Post hii inahusu zaidi kichaa cha mbwa,au kwa kitaalamu huitwa rabies, utokea pale mtu anapongatwa na mnyama ambaye ni jamii ya mtu au mbwa mwenyewe
1.kichaa cha mbwa utokea pale mbwa anapomngata mtu inawezekana akangata sehemu yoyote ya mwili inawezekana ukawa mkono , mguu yaani sehemu hiyo mbwa wanaachia virusi na ukaa kwenye kidonda kwa mda.
2. Baadae virus hao wanapitia kwenye mfumo wa Neva system, hasa hasa Neva zinazoelekea kwenye ubongo na virus wakishafika kwenye ubongo uhakikisha wameshambulia ubongo na hapo mtu ufanana kama amechanganyikiwa hivi na kuweza kuongea mambo yasiyofaa kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ubongo.na hapo mgonjwa uweza kubwaka kama mbwa na pengine kuanza kuogopa vitu mbalimbali kwa mfano kuogopa maji.
3. Pia virus vikisha shambulia kwenye ubongo uendelea kuzaliana na kuongezeka na kuendelea kushambulia sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha mgonjwa kuwa na tabia kama za mbwa kabisa, pamoja na kubweka na mlio uweza kubadilika kuwa kama wa mbwa hapo mgonjwa hawezi kumaliza mda mrefu na kwa kawaida ufariki.
4. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kufahamu namna ya kichaa cha mbwa kinavyotokea na kuweza kutibu mapema au ikitokea mtu akangatwa na mbwa hata kama haujui kama mbwa ana kichaa au Hana ni lazima kuanza chanjo mara Moja kwa sababu chanjo zipo na zinapatikana kwenye hospital nyingi sana, kwa sababu ugonjwa huu unaua.
5. Na pia ni vizuri kabisa kuweza kuchanja mbwa mara kwa mara Ili kuweza kuepukana na tatizo hili linalopelekea kuhatarisha maisha ya watu, na pia chanjo ya kichaa cha mbwa ni ya gharama kweli ambapo kila chanjo ni sh elfu ishilini na tano na udungwa kwa mfululizo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowPosti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu.
Soma Zaidi...Saratani ya Utumbo ni Saratani ya utumbo mpana (koloni), sehemu ya chini ya mfumo wako wa usagaji chakula. Kwa pamoja, mara nyingi hujulikana kama Saratani ya utumbo mpana. Visa vingi vya Saratani ya utumbo mpana huanza
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha mambo mbalimbali yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Post hii inazungumzia kuhusiana na Sababu zinazopelekea kuvimba kwa kope, kawaida huhusisha sehemu ya kope ambapo kope hukua na kuathiri kope zote mbili. Pia hutokea wakati tezi ndogo za mafuta ziko karibu na msingi wa kope huziba. Hii inasababisha kuw
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dadili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu ambao kitaalamu hujulikana Kama multiple sclerosis.
Soma Zaidi...Afya ya tumbo ni ishara tosha ya umadhibuti wa afya ya mtu. Maradhi mengi wanayouguwa watu chanzo kile mti anachokula. Yapo maradhi sugu kama saratani ambayo husababishwa pia na vyakula. Post hii itakwenda kujibu swalo la muulizaji kuhusu maumivu ya tumbo
Soma Zaidi...Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za saratani ya ini, ni baadhi ya Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na kuona kwamba mtu fulani ana saratani ya ini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni
Soma Zaidi...