picha

Tatizo la fizi kuachana.

Posti hii inahusu zaidi tatizo la fizi kuachana, ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi kwa wakati mwingine unakuta fizi zimeachana kutoka sehemu moja kwa nyingine kwa hiyo tunaweza kuona sababu kama ifuatavyo.

Tatizo la fizi kuachana.

1. Tatizo la kwanza ni meno juwa madogo sana kuliko size ya teeth na jaw bone.

Kwa wakati mwingine unakuta mtu ana meno madogo kwa size yake na Usababisha fizi kuachana.

 

2. Sababu nyingine ni za kigenetics kwa sababu unakuta familia nzima ina meno ya hivyo kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.

 

3. Sababu nyingine ni kuwa na uvimbe kwenye fizi za meno  au kuwepo kwa uvimbe kwenye tisu za fizi usababisha fizi kuachana kutoka kwenye hatua moja kwa nyingine.

 

4. Watoto wengine ambao wana tabia ya kunyonya vidole fumba wana kwa mda mrefu ufanya fizi zao kuachana kutoka kwenye sehemu moja kwa nyingine.

 

5. Pengine kuna magonjwa ya fizi.

Magonjwa ya fizi nayo usababisha fizi kuachana kutoka kwa moja na nyingine kwa kitaalamu Magonjwa hayo huitwa gum disease.

 

6. Matumizi mbalimbali ya kemikali nayo usababisha fizi kuachana, pengine kemikali hizi utumika katika kusafisha meno au urembo kwenye meno Usababisha fizi kuachana.

 

7.Kwa hiyo tunaona wazi kubwa sababu mbalimbali ambazo ufanya fizi kuachana kwa hiyo kwa zile ambazo zinaweza kutibika na kurekebishwa zinapaswa kufanywa hivyo ili kuondoa matatizo haya kwenye jamii.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1703

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 web hosting     👉5 ai web app     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Madhara ya kutotibu uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni madhara yanayotokea kwenye mfumo mzima wa kupitisha mkojo na via vya uzazi kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Kivimba kwa mishipa ya Damu

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa yako ya damu. Inasababisha mabadiliko katika kuta za mishipa ya damu, ikiwa ni pamoja na kuimarisha, kudhoofisha, kupungua na kupungua. Mabadiliko haya huzuia mtiririko wa damu, na kusababi

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano

Posti hii inaonyesha mambo mbalimbali yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Tiba ya vidonda vya tumbo na dawa zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake

Soma Zaidi...
VIDONDA VYA TUMBO SUGU

VIDONDA VYA TUMBO SUGU Matibabu ya vidonda vya tumbo mara nyingi hufanikiwa, na kusababisha uponyaji wa vidonda.

Soma Zaidi...
Dalili na Ishara za mawe kwenye figo

Mawe kwenye figo yana sababu nyingi na yanaweza kuathiri sehemu yoyote ya njia yako ya mkojo kutoka kwa figo hadi kibofu chako.

Soma Zaidi...