Dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu
Post hii inahusu zaidi mtu aliyekula chakula chenye sumu, chakula chenye sumu ni chakula ambacho kikitumiwa na mtu yeyote kinaweza kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu hata kifo.
Zifuatazo ni dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu.
1. Kichwa kuuma sana
- hii utokana na damu chafu iliyo na sumu kuzunguka sehemu za kichwa hatimaye usababisha kichwa kuuuma
2. Kichefuchefu
- mtu aliyekula chakula chenye sumu husikia sana kichefuchefu hii utokea kwa sababu mwili hutaka kutoa sumu nje
3. Kutapika
- mtu aliyekula chakula chenye sumu hutapika Ili kuondoa sumu kwenye mwili na kufanya mwili uwe kawaida
4.Tumbo kuuma
- kwa sababu ya kuwepo kitu kisicho Cha kawaida tumbo uanza kuuma na kujaribu kutoa uchafu ulioingia kwenye mwili
5.joto la mwili kuongezeka
- kwa sababu ya kuwepo sumu kwenye mwili kila kiungo huwa tayari kupigana na kitu kilichoingia mwilini kwa hiyo na joto la mwili hupana
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 web hosting 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Kiungulia na tiba zake kwa wajawazito.
Posti hii inahusu kiungulia kwa wanawake wajawazito na tiba yake, ni ugonjwa au hali inayowapata wajawazito walio wengi kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Fahamu ugonjwa wa Varicose vein
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa vericose veini, hili ni tatizo ambalo utokea katika mzunguko wa damu hasa kwenye miguu.
Soma Zaidi...Saratani ya Matiti ya wanaume.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ya matiti ya Mwanaume ni Saratani nadra ambayo hutokea katika tishu za matiti za wanaume. Ingawa saratani ya matiti hufikiriwa zaidi kuwa ugonjwa wa wanawake, saratani ya matiti ya mwanaume hutokea. Saratani y
Soma Zaidi...Chanzo cha kiungulia
Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki.
Soma Zaidi...