Kichaa cha mbwa.


image


Post hii inahusu zaidi kichaa cha mbwa,au kwa kitaalamu huitwa rabies, utokea pale mtu anapongatwa na mnyama ambaye ni jamii ya mtu au mbwa mwenyewe


Kichaa cha mbwa.

1.kichaa cha mbwa utokea pale mbwa anapomngata mtu  inawezekana akangata sehemu yoyote ya mwili inawezekana ukawa mkono , mguu yaani sehemu hiyo mbwa wanaachia virusi na ukaa kwenye kidonda kwa mda.

 

2. Baadae virus hao wanapitia kwenye mfumo wa Neva system, hasa hasa Neva zinazoelekea kwenye ubongo na virus wakishafika kwenye ubongo uhakikisha wameshambulia ubongo na hapo mtu ufanana kama amechanganyikiwa hivi na kuweza kuongea mambo yasiyofaa kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ubongo.na hapo mgonjwa uweza kubwaka kama mbwa na pengine kuanza kuogopa vitu mbalimbali kwa mfano kuogopa maji.

 

3. Pia virus vikisha shambulia kwenye ubongo uendelea kuzaliana na kuongezeka na kuendelea kushambulia sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha mgonjwa kuwa na tabia kama za mbwa kabisa, pamoja na kubweka na mlio uweza kubadilika kuwa kama wa mbwa hapo mgonjwa hawezi kumaliza mda mrefu na kwa kawaida ufariki.

 

4. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kufahamu namna ya kichaa cha mbwa kinavyotokea na kuweza kutibu mapema au ikitokea mtu akangatwa na mbwa hata kama haujui kama mbwa ana kichaa au Hana ni lazima kuanza chanjo mara Moja kwa sababu chanjo zipo na zinapatikana kwenye hospital nyingi sana, kwa sababu ugonjwa huu unaua.

 

5. Na pia ni vizuri kabisa kuweza kuchanja mbwa mara kwa mara Ili kuweza kuepukana na tatizo hili linalopelekea kuhatarisha maisha ya watu, na pia chanjo ya kichaa cha mbwa ni ya gharama kweli ambapo kila chanjo ni sh elfu ishilini na tano na udungwa kwa mfululizo.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Kwani minyoo hukaa sehem gani ya mwili?
Minyoo ni katika parasite, yaani ni viumbe wanaokaa kwenye mwili na kujipatia chakula chake humo. Katika miili yetu minyoo huishi na kula kuzaliana na kukuwa. Kama unahitaji kujuwa wapi hasa wanakaa mwilini mwetu, endelea na makala hii Soma Zaidi...

image Jifunze zaidi mzunguko wa mfumo wa damu kwa binadamu
Posti hii inahusu zaidi mfumo wa mwili ambao huhusika na kusafirisha damu ,virutubisho na takamwili.mfumo huu unajumuisha damu,mishipa ya damu na moyo.moyo husukuma damu kupitia mishipa ya damu na kufika maeneo yote ya mwili. Soma Zaidi...

image Je utaweza kuambukiza HIV ukiwa unatumia PrEP?
Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza. Soma Zaidi...

image Chanzo cha kiungulia
Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki. Soma Zaidi...

image NI WATU GANI WALIO HATARINI ZAIDI KUPATA UKIMWI?
Post hii itakwena kukufundisha kuhusu historia fupi ya Ukimwi na matibabu yake. Ni wapi wapo hatarini kupata maambukizi na ni kitu gani wafanye? Soma Zaidi...

image Njia za kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Soma Zaidi...

image Dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu
Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?
je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...

image YAJUE MARADHI YA KISUKARI
Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari Soma Zaidi...

image Ujuwe ugonjwa wa ebola, dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.
Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu Soma Zaidi...