Yajue magonjwa ya kurithi.

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa vya kurithi ambayo mara nyingi utokea kwenye jamii ni magonjwa ambayo yanaweza kutokea kwenye familia na wanafamilia walio wengi wakaweza kupata ugonjwa huo Magonjwa yenyewe ni kama ifuatavyo.

 1.Ugonjwa wa pumu au Athman.

Huu ni mojawapo ya magonjwa ya kurithi nkwa sababu yanaweza nkuenea kwenye famii kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa sababu ya kuwepo kwenye familia huu Ugonjwa utakuta una baba, babu na pengine uko kwa mtoto.

 

2. Magonjwa ya macho na kuweza kwa upofu kwenye familia.

Na huu ni mojawapo ya magonjwa ya kurithi kwa sababu uweza kutokea kwenye familia na ukakuta familia nzima ina Ugonjwa huu kwa hiyo huu Ugonjwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na ukakuta familia nzima yote ina Ugonjwa huu.

 

3. Kuwepo kwa tatizo la mbilikimo.

Kwa mfano unaweza ukakuta familia yote asilimia kubwa ya watu waliomo ni mbilikimo na ukiangalia kutoka kizazi kimoja kwenda kingine ni mbilikimo.

 

4. Matatizo ya kuwepo kwa kifafa kwenye familia.

Ingawa kifafa kingine utokea kwa sababu ya Ugonjwa na pengine kwa sababu ya hali mbalimbali ila kuna familia nyingine unaweza kukuta kuna watu hata wakiwa wazima bado wanaanguka kwa sababu ya kuwepo kwa kifafa.

 

5. Matatizo ya akili.

Na pia utokana na kurithi kwa sababu unaweza kukuta familia yote watu wote wana Magonjwa ya akili.

 

6.kuwepo kwa albino.

Na hili ni tatizo la kuridhi kwa sababu unaweza kukuta kwenye familia kuna watoto wengi wa albino na ukija kuangalia ni kutoka kwa mababu Kun mtu alikuwa hivyo.

 

7. Ugonjwa wa seli mundu yaani sickle cell ni kitendo ambacho seli zinakuwa na kiasi kidogo cha kusambaza gasi ya oksijeni mwilini na kwa mwonekano wake seli zinatengeneza sickle.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 4139

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Aina ya kisukari inayojulikana kama Diabety type 1

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisukari Aina ya kwanza ambapo kwa kitaalamu huitwa Diabetes type 1, ni hali ambayo utokea ambapo mwili ushindwa kutengeneza insulini ambayo uweka sukari kwenye hali ya usawa.

Soma Zaidi...
Dalili za ngozi kuwasha.

Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa kuhusiana na dalili za ngozi kuwashwa.

Soma Zaidi...
Homa ya Dengue, dalili za homa ya dengue na Njia ya kujikinga nayo

HOMA YA DENGUEHoma ya dengue ni miongoni mwa maradhi hatari ambayo husambazwa na mbu.

Soma Zaidi...
Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito

Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona

Soma Zaidi...
Je unazijuwa dalili za Ukimwi na HIV?

Huwenda ukawa ni moja kati ya watu wanaotaka kujuwa juu ya dalili za ukimwi. Kama wewe ni katika watu hawa tambuwa kuwa kuna dalili za VVU (hiv) na dalili za ukimwi. Makala hii itakwenda kukuletea dalili kuu za mwanzo za VVU na HIV kuanzia wiki tatu za mw

Soma Zaidi...
Madhara ya Tiba kemikali kwa wagonjwa wa saratani

Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba kemikali, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wa saratani, madhara haya yanayoweza kuwa ni kwa Sababu mbalimbali kama vile kuaribika kwa seli zinazoendelea kufanya kazi kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa macho

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa macho, ni ugonjwa ambao ushambulia zaidi sehemu za nje za macho ambazo kwa kawaida uitwa conjunctiva na cornea hizi sehemu zikipata maambukizi zisipotibiwa mapema uweza kusababisha upofu kwa mgonjwa.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo chini ya kifua, upande wa kulia na chini ya kitomvu.

Afya ya tumbo ni ishara tosha ya umadhibuti wa afya ya mtu. Maradhi mengi wanayouguwa watu chanzo kile mti anachokula. Yapo maradhi sugu kama saratani ambayo husababishwa pia na vyakula. Post hii itakwenda kujibu swalo la muulizaji kuhusu maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...