Dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu
Post hii inahusu zaidi mtu aliyekula chakula chenye sumu, chakula chenye sumu ni chakula ambacho kikitumiwa na mtu yeyote kinaweza kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu hata kifo.
Zifuatazo ni dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu.
1. Kichwa kuuma sana
- hii utokana na damu chafu iliyo na sumu kuzunguka sehemu za kichwa hatimaye usababisha kichwa kuuuma
2. Kichefuchefu
- mtu aliyekula chakula chenye sumu husikia sana kichefuchefu hii utokea kwa sababu mwili hutaka kutoa sumu nje
3. Kutapika
- mtu aliyekula chakula chenye sumu hutapika Ili kuondoa sumu kwenye mwili na kufanya mwili uwe kawaida
4.Tumbo kuuma
- kwa sababu ya kuwepo kitu kisicho Cha kawaida tumbo uanza kuuma na kujaribu kutoa uchafu ulioingia kwenye mwili
5.joto la mwili kuongezeka
- kwa sababu ya kuwepo sumu kwenye mwili kila kiungo huwa tayari kupigana na kitu kilichoingia mwilini kwa hiyo na joto la mwili hupana
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitabu cha Afya π2 Dua za Mitume na Manabii π3 ai web app π4 kitabu cha Simulizi π5 Madrasa kiganjani π6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Maambukizi ya ngozi (Cellulitis): Dalili na tiba ya hospitalini.
Ufafanuzi: Ugonjwa wa dharura wa maambukizi ya bakteria kwenye tabaka za ndani za ngozi.Maeneo Yanayoathiriwa Zaidi: Mara nyingi hutokea kwenye miguu, ingawa unaweza kuathiri sehemu yoyote ya mwili ikiwemo uso na mikono.Dalili Kuu: Ngozi kuwa nyekundu, kuvimba, kuhisi joto kali, maumivu makali, na kutoa malengelenge au michirizi myekundu.Tiba ya Hospitalini: Matumizi ya viuavijasumu (antibiotics) vya kumeza au vya kuwekewa kwenye mishipa ya damu (Intravenous) kulingana na ukali wa maambukizi.Matatizo: Isipotibiwa, inaweza kusababisha maambukizi kwenye damu (sepsis), uharibifu wa tishu (necrotizing fasciitis), au maambukizi kwenye mifupa (osteomyelitis).
Soma Zaidi...Dalili na ishara za kuvimba kope.
Posti hii inaonyesha Dalili na ishara za kuvimba kope ambayo kitaalamu hujulikana Kama blepharitis.
Soma Zaidi...Walio kwenye hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa
Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa,
Soma Zaidi...Ufahamu ugonjwa wa UTI na dalili zake hasa kwa wajawazito
Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI
Soma Zaidi...Jinsi ya kuishi na mtu mwenye matatizo ya afya ya akili.
βKuishi na mtu anayekabiliwa na changamoto za afya ya akili ni safari inayohitaji subira, elimu, na mipaka ya kijamii iliyo thabiti. Makala haya yanatoa mwongozo wa kitaalamu kuhusu namna ya kutoa msaada bila kupoteza ustawi wako mwenyewe. Tunachambua mbinu za mawasiliano, umuhimu wa kutoa nafasi, na jinsi ya kuunda mazingira ya kuaminiana, huku tukisisitiza umuhimu wa msaada wa kitaalamu na utunzaji binafsi kwa walezi (caregivers
Soma Zaidi...kuhusu ugonjwa wa Fangasi ya mdomo na ulimi hilo tatizo linanisumbua kwa mda napata muwasho juu ya ulimi naomba ushauli wako ili niweze kutatua hilo tatizo?β
Hivi badovunasumbuliwa na fangasi kwenye mdomo ama ulimi. Ni dawa gani umeshatumia bila mafanikio?.
Soma Zaidi...