Posti hii inahusu zaidi tatizo la fizi kuachana, ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi kwa wakati mwingine unakuta fizi zimeachana kutoka sehemu moja kwa nyingine kwa hiyo tunaweza kuona sababu kama ifuatavyo.
Tatizo la fizi kuachana.
1. Tatizo la kwanza ni meno juwa madogo sana kuliko size ya teeth na jaw bone.
Kwa wakati mwingine unakuta mtu ana meno madogo kwa size yake na Usababisha fizi kuachana.
2. Sababu nyingine ni za kigenetics kwa sababu unakuta familia nzima ina meno ya hivyo kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.
3. Sababu nyingine ni kuwa na uvimbe kwenye fizi za meno au kuwepo kwa uvimbe kwenye tisu za fizi usababisha fizi kuachana kutoka kwenye hatua moja kwa nyingine.
4. Watoto wengine ambao wana tabia ya kunyonya vidole fumba wana kwa mda mrefu ufanya fizi zao kuachana kutoka kwenye sehemu moja kwa nyingine.
5. Pengine kuna magonjwa ya fizi.
Magonjwa ya fizi nayo usababisha fizi kuachana kutoka kwa moja na nyingine kwa kitaalamu Magonjwa hayo huitwa gum disease.
6. Matumizi mbalimbali ya kemikali nayo usababisha fizi kuachana, pengine kemikali hizi utumika katika kusafisha meno au urembo kwenye meno Usababisha fizi kuachana.
7.Kwa hiyo tunaona wazi kubwa sababu mbalimbali ambazo ufanya fizi kuachana kwa hiyo kwa zile ambazo zinaweza kutibika na kurekebishwa zinapaswa kufanywa hivyo ili kuondoa matatizo haya kwenye jamii.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Muda gani ukimwi huweza kuonekana mwilini ama kugundulika kama umeathirika, ni dalili zipo hujitokeza punde tu utakapoathirika
Soma Zaidi...Hepatitis B Ni maambukizi ya ini ambayo yamekuwa sugu kuanzia mwezi na kuendelea.
Soma Zaidi...Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa ya damu katika mwili wako wote. Kuvimba kwa Mishipa ya Damu hujulikana Kama Behcet amboyo husababisha dalili nyingi ambazo hapo awali zinaweza kuonekana kuwa hazihusiani. Dalili na ish
Soma Zaidi...Saratani ya Figo ni Saratani ambayo huanzia kwenye figo. Figo zako ni viungo viwili vyenye umbo la maharagwe, kila kimoja kikiwa na ukubwa wa ngumi yako. Ziko nyuma ya viungo vyako vya tumbo, na figo moja kila upande wa mgongo wako.
Soma Zaidi...Post hii fupi inakwenda kukujuza juu ya tatizo la fangasi na nini ufanye.
Soma Zaidi...MAMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO Tukiachia mbali kuchukua dawa aina ya NSAIDs, unaweza kuwa na hatari ya kuongezeka kwa vidonda vya tumbo ikiwa: Utakuwa ni mvutaji wa sigara.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kufunga kwa ulimi (Tongue-tie) kuanzia Mtoto anavyo zalia mpaka navyokua ni hali inayotokea wakati wa kuzaliwa ambayo kitaalamu hujulikana kama ankyloglossia.
Soma Zaidi...