au mwonekano wa mgonjwa wa upele.
Soma Zaidi...