Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi
Zifuatazo Ni dalili za tumbo kujaa gesi
1.kipungua uzito.
2.kukosa choo au kupata choo kigumu
3.kuharisha
4.kinyesi kuwa na Damu au mkojo.
5.homa.
6.mwili kukosa nguvu.
Zifuatazo Ni sababu zinazosababishwa tumbo kujaa gesi
1.kula vyakula vyenye gesi.
2.vidonda vya tumbo.
3.mwili kukosa maji; ambapo maji yakikosekana mwili mmeng'enyo wa chakula huwa mgumu kufanyika mfano umekunywa pombe au vyakula vya asidi alaf maji mwilini hayapo hupelekea tumbo kujaa gesi
4.kukosa choo au choo kuwa kigumu; Ni kwasababu mtu habati mlo kamili Kama vile vyakula visivyo na nyuzinyuzi, au vilivyokobolewa,kutokunywa maji na msongi wa mawazo huweza kusababisha tumbo kujaa gesi.
5.mzio wa chakula (alegi) Kuna vyakula ambavyo mtu akila atakuwa navyo na alegi hivyo hupelekea mtu huyo kujaa gesi tumboni mwake.
6.saratani;endapo utapata Saratani ya utumbo mkubwa hupelekea tumbo kujaa gesi
6.maambukizi; endapo utakuwa na maambukizi kwenye utumbo Kama vile fangasi, bacteria na virusi lazima tumbo lijae gesi.
7.majeraha kwenye mfumo wa chakula; mfumo wa chakula ukipata tu mikwaruzo au vidonda vidonda hupelekea tumbo kujaa gesi.
Mwisho; tumbo likijaa gesi huwa na dalili zake ambazo huonekana hivyo basi Ni vyema kuonana na dactari ili kupata matibabu mapema .
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.
Soma Zaidi...Homa hii inapatikana katika maeneo ya bonde la ufa barani Afrika na na Mashariki ya kati.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kushindwa kushuka kwa makende kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye skolatumu(scrotum).
Soma Zaidi...Maumivu ya mgongo yanaweza kuwa ni dalili inayoonyesha tatizo fulani la kiafya ikiwemo magonjwa au majeraha.
Soma Zaidi...Post hii inazungumzia zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kipindupindu.kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu anaitwa vibrio cholera.mdudu huyu hushambulia utumbo mdogo na kusababisha madhara mengi.
Soma Zaidi...post inaonyesha dalili mbalimbali za Kushindwa kwa moyo, wakati mwingine hujulikana kama kutofaulu kwa moyo, hutokea wakati misuli ya moyo wako haisukuma damu kama inavyopaswa. Hali fulani, kama vile ateri nyembamba katika moyo wako (Ugonjwa wa ateri y
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa kuziba kwa Njia ya machozi yaani kukosa machozi ambayo husababishwa na maambukizi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Hawa ni fangasi ambao wanashambulia sana kwenye kucha za vidole vya mikonobna miguu.
Soma Zaidi...