Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

TATIZO LA FIZI KUACHANA.


image


Posti hii inahusu zaidi tatizo la fizi kuachana, ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi kwa wakati mwingine unakuta fizi zimeachana kutoka sehemu moja kwa nyingine kwa hiyo tunaweza kuona sababu kama ifuatavyo.


Tatizo la fizi kuachana.

1. Tatizo la kwanza ni meno juwa madogo sana kuliko size ya teeth na jaw bone.

Kwa wakati mwingine unakuta mtu ana meno madogo kwa size yake na Usababisha fizi kuachana.

 

2. Sababu nyingine ni za kigenetics kwa sababu unakuta familia nzima ina meno ya hivyo kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.

 

3. Sababu nyingine ni kuwa na uvimbe kwenye fizi za meno  au kuwepo kwa uvimbe kwenye tisu za fizi usababisha fizi kuachana kutoka kwenye hatua moja kwa nyingine.

 

4. Watoto wengine ambao wana tabia ya kunyonya vidole fumba wana kwa mda mrefu ufanya fizi zao kuachana kutoka kwenye sehemu moja kwa nyingine.

 

5. Pengine kuna magonjwa ya fizi.

Magonjwa ya fizi nayo usababisha fizi kuachana kutoka kwa moja na nyingine kwa kitaalamu Magonjwa hayo huitwa gum disease.

 

6. Matumizi mbalimbali ya kemikali nayo usababisha fizi kuachana, pengine kemikali hizi utumika katika kusafisha meno au urembo kwenye meno Usababisha fizi kuachana.

 

7.Kwa hiyo tunaona wazi kubwa sababu mbalimbali ambazo ufanya fizi kuachana kwa hiyo kwa zile ambazo zinaweza kutibika na kurekebishwa zinapaswa kufanywa hivyo ili kuondoa matatizo haya kwenye jamii.



Sponsored Posts


  πŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       πŸ‘‰    2 Mafunzo ya html kwa kiswahili       πŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani       πŸ‘‰    4 ICT       πŸ‘‰    5 Maktaba ya vitabu       πŸ‘‰    6 Hadiythi za alif lela u lela    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Salvertory Tags AFYA , Afya , ALL , Tarehe 2022/03/08/Tuesday - 07:36:47 pm     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 662



Post Nyingine


image Namna ya kuzuia ugonjwa wa kipindupindu,
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera. Soma Zaidi...

image Namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa Mama
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa mama, zoezi hili ufanyika kila mwezi pale mama anapokuja kwenye mahudhurio kwa kufanya hivyo tunaweza kuja maendeleo ya mtoto kwa kila mwezi. Soma Zaidi...

image Dalili na ishara za ugonjwa sugu was Figo.
 Dalili na ishara za ugonjwa sugu wa figo hukua baada ya muda ikiwa uharibifu wa figo unaendelea polepole.  Kupoteza utendakazi wa figo kunaweza kusababisha mrundikano wa majimaji au uchafu wa mwili. Kulingana na jinsi ilivyo kali, upotezaji wa kazi ya figo unaweza kusababisha: Soma Zaidi...

image Dalili za ukosefu wa misuli.
Posti hii inahusu dalili za ukosefu wa misuli. ukosefu wa udhibiti wa misuli wakati wa harakati za hiari, kama vile kutembea au kuokota vitu. Ishara ya hali ya msingi, Ataxia inaweza kuathiri harakati, hotuba, harakati za jicho na kumeza. Soma Zaidi...

image Ukiwa unalima sana unaweza kukonda
Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi? Soma Zaidi...

image Njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka Soma Zaidi...

image Kucha langu LA mguu linang'ooka...nini chaweza kuwa tatizo
Je na wewe unasumbukiwa na kunggoka jwa kucha. Tatizo limekunaza una muda gani nalo? Soma Zaidi...

image Kazi za madini ya Shaba mwilini.
Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo Soma Zaidi...

image Dalili za UTI upande wa wanawake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanawake Soma Zaidi...

image Namna ya kufanya usafi wa sikio
Post hii inahusu zaidi namna ya kufanya usafi wa sikio, sikio ni mojawapo ya ogani ambayo usaidia kusikia,kwa hiyo sikio linapaswa kusafishwa kwa uangalifu kama tutakavyoona hapo chini. Soma Zaidi...