picha

Ugonjwa wa Uvimbe kwenye ubongo

Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe au puto katika mshipa wa damu kwenye ubongo. Uvimbe kwenye Ubongo unaweza kuvuja au kupasuka, na kusababisha kuvuja damu kwenye ubongo. Mara nyingi, kupasuka kwa Uvimbe wa Ubongo hutokea katika nafasi kati

DALILI

 Maumivu ya kichwa ya ghafla, kali ni dalili kuu ya Uvimbe uliopasuka.  Maumivu haya ya kichwa mara nyingi huelezewa kama "maumivu ya kichwa mabaya zaidi" kuwahi kutokea.

 Dalili za kawaida za Uvimbe uliopasuka ni pamoja na:

1. Ghafla, maumivu makali sana ya kichwa

2. Kichefuchefu na kutapika

3. Shingo ngumu

 4.kuona Mara mbili mbili.

5. Mshtuko wa moyo

6. Kupoteza fahamu

 

MAMBO HATARI

 Sababu za hatari zinazoendelea kwa muda  ni pamoja na:

1. Umri mkubwa

2. Kuvuta sigara, huweza kusababisha Uvimbe kwenye ubongo.

3. Shinikizo la damu 

4. Ugumu wa mishipa (arteriosclerosis)

5. Matumizi mabaya ya dawa za kulevya, haswa utumiaji wa kokeini

6. Kuumia kichwa

7. Unywaji mkubwa wa pombe, huwa na sumu ambayo huweza Kuathiri mfumo mzima wa ubongo.

8. Maambukizi fulani ya damu

 

Mwisho; Ikiwa uko pamoja na mtu ambaye analalamika kuhusu kuumwa na kichwa kwa ghafla, kali au ambaye anapoteza fahamu au ana kifafa muwahishe kituo Cha afya mapema au Tafuta mbinu yoyote ili mgonjwa alate matibabu.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2905

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 web hosting     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Fahamu Ugonjwa unaohusiana na kuzidi kwa joto mwilini (anhidrosis) ama heatshock

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa na Ugonjwa unaohusiana na joto ambao hujulikana Kama Anhidrosis ni kutoweza jasho kawaida. Usipotoa jasho mwili wako hauwezi kujipoza, jambo ambalo linaweza kusababisha joto kupita. wakati mwingine inaweza k

Soma Zaidi...
Namna magonjwa ya koo yanavyosambaa

Posti hii inahusu zaidi namna ya magonjwa ya koo yanavyosambaa, magonjwa haya usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa njia tofauti kama ifuayavyo

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni

Somo hili linakwenda kukuletea sababu za maumivu ya tumbo kitovu i

Soma Zaidi...
Dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu

Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.

Soma Zaidi...
Dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo

Zijuwe dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo, kama kiungulia, tumbo kujaa, maumivu ya umbo..

Soma Zaidi...
Dalili za minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo

Soma Zaidi...