Dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu
Post hii inahusu zaidi mtu aliyekula chakula chenye sumu, chakula chenye sumu ni chakula ambacho kikitumiwa na mtu yeyote kinaweza kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu hata kifo.
Zifuatazo ni dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu.
1. Kichwa kuuma sana
- hii utokana na damu chafu iliyo na sumu kuzunguka sehemu za kichwa hatimaye usababisha kichwa kuuuma
2. Kichefuchefu
- mtu aliyekula chakula chenye sumu husikia sana kichefuchefu hii utokea kwa sababu mwili hutaka kutoa sumu nje
3. Kutapika
- mtu aliyekula chakula chenye sumu hutapika Ili kuondoa sumu kwenye mwili na kufanya mwili uwe kawaida
4.Tumbo kuuma
- kwa sababu ya kuwepo kitu kisicho Cha kawaida tumbo uanza kuuma na kujaribu kutoa uchafu ulioingia kwenye mwili
5.joto la mwili kuongezeka
- kwa sababu ya kuwepo sumu kwenye mwili kila kiungo huwa tayari kupigana na kitu kilichoingia mwilini kwa hiyo na joto la mwili hupana
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 web hosting 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Namna ya kuzuia Ugonjwa wa ini
Posti hii inaelezea namna na jinsi ya kujikinga au kuzuia Ugonjwa wa ini.
Soma Zaidi...Matibabu ya vidonda sugu
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Madhara ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu
Post hii inahusu Zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.
Soma Zaidi...Inakuwaje unafanya ngono na aliyeathirika na usipate UKIMWI?
Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzing
Soma Zaidi...Njia za kupambana na fangasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi
Soma Zaidi...Minyoo na athari zao kiafya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya
Soma Zaidi...