Njia za kuondokana na fangasi
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuweza kupambana na fangasi za ukeni ili kuweza kujiepusha na madhara mbalimbali kwenye maisha ambayo ni pamoja na ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.
Njia za kuzuia fangasi.
1. Kunywa maji mengi angalau glass nane kwa siku,
Kwa kufanya hivyo unaweza kusaidia kiwango cha kupunguza fangasi kwenye maisha kwa sababu maji yanasaidia kutoa fangasi ambao wapo tayari kwenye sehemu mbalimbali za mwili au kwenye via vya uzazi.
2. Jaribu kuepuka matumizi ya vileo vikali na hasa matumizi ya pombe na kahawa kwa sababu ni vitu ambavyo usababisha kuwepo kwa fangasi, kwa kufanya hivyo utaweza kupunguza kiwango cha fangasi.
3. Kunywa maji mengi baada ya kujamiiana na kojoa baada ya kujamiiana, kwa sababu kama kuna fangasi wataweza kutoka na kuepuka kuendelea kuwepo katika sehemu mbalimbali.
4. Kwa kawaida tunapaswa kutawadha kuanzia mbele kwenda nyuma, kwa sababu ukianzia nyuma kwenda mbele kuna bakteria ambao wanaweza kutoka kwenye njia ya haja kubwa na kuingia kwenye uke hali ambayo Usababisha kuwepo kwa fangasi.
5 kwa kawaida tunapaswa kukata makucha makubwa kwa sababu mtu akitoka choo anaweza kuja na hao fangasi na kuweza kusababisha kuendelea kwa kuenea kwa fangasi bila kuwepo aina yoyote ya uponyaji.
6. Daima tumia pedi ukiwa kwenye siku zako za mwezi na pedi hiyo isizidi masaa mawili kwa hiyo baada ya masaa mawili unapaswa kubadilika hiyo aina ya pedi na kuanza kutumia nyingine.
7. Epuka matumizi ya vipodozi kwenye sehemu za siri, kwa kawaida kuna wanawake au wasichana kabla ya kujamiiana uweka vipodozi kwenye sehemu za siri kwa hiyo vipodozi hivyo ni hatari kwa afya.
8. Daima vaa nguo za ndani za pamba.
Kwa kufanya hivyo utaweza kupunguza njia ya kuenea kwa fangasi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuendelea kuendelea kupambana na fangasi ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali kama vile ugumba na Maambukizi kwenye via vya ya uzazi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 kitabu cha Simulizi π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 Kitabu cha Afya π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Madrasa kiganjani π6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi dalili la jeraha la kawaida kwenye ubongo, jeraha la kawaida utokea kwa sababu mbalimbali kama vile kupata ajali na kugongwa na kitu chochote kichwani,
Soma Zaidi...Dalili za Pua iliyovunjika
posti hii inahusu dalili za Pua iliyovunjika, pia inaitwa fracture ya pua, ni kuvunjika au kupasuka kwa mfupa katika pua yako
Soma Zaidi...Baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha
Soma Zaidi...Sababu za Kutokwa na Uchafu Ukeni
Posti hii inachunguza hali ya kawaida ya kutokwa na uchafu ukeni, ikitofautisha kati ya uchafu wa kawaida (wa kisaikolojia) na ule unaoashiria matatizo ya kiafya. Tutajadili visababishi vikuu, dalili za hatari, na umuhimu wa kuona daktari kwa uchunguzi sahihi.
Soma Zaidi...Upweke (Loneliness) and athari zake kiafya.
βKatika jamii ya kisasa, upweke umetajwa na wataalamu wengi wa afya kuwa ni janga la kimya kimya linaloathiri mamilioni ya watu duniani. Makala hii inachunguza kwa kina dhana ya upweke, ikibainisha tofauti iliyopo kati ya kuwa peke yako (being alone) na kujihisi mpweke (feeling lonely). Aidha, tutaangazia athari kubwa za kiafya zinazotokana na hali hii, kuanzia magonjwa ya moyo hadi matatizo ya afya ya akili, na kutoa mwongozo wa hatua za kuchukua ili kujenga mahusiano yenye tija.
Soma Zaidi...