image

Yajue magonjwa ya kurithi.

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa vya kurithi ambayo mara nyingi utokea kwenye jamii ni magonjwa ambayo yanaweza kutokea kwenye familia na wanafamilia walio wengi wakaweza kupata ugonjwa huo Magonjwa yenyewe ni kama ifuatavyo.

 1.Ugonjwa wa pumu au Athman.

Huu ni mojawapo ya magonjwa ya kurithi nkwa sababu yanaweza nkuenea kwenye famii kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa sababu ya kuwepo kwenye familia huu Ugonjwa utakuta una baba, babu na pengine uko kwa mtoto.

 

2. Magonjwa ya macho na kuweza kwa upofu kwenye familia.

Na huu ni mojawapo ya magonjwa ya kurithi kwa sababu uweza kutokea kwenye familia na ukakuta familia nzima ina Ugonjwa huu kwa hiyo huu Ugonjwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na ukakuta familia nzima yote ina Ugonjwa huu.

 

3. Kuwepo kwa tatizo la mbilikimo.

Kwa mfano unaweza ukakuta familia yote asilimia kubwa ya watu waliomo ni mbilikimo na ukiangalia kutoka kizazi kimoja kwenda kingine ni mbilikimo.

 

4. Matatizo ya kuwepo kwa kifafa kwenye familia.

Ingawa kifafa kingine utokea kwa sababu ya Ugonjwa na pengine kwa sababu ya hali mbalimbali ila kuna familia nyingine unaweza kukuta kuna watu hata wakiwa wazima bado wanaanguka kwa sababu ya kuwepo kwa kifafa.

 

5. Matatizo ya akili.

Na pia utokana na kurithi kwa sababu unaweza kukuta familia yote watu wote wana Magonjwa ya akili.

 

6.kuwepo kwa albino.

Na hili ni tatizo la kuridhi kwa sababu unaweza kukuta kwenye familia kuna watoto wengi wa albino na ukija kuangalia ni kutoka kwa mababu Kun mtu alikuwa hivyo.

 

7. Ugonjwa wa seli mundu yaani sickle cell ni kitendo ambacho seli zinakuwa na kiasi kidogo cha kusambaza gasi ya oksijeni mwilini na kwa mwonekano wake seli zinatengeneza sickle.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3053


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali Soma Zaidi...

WAJUE FANGASI, AINA ZAKE, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE
Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili. Soma Zaidi...

Presha ya kushuka/hypotension
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu presha ya kushuka/ hypotension Soma Zaidi...

Matatizo ya mapigo ya moyo
posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo ya mapigo ya moyo.Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, unaodunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza k Soma Zaidi...

Saratani (cancer)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani Soma Zaidi...

Dalili za mkojo mchafu na rangi za mkojo na mkojo mchafu
Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake Soma Zaidi...

Nini husababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake na wanaume
Somo hili linakwenda kukueleza vitu vinavyosababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa hepatitis A
Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi. Soma Zaidi...

Dalili za kisukari aina ya type 2
Kisukari cha Aina ya 2, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha watu wazima au kisichotegemea insulini, ni ugonjwa sugu unaoathiri jinsi mwili wako unavyobadilisha sukari (glucose), chanzo muhimu cha nishati ya mwili wako. Soma Zaidi...

Sababu za maambukizi kwenye nephoni
Posti hii inahusu zaidi sababu za maambukizi kwenye nephroni, ni vitu vinavyosababisha mabukizi kwenye nephroni. Soma Zaidi...

Fahamu ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito.
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito, kaswende inaweza kukaa kwa mtu zaidi ya miaka mingi bila kuleta madhara ya moja kwa moja lakini kadiri ya siku zinavyokwenda madhara utokea hasa wakati wa ujauzito, madhara hayo umwadhiri mtot Soma Zaidi...

Samaani nilikuwa nauriza ninasumburiwa na fanga ya mdomoni naomba ushauri
Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa. Soma Zaidi...