picha

Kichaa cha mbwa.

Post hii inahusu zaidi kichaa cha mbwa,au kwa kitaalamu huitwa rabies, utokea pale mtu anapongatwa na mnyama ambaye ni jamii ya mtu au mbwa mwenyewe

Kichaa cha mbwa.

1.kichaa cha mbwa utokea pale mbwa anapomngata mtu  inawezekana akangata sehemu yoyote ya mwili inawezekana ukawa mkono , mguu yaani sehemu hiyo mbwa wanaachia virusi na ukaa kwenye kidonda kwa mda.

 

2. Baadae virus hao wanapitia kwenye mfumo wa Neva system, hasa hasa Neva zinazoelekea kwenye ubongo na virus wakishafika kwenye ubongo uhakikisha wameshambulia ubongo na hapo mtu ufanana kama amechanganyikiwa hivi na kuweza kuongea mambo yasiyofaa kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ubongo.na hapo mgonjwa uweza kubwaka kama mbwa na pengine kuanza kuogopa vitu mbalimbali kwa mfano kuogopa maji.

 

3. Pia virus vikisha shambulia kwenye ubongo uendelea kuzaliana na kuongezeka na kuendelea kushambulia sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha mgonjwa kuwa na tabia kama za mbwa kabisa, pamoja na kubweka na mlio uweza kubadilika kuwa kama wa mbwa hapo mgonjwa hawezi kumaliza mda mrefu na kwa kawaida ufariki.

 

4. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kufahamu namna ya kichaa cha mbwa kinavyotokea na kuweza kutibu mapema au ikitokea mtu akangatwa na mbwa hata kama haujui kama mbwa ana kichaa au Hana ni lazima kuanza chanjo mara Moja kwa sababu chanjo zipo na zinapatikana kwenye hospital nyingi sana, kwa sababu ugonjwa huu unaua.

 

5. Na pia ni vizuri kabisa kuweza kuchanja mbwa mara kwa mara Ili kuweza kuepukana na tatizo hili linalopelekea kuhatarisha maisha ya watu, na pia chanjo ya kichaa cha mbwa ni ya gharama kweli ambapo kila chanjo ni sh elfu ishilini na tano na udungwa kwa mfululizo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2565

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Presha ya kushuka na matibabu yake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu presha ya kushuka na matibabu yake

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za michubuko

Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za michubuko,kwa Sababu michubuko utokea sehemu tofauti tofauti na pia Kuna aina mbalimbali kama tutakavyoona hapo mbeleni.

Soma Zaidi...
Fahamu Mambo yanayosababisha Ugonjwa wa kipindupindu

Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini. Ikiachwa bila kutibiwa, Kipindupindu kinaweza kusababisha kifo kwa muda wa saa chache, hata kwa watu walioku

Soma Zaidi...
Madhara ya minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea madhara ya minyoo

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za Ugonjwa wa kuambukiza.

Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe

Soma Zaidi...
Je mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?

Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?

Soma Zaidi...