picha

Yajue magonjwa ya kurithi.

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa vya kurithi ambayo mara nyingi utokea kwenye jamii ni magonjwa ambayo yanaweza kutokea kwenye familia na wanafamilia walio wengi wakaweza kupata ugonjwa huo Magonjwa yenyewe ni kama ifuatavyo.

 1.Ugonjwa wa pumu au Athman.

Huu ni mojawapo ya magonjwa ya kurithi nkwa sababu yanaweza nkuenea kwenye famii kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa sababu ya kuwepo kwenye familia huu Ugonjwa utakuta una baba, babu na pengine uko kwa mtoto.

 

2. Magonjwa ya macho na kuweza kwa upofu kwenye familia.

Na huu ni mojawapo ya magonjwa ya kurithi kwa sababu uweza kutokea kwenye familia na ukakuta familia nzima ina Ugonjwa huu kwa hiyo huu Ugonjwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na ukakuta familia nzima yote ina Ugonjwa huu.

 

3. Kuwepo kwa tatizo la mbilikimo.

Kwa mfano unaweza ukakuta familia yote asilimia kubwa ya watu waliomo ni mbilikimo na ukiangalia kutoka kizazi kimoja kwenda kingine ni mbilikimo.

 

4. Matatizo ya kuwepo kwa kifafa kwenye familia.

Ingawa kifafa kingine utokea kwa sababu ya Ugonjwa na pengine kwa sababu ya hali mbalimbali ila kuna familia nyingine unaweza kukuta kuna watu hata wakiwa wazima bado wanaanguka kwa sababu ya kuwepo kwa kifafa.

 

5. Matatizo ya akili.

Na pia utokana na kurithi kwa sababu unaweza kukuta familia yote watu wote wana Magonjwa ya akili.

 

6.kuwepo kwa albino.

Na hili ni tatizo la kuridhi kwa sababu unaweza kukuta kwenye familia kuna watoto wengi wa albino na ukija kuangalia ni kutoka kwa mababu Kun mtu alikuwa hivyo.

 

7. Ugonjwa wa seli mundu yaani sickle cell ni kitendo ambacho seli zinakuwa na kiasi kidogo cha kusambaza gasi ya oksijeni mwilini na kwa mwonekano wake seli zinatengeneza sickle.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 5454

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 web hosting     ๐Ÿ‘‰2 Dua za Mitume na Manabii     ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio     ๐Ÿ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     ๐Ÿ‘‰5 ai web app     ๐Ÿ‘‰6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Je na kwa upande wa mwanaume kuumwa upande wa kushoto wa tumbo kuna shida gani?

Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuรขยโ€

Soma Zaidi...
Fahamu mapacha wanavyounganishwa.

Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa vijusi viwili vitakua kutoka kwa kiinitete hiki, wataendelea kushikamana mar

Soma Zaidi...
DALILI ZA UTUMBO KUZIBA

Kuziba kwa utumbo ni kuziba kwa chakula au kimiminika kisipite kwenye utumbo mwembamba au utumbo mpana (colon). Kuziba kwa matumbo kunaweza kusababishwa na mikanda ya nyuzi kwenye fumbatio ambayo huunda baada ya upasuaji, mifuko iliyovimba au iliyoambuk

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa moyo.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mambo hatari yanayosababisha ugonjwa wa moyo.

Soma Zaidi...
Njia ambazo VVU huambukizwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo VVU huambukizwa

Soma Zaidi...