image

Njia za kuondokana na fangasi

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuweza kupambana na fangasi za ukeni ili kuweza kujiepusha na madhara mbalimbali kwenye maisha ambayo ni pamoja na ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.

Njia za kuzuia fangasi.

1.  Kunywa maji mengi angalau glass nane kwa siku,

Kwa kufanya hivyo unaweza kusaidia kiwango cha kupunguza fangasi kwenye maisha kwa sababu maji yanasaidia kutoa fangasi ambao wapo tayari kwenye sehemu mbalimbali za mwili au kwenye via vya uzazi.

 

2. Jaribu kuepuka matumizi ya vileo vikali na hasa matumizi ya pombe na kahawa kwa sababu ni vitu ambavyo usababisha kuwepo kwa fangasi, kwa kufanya hivyo utaweza kupunguza kiwango cha fangasi.

 

3. Kunywa maji mengi baada ya kujamiiana na kojoa baada ya kujamiiana, kwa sababu kama kuna fangasi wataweza kutoka na kuepuka kuendelea kuwepo katika sehemu mbalimbali.

 

4. Kwa kawaida tunapaswa kutawadha kuanzia mbele kwenda nyuma, kwa sababu ukianzia nyuma kwenda mbele kuna bakteria ambao wanaweza kutoka kwenye njia ya haja kubwa na kuingia kwenye uke hali ambayo Usababisha kuwepo kwa fangasi.

 

5 kwa kawaida tunapaswa kukata makucha makubwa kwa sababu mtu akitoka choo anaweza kuja na hao fangasi na kuweza kusababisha kuendelea kwa kuenea kwa fangasi bila kuwepo aina yoyote ya uponyaji.

 

6. Daima tumia pedi ukiwa kwenye siku zako za mwezi na pedi hiyo isizidi masaa mawili kwa hiyo baada ya masaa mawili unapaswa kubadilika hiyo aina ya pedi na kuanza kutumia nyingine.

 

7. Epuka matumizi ya vipodozi kwenye sehemu za siri, kwa kawaida kuna wanawake au wasichana kabla ya kujamiiana uweka vipodozi kwenye sehemu za siri kwa hiyo vipodozi hivyo ni hatari kwa afya.

 

8. Daima vaa nguo za ndani za pamba.

Kwa kufanya hivyo utaweza kupunguza njia ya kuenea kwa fangasi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuendelea kuendelea kupambana na fangasi ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali kama vile ugumba na Maambukizi kwenye via vya ya uzazi

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 925


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Namna ya Kuzuia Mtoto mwenye kifua kikuu (TB).
posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano. Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kliniki yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Soma Zaidi...

Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini
Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Uvimbe kwenye ubongo
Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe au puto katika mshipa wa damu kwenye ubongo. Uvimbe kwenye Ubongo unaweza kuvuja au kupasuka, na kusababisha kuvuja damu kwenye ubongo. Mara nyingi, kupasuka kwa Uvimbe wa Ubongo hutokea katika nafasi kati Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa. Soma Zaidi...

Aina ya kisukari inayojulikana kama Diabety type 1
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisukari Aina ya kwanza ambapo kwa kitaalamu huitwa Diabetes type 1, ni hali ambayo utokea ambapo mwili ushindwa kutengeneza insulini ambayo uweka sukari kwenye hali ya usawa. Soma Zaidi...

Je unaweza kupata ujauzito bila ya kupata hedhi miezi 9 baada ya kujifunguwa?
Baada ya kujifungua mwili wa mwanamke huwa na mabadiliko tofauti na siku za nyuma. Kwa mfano hatapatavtena hedhi, hatoweza kupata ujauzito kwa muda wa mwezi ama zaidi. Endelea na post hii ujifunze zaidi Soma Zaidi...

Dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu
Post hii inahusu zaidi mtu aliyekula chakula chenye sumu, chakula chenye sumu ni chakula ambacho kikitumiwa na mtu yeyote kinaweza kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu hata kifo. Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo. Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake Soma Zaidi...

Dalili za madhara ya figo
Posti hii inahusu dalili za figo.figo husawazisha maji mwilini pamoja na kuchuja mkojo. Soma Zaidi...

Dalili za kuvimbiwa kwa watoto.
Kuvimbiwa kwa watoto ni shida ya kawaida. Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi huonyeshwa na kinyesi kisicho kawaida au kinyesi ngumu na kavu. Soma Zaidi...

Madhara ya fangasi.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema. Soma Zaidi...