picha

Ugonjwa wa Uvimbe kwenye ubongo

Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe au puto katika mshipa wa damu kwenye ubongo. Uvimbe kwenye Ubongo unaweza kuvuja au kupasuka, na kusababisha kuvuja damu kwenye ubongo. Mara nyingi, kupasuka kwa Uvimbe wa Ubongo hutokea katika nafasi kati

DALILI

 Maumivu ya kichwa ya ghafla, kali ni dalili kuu ya Uvimbe uliopasuka.  Maumivu haya ya kichwa mara nyingi huelezewa kama "maumivu ya kichwa mabaya zaidi" kuwahi kutokea.

 Dalili za kawaida za Uvimbe uliopasuka ni pamoja na:

1. Ghafla, maumivu makali sana ya kichwa

2. Kichefuchefu na kutapika

3. Shingo ngumu

 4.kuona Mara mbili mbili.

5. Mshtuko wa moyo

6. Kupoteza fahamu

 

MAMBO HATARI

 Sababu za hatari zinazoendelea kwa muda  ni pamoja na:

1. Umri mkubwa

2. Kuvuta sigara, huweza kusababisha Uvimbe kwenye ubongo.

3. Shinikizo la damu 

4. Ugumu wa mishipa (arteriosclerosis)

5. Matumizi mabaya ya dawa za kulevya, haswa utumiaji wa kokeini

6. Kuumia kichwa

7. Unywaji mkubwa wa pombe, huwa na sumu ambayo huweza Kuathiri mfumo mzima wa ubongo.

8. Maambukizi fulani ya damu

 

Mwisho; Ikiwa uko pamoja na mtu ambaye analalamika kuhusu kuumwa na kichwa kwa ghafla, kali au ambaye anapoteza fahamu au ana kifafa muwahishe kituo Cha afya mapema au Tafuta mbinu yoyote ili mgonjwa alate matibabu.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3223

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa, ugonjwa huu usipotibiwa unaweza sababisha madhara mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Chakula bora kwa watoto chini ya miaka mitano.

Miaka mitano ya kwanza ya maisha ni kipindi cha ukuaji wa kasi, ambapo lishe sahihi inaamua msingi wa afya ya kimwili na kiakili kwa maisha yote. Makala haya yanachunguza mahitaji ya lishe kwa watoto wadogo, kutoa ushauri wa kitaalamu juu ya vyakula bora, na kutoa mwongozo wa namna ya kujenga tabia njema za ulaji ili kuzuia utapiamlo na magonjwa yasiyoambukiza.

Soma Zaidi...
Yajuwe maradhi mbalmbali ya ini na chanzo chake

Ini ni moja ya ogani za mwili ambazo husumbuliwa na maradhi hatari sana. Katika post hii utakwend akuyajuwa maradh hatari ambayo hushambulia ini. Pia utajifunza jinsi a kujikinga na maradhi hayo.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo

hapa utajifunza maradhi mbalimbali yanatopelekea kuwepo kwa maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...
Fahamu Dalili za Ugonjwa wa Bawasiri

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Bawasiri. Bawasiri ni mishipa iliyovimba kwenye njia yako ya haja kubwa na sehemu ya chini ya puru. Bawasiri inaweza kutokana na kukaza mwendo wakati wa kwenda haja ndogo au kutokana na shinikizo la kuongeze

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kuporomoka kwa mapafu (pneumothorax)

Posti hii inazungumzia Ugonjwa wa mapafu ambao hujulikana Kama pafu lililoporomoka (Pneumothorax) hutokea wakati hewa inavuja kwenye nafasi kati ya mapafu yako na ukuta wa kifua. Hewa hii hutoka nje ya pafu lako. Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na jera

Soma Zaidi...