Posti hii inahusu zaidi Magonjwa vya kurithi ambayo mara nyingi utokea kwenye jamii ni magonjwa ambayo yanaweza kutokea kwenye familia na wanafamilia walio wengi wakaweza kupata ugonjwa huo Magonjwa yenyewe ni kama ifuatavyo.
1.Ugonjwa wa pumu au Athman.
Huu ni mojawapo ya magonjwa ya kurithi nkwa sababu yanaweza nkuenea kwenye famii kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa sababu ya kuwepo kwenye familia huu Ugonjwa utakuta una baba, babu na pengine uko kwa mtoto.
2. Magonjwa ya macho na kuweza kwa upofu kwenye familia.
Na huu ni mojawapo ya magonjwa ya kurithi kwa sababu uweza kutokea kwenye familia na ukakuta familia nzima ina Ugonjwa huu kwa hiyo huu Ugonjwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na ukakuta familia nzima yote ina Ugonjwa huu.
3. Kuwepo kwa tatizo la mbilikimo.
Kwa mfano unaweza ukakuta familia yote asilimia kubwa ya watu waliomo ni mbilikimo na ukiangalia kutoka kizazi kimoja kwenda kingine ni mbilikimo.
4. Matatizo ya kuwepo kwa kifafa kwenye familia.
Ingawa kifafa kingine utokea kwa sababu ya Ugonjwa na pengine kwa sababu ya hali mbalimbali ila kuna familia nyingine unaweza kukuta kuna watu hata wakiwa wazima bado wanaanguka kwa sababu ya kuwepo kwa kifafa.
5. Matatizo ya akili.
Na pia utokana na kurithi kwa sababu unaweza kukuta familia yote watu wote wana Magonjwa ya akili.
6.kuwepo kwa albino.
Na hili ni tatizo la kuridhi kwa sababu unaweza kukuta kwenye familia kuna watoto wengi wa albino na ukija kuangalia ni kutoka kwa mababu Kun mtu alikuwa hivyo.
7. Ugonjwa wa seli mundu yaani sickle cell ni kitendo ambacho seli zinakuwa na kiasi kidogo cha kusambaza gasi ya oksijeni mwilini na kwa mwonekano wake seli zinatengeneza sickle.
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Author Tarehe 2022/03/08/Tuesday - 07:22:09 pm Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 2541
Mabadiliko kwenye tumbo la uzazi wa Mama anapobeba Mimba.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye tumbo la uzazi la Mama pindi anapobeba mimba, ni mabadiliko yanayotokea kwa mwanamke anapobeba mimba kama ifuatavyo. Soma Zaidi...
Faida za kula papai
Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula karanga
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga Soma Zaidi...
Dalili na ishara za Ugonjwa wa akili.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa akili . Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa Wanaume
Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume. Soma Zaidi...
Imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi.
Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi. Soma Zaidi...
Sababu za mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa
Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Soma Zaidi...
Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa. Soma Zaidi...
Dalili zinazonesha kuungua kwa Mdomo (burning mouth)
Ugonjwa wa mdomo unaoungua'ni neno la kimatibabu kwa ajili ya kuungua kinywani kwa mara kwa mara (kwa muda mrefu) bila sababu dhahiri. Usumbufu huo unaweza kuathiri ulimi wako, ufizi, midomo, ndani ya mashavu yako, paa la mdomo wako au maeneo yaliyoenea ya mdomo wako wote. Ugonjwa wa mdomo unaoungua'hutokea ghafla na unaweza kuwa mbaya, kana kwamba umechoma mdomo wako Soma Zaidi...
Namna ya kuepuka Ugonjwa wa ngiri.
Posti hii inahusu zaidi namna au njia za kuepuka na Ugonjwa huu wa ngiri ambao uleta madhara kwa watoto, vijana na watu wazima, kwa hiyo ili tuweze janga hili ni lazima tufanye yafuatayo. Soma Zaidi...
Kukosa choo
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kukosa choo Soma Zaidi...
Ains ya kisukari inayojulikana kama Diabety type 1
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisukari Aina ya kwanza ambapo kwa kitaalamu huitwa Diabetes type 1, ni hali ambayo utokea ambapo mwili ushindwa kutengeneza insulini ambayo uweka sukari kwenye hali ya usawa. Soma Zaidi...