Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka
1. Kwanza kabisa tunapaswa kuelewa kuwa Mama pindi anapojifungua anapaswa kunyonyesha mtoto wake ndani ya saa Moja kwa hiyo Kuna faida kubwa kwa Mama na kwa mtoto pia, vile vile ni vizuri kabisa Mama kunyonyesha mtoto wake kwa kipindi cha miezi sita bila kumpatia chakula chochote kile hali hii usababisha kumkinga mtoto dhidi ya magonjwa kwa sababu kwenye kinywa cha mtoto Kuna ngozi ya juu ambayo uzuia magonjwa mbalimbali. Kwa hiyo Mama akimpatia mtoto chakula wakati wa miezi ya kwanza usababisha ngozi hiyo kutoka na mtoto ni rahisi kupata maambukizi ya kinywa.
2.Hasa hasa kwa akina Mama wenye maambukizi wanapaswa kujitahidi sana wakati wa kunyonyesha mtoto akiwa chini ya miezi sita kutomchanganyizia mtoto chakula chochote kwa kuepuka maambukizi pale ambapo ngozi ya juu imetoka, kwa hiyo hata Kama Mama ni mfanyakazi anapaswa kutenga mda Ili kunyonyesha mtoto maziwa tu mpaka atakapofikisha umri zaidi ya miezi sita na hapo hiyo ngozi kwenye ulimi inakuwa tayari imekomaa na mtoto anaweza kupewa chakula kiraini.
3. Kwa upande wa wafanyakazi ambao hawawezi kushindwa na watoto wao wakati wa mchana isipokuwa asubuhi, jioni na usiku ni vizuri kukamua maziwa kabla ya kwenda kazini na kiwaachia wanaomtunza mtoto Ili wampatie kwa siku nzima na kitendo cha kukamua maziwa kina hitaji utaamu Ili kuweza kuwa kwenye hali ya usafi na kuepukana na magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kwenye ukamuaji wa maziwa, Kuna wengine wanaotumia mashine maalumu kwa ajili ya kazi hiyo.
4. Kwa akina Mama ambao Hawanyonyeshi kabisa ni kwa sababu pengine ya matatizo ya ki afya au kutokuwepo kwa maziwa kwa baadhi ya akina Mama Kuna maziwa ambayo yanaitwa lactose Yanafanana na maziwa ya Mama Yako madukani na yanaweza kutumiwa na mtoto ambaye Mama yake Hana maziwa au hanyonyeshi kwa sababu za ki afya.
5. Kwa hiyo akina Mama wanapaswa kiwanyonyesha watoto wao kwa kufanya hivyo wanasaidia kuwepo kwa uhusiano kati ya Mama na mtoto na kuwakinga dhidi ya magonjwa na kuwapatia virutubisho muhimu ambavyo usaidia kwenye kukua kutoka hatua Moja kwenda nyingine
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
kama pumbu moja ni kubwa uliko jingine post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakwend akuangalia vinavyoweza kusababisha korodani moja kuw akubwa zaidi ya lingine
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho.
Soma Zaidi...Kichefuchefu ni moja katika dalili za mimba za mapema, Lucinda je upo uwezekano kwa mwanamke kuwa na ujauzito bila hata ya kuwa na kichefuchefu?
Soma Zaidi...Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?
Soma Zaidi...Hali ya ujauzito huanza kutabirika Mara tu ya kujamiana, pia chemikali (hormon) za mwili huanza mchakato wa kuongeza na kupunguza utendaji kazi wa kemikali hizo mfano.follical stimulating hormon (FSH) na lutenazing hormon kuivisha yai tayari kwa kutengen
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.
Soma Zaidi...