image

Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

   Zifuatazo Ni dalili za tumbo kujaa gesi

1.kipungua uzito.

2.kukosa choo au kupata choo kigumu

3.kuharisha

4.kinyesi kuwa na Damu au mkojo.

5.homa.

6.mwili kukosa nguvu.

 

     Zifuatazo Ni sababu zinazosababishwa tumbo kujaa gesi

1.kula vyakula vyenye gesi.

2.vidonda vya tumbo.

3.mwili kukosa maji; ambapo maji yakikosekana mwili mmeng'enyo wa chakula huwa mgumu kufanyika mfano umekunywa pombe au vyakula vya asidi alaf maji mwilini hayapo hupelekea tumbo kujaa gesi

 

4.kukosa choo au choo kuwa kigumu; Ni kwasababu mtu habati mlo kamili Kama vile vyakula visivyo na  nyuzinyuzi, au vilivyokobolewa,kutokunywa maji na msongi wa mawazo huweza kusababisha tumbo kujaa gesi.

 

5.mzio wa chakula (alegi) Kuna vyakula ambavyo mtu akila atakuwa navyo na alegi hivyo hupelekea mtu huyo kujaa gesi tumboni mwake.

 

6.saratani;endapo utapata Saratani ya utumbo mkubwa hupelekea tumbo kujaa gesi

 

6.maambukizi; endapo utakuwa na maambukizi kwenye utumbo Kama vile fangasi, bacteria na virusi lazima tumbo lijae gesi.

 

7.majeraha kwenye mfumo wa chakula; mfumo wa chakula ukipata tu mikwaruzo au vidonda vidonda hupelekea tumbo kujaa gesi.

 

  Mwisho; tumbo likijaa gesi huwa na dalili zake ambazo huonekana hivyo basi Ni vyema kuonana na dactari ili kupata matibabu mapema .





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2504


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Hernia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa hernia Soma Zaidi...

Mapigo ya moyo kwenda mbio, mwili kuchoka,kichefuchefu, kizungungu, joto kiasi.
Je, mtu mwenye dalili zifuatazo Kama, Mapigo ya moyo kwenda mbio, mwili kuchoka,kichefuchefu, kizungungu, joto kiasi. Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya viungo na viungo kuwaka moto nini sababu zake
Soma Zaidi...

Namna ya kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo
Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa madonda ya koo,ni njia ambazo usaidia katika kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo. Soma Zaidi...

Dalilili za kidole tumbo (appendicitis)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa Kidole ambao kitaalamu hujulikana Kama Appendicitis. Kidole tumbo husababisha maumivu kwenye tumbo la chini la kulia. Hata hivyo, kwa watu wengi, maumivu huanza karibu na kitovu na kisha kusonga. Kadiri uvi Soma Zaidi...

dalili za mwanzo za ukimwi kwa mwanamke
Katika makala hii utakwenda kuzijuwa baadhi ya dalili za ukimwi ama HIV kwa mwanamke Soma Zaidi...

NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO
NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupata nafuu kutoka kwa maumivu ya kidonda cha tumbo ikiwa utafata taratibu za kiafya kama:- 1. Soma Zaidi...

Dalilili za polio
Polio ni ugonjwa wa virusi unaoambukiza ambao katika hali mbaya zaidi husababisha kupooza, kupumua kwa shida na wakati mwingine kifo. Soma Zaidi...

Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika. Soma Zaidi...

VIDONDA VYA TUMBO SUGU
VIDONDA VYA TUMBO SUGU Matibabu ya vidonda vya tumbo mara nyingi hufanikiwa, na kusababisha uponyaji wa vidonda. Soma Zaidi...

Dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo
Post hii inahusu zaidi dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo. Soma Zaidi...

Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili. Soma Zaidi...