Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi
Zifuatazo Ni dalili za tumbo kujaa gesi
1.kipungua uzito.
2.kukosa choo au kupata choo kigumu
3.kuharisha
4.kinyesi kuwa na Damu au mkojo.
5.homa.
6.mwili kukosa nguvu.
Zifuatazo Ni sababu zinazosababishwa tumbo kujaa gesi
1.kula vyakula vyenye gesi.
2.vidonda vya tumbo.
3.mwili kukosa maji; ambapo maji yakikosekana mwili mmeng'enyo wa chakula huwa mgumu kufanyika mfano umekunywa pombe au vyakula vya asidi alaf maji mwilini hayapo hupelekea tumbo kujaa gesi
4.kukosa choo au choo kuwa kigumu; Ni kwasababu mtu habati mlo kamili Kama vile vyakula visivyo na nyuzinyuzi, au vilivyokobolewa,kutokunywa maji na msongi wa mawazo huweza kusababisha tumbo kujaa gesi.
5.mzio wa chakula (alegi) Kuna vyakula ambavyo mtu akila atakuwa navyo na alegi hivyo hupelekea mtu huyo kujaa gesi tumboni mwake.
6.saratani;endapo utapata Saratani ya utumbo mkubwa hupelekea tumbo kujaa gesi
6.maambukizi; endapo utakuwa na maambukizi kwenye utumbo Kama vile fangasi, bacteria na virusi lazima tumbo lijae gesi.
7.majeraha kwenye mfumo wa chakula; mfumo wa chakula ukipata tu mikwaruzo au vidonda vidonda hupelekea tumbo kujaa gesi.
Mwisho; tumbo likijaa gesi huwa na dalili zake ambazo huonekana hivyo basi Ni vyema kuonana na dactari ili kupata matibabu mapema .
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazopelekea kukosa choo ,yaani kinyesi kuwa kigumu au kukosa kabisa choo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuweza kupambana na fangasi za ukeni ili kuweza kujiepusha na madhara mbalimbali kwenye maisha ambayo ni pamoja na ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.
Soma Zaidi...DALILI ZA HIV ZA MWANZO NA DALILI ZA UKIMWI ZA MWANZO Kama ilivyo magonjwa mengi hupitia hatua kadha kadha na kuonyesha dalili kadha katika hatua hizo.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa madonda ya koo,ni njia ambazo usaidia katika kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi makundi ambayo yapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa ngiri, ni hatari kwa sababu tunajua kuwa ngiri utokea kwa sababu ya kuta au tishu zinazoshikilia viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwepo kwa uwazi na kufanya viun
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuletea somo linalozungumzia maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, na tumbo la ngiri kwa wanaume, na tumbo la chango kwa wanawake
Soma Zaidi...Tambuwa kiungulia, sababu zake, dawa za kiungulia na namna ya kupambana na kiungulia
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kichaa cha mbwa,au kwa kitaalamu huitwa rabies, utokea pale mtu anapongatwa na mnyama ambaye ni jamii ya mtu au mbwa mwenyewe
Soma Zaidi...