Masharti ya vidonda vya tumbo
Haya ni masharti ya mwenye vidonda vya tumbo. Mgojwa wa vidonda vya hatumbo hatakiwi kufanya yafuatayo

Masharti kwa mwenye vidonda vya tumbo.
Makala hii inakwenda kukuletea masharti yanayompasa mwenye vidonda vya tumbo ayafate. Je ni vyakula gani vinafaha sana kwa mwenye vidonda vya tumbo?
Masharti ya vidonda vya tumbo
1.Punguza ama wacha kabisa unywaji wa pombe
2.Punguza misongo ya mawazo
3.Epuka vyakula vyenye gesi kama baadhi ya aina za maharagwe
4.Hakikisha unakula kwa wakati.
5.Epuka kukaa na njaa kwa muda mrefu
6.Epuka matumizi ya madawa ya aspirin na jamii za madawa hayo. Kama ni lazima utumie madawa mbalimbali na ya mchanganyiko hasa yale ya kuzuia maumivu, basi kwanza zungumza na daktari akupe maelekezo.
7.Punguza ama wacha kabisa uvutaji wa sigara
8.Hata kama hutakuwa na hamu ya kula jilazimishe ule ama tumia dawa za kuongeza hamu ya kula.
9.Epuka vyakula vyenye mafuta kwa wingi.
10.Kunywa maji mengi ya ya kutosha kila siku
11.Onana na daktari mara kwa mara unapohisi mabadiliko ya hatari mwilini mwako.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Dua za Mitume na Manabii π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 Kitabu cha Afya π4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 ai web app
Post zinazofanana:
Homa za mara kwa mara: Chanzo chake na nini cha kufanya.
Homa sio ugonjwa; ni silaha ya mwili wako. Inapopanda, inamaanisha mfumo wako wa kinga unawaka moto kupambana na adui aliyepo ndani. Lakini, je, inakuwaje unapopata homa hizo mara kwa mara? Homa za mara kwa mara ni kengele ya onyo kwamba kuna kitu hakiko sawa ambacho hakijatibiwa kikamilifu. Makala haya yanakusaidia kutambua nini cha kufanya ili kuondokana na mzunguko huu wa maumivu
Soma Zaidi...Mimba kuharibika (Miscarriage): Sababu na dalili zake.
Mimba kuharibika ni kupotea kwa ujauzito kabla ya wiki ya 20 ya ujauzito. Hali hii ni jambo linaloweza kuleta huzuni kubwa kwa familia. Ingawa inaweza kutokea ghafla, ni muhimu kuelewa kuwa mara nyingi husababishwa na sababu za kibiolojia zisizo chini ya uwezo wa mama. Makala hii inaelezea sababu za kawaida, dalili za tahadhari, na hatua za kuchukua baada ya kupitia hali hii.
Soma Zaidi...Njia za kuondokana na fangasi
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuweza kupambana na fangasi za ukeni ili kuweza kujiepusha na madhara mbalimbali kwenye maisha ambayo ni pamoja na ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.
Soma Zaidi...Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.
Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo upande wa kushoto: Nini maana yake?
Maumivu ya tumbo upande wa kushoto (left-sided abdominal pain) ni dalili ya kawaida inayoweza kusababishwa na mambo mengiβkuanzia matatizo madogo ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula hadi hali nzito zinazohitaji matibabu ya dharura. Makala haya yanalenga kutoa mwongozo wa kitaalamu kuhusu sababu zinazowezekana za maumivu haya, dalili za hatari zinazopaswa kufuatiliwa, na hatua za kuchukua ili kutunza afya yako.
Soma Zaidi...Je utaweza kuambukiza HIV ukiwa unatumia PrEP?
Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza.
Soma Zaidi...