Sheria za kutunza usafi wakati wa upasuaji.

Posti hii inahusu zaidi sheria za kutunza usafi wakati wa upasuaji, iwapo sheria mojawapo ikienda kinyume ijulikane kuwa usafi haujaenda sawa na pengine kwa kitaalamu huitwa contamination.

Sheria za usafi wakati wa upasuaji.

1.kifaa chochote ambacho kimegusa kidonda cha mgonjwa uhesabiwa kubwa ni kichafu na kinapaswa kufanyiwa usafi kwa kuanzia kwenye ndoo yenye maji ya sabuni, baadae kwenye maji ya chlorine na baadae kwenye maji masafi na baada ya hapo upelekea na kuunguzwa ili kuua wadudu wote na baadae kutumiwa tena. Kwa hiyo hata kama chombo kimegusa kwa sehemu ndogo kinaesabiwa kuwa ni kichafu.

 

2.Sehemu yoyote safi inapaswa kukutana na sehemu nyingine ambayo ni safi na sehemu chafu inapaswa kukutana na sehemu chafu, ikiwa sehemu ya kifaa kilicho safi limekutana na sehemu nyingine ya kifaa iliyochafu hata sehemu ndogo kifaa hicho kinaesabiwa kubwa ni kichafu kwa hiyo kinapaswa kusafishwa kwa utaratibu unaofaa.

 

3.Kwa upanda wa wafanyakazi au wahudumu wa kwenye chumba cha upasuaji wanapaswa kutembea kutoka kwenye sehemu safi kwenda sehemu safi na kutoka sehemu chafu kwenda chafu, ikitokea mmoja anatembelea kwenye sehemu safi kwenda chafu anaesabika kubwa hazingatii usafi na anapaswa kubadilisha nguo na kunawa vizuri ndipo anaruhusiwa kuendelea na shughuli za upasuaji.

 

4.Kutembea kutoka sehemu moja kwenda nyingine ila sehemu iliyo safi wakati wote wa upasuaji haina maana kwamba umekosea sheria za usafi wakati wa upasuaji, kwa sababu kuna vitu vinapaswa kutolewa sehemu moja kwenda nyingine, ila kama ni kutembea sehemu chafu na kurudi kwenye sehemu safi hapo kuna makosa.

 

5.Sehemu yoyote kwenye chumba cha upasuaji inapaswa kukingwa kutokana na unyevunyevu kwa maana unyevunyevu utunza uchafu mwingi sana na kusababisha magonjwa mengi na Maambukizi kwa mgonjwa kwa hiyo chumba cha upasuaji kinapaswa kusafishwa mda wote na kuhakikisha kubwa kinabaki safi hata mtu akigusa kwenye sehemu yoyote hasitoke na vumbi.

 

6.Wakati wa kufanya upasuaji vifaa vyote ambavyo ni safi na vinapaswa kutumiwa kwa mda huo vinapaswa  juwa wazi na vinaonekana kwa hiyo wahudumu wanaohusika na vifaa wanapaswa kuwa karibu ili kuweza kuweka vifaa karibu na kuepuka kutoka sehemu moja na kwenda nyingine, kwa hiyo maandalizi ni ya maana kwa mtunza vifaa.

 

7.Kifaa chochote ambacho kinatiliwa  mashaka kuhusu usafi kinaesabiwa kubwa ni kichafu kama kinapaswa kusafishwa na kutumia kama kinahitajika, kwa hiyo waandaaji wa vifaa wanapaswa kuwa makini katika kuandaa vifaa vyao ili kuepuka makosa wakati wa upasuaji na kutilia mashaka kwa baadhi ya vifaa.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/02/07/Monday - 05:14:44 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 572


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Vyumba vidogo vidogo kwenye chumba cha upasuaji
Post hii inahusu zaidi juu ya vyumba vidogo vidogo ambavyo Vimo kwenye chumba cha upasuaji, ingawa chumba cha upasuaji ni kimoja ila kuna vyumba vingine vidogo ambavyo vinatumika kwa kazi mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Nguo zinazovaliwa kwenye chumba cha upasuaji na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi nguo za kuvaliwa kwenye chumba cha upasuaji na kazi zake, hizi ni nguo ambazo wahudumu wa afya wanapaswa kuzivaa wakati wa upasuaji kwa ajili ya kuwakinga na Maambukizi kati ya wahudumu wa afya na wagonjwa pia Soma Zaidi...

Umuhimu wa kuvaa nguo za upasuaji.
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa nguo za upasuaji, tunajua wazi kuwa, wakati wa upasuaji tunapaswa kusafisha chumba na mazingira yake lengo ni kuhakikisha kuwa tunazuia wadudu wasisambae au kuingia kwenye mwili wa binadamu. Soma Zaidi...

Safari ya damu kwa Kila siku
Posti hii inakwenda kukuletea mfumo wa damu mwilini na safari zake za Kila siku Soma Zaidi...

ZIJUWE FIGO, KAZI ZA FIGO NA NAMNA YA KULINDA FIGO DHIDI YA MARADHI
Je unatambuwa namna fgo inavyofanya kazi, unazijuwa kazikuu za fogo mwilini, na je unajuwa namna ya kujilinda dhidi ya maradhi ya figo?. Basi makala hii itakujuza kuhusu masomo haya1 Soma Zaidi...

Mambo yanayohitajika kabla ya kuanza upasuaji
Posti hii inahusu zaidi mambo yanayohitajika kabla ya kuanza upasuaji ni mambo muhimu ambayo yanapaswa kufanyika kwanza na baadaye upasuaji unaweza kuendelea. Soma Zaidi...

Dondoo za afya 41-60
Somo Hili linakwenda kukuletea dondoo mbalimbali za afya Soma Zaidi...

Namna ya kutunza chumba cha upasuaji
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza chumba cha upasuaji, chumba cha upasuaji ni tofauti na vyumba vingine kwenye hospitali kwa hiyo vinahitaji uangalizi wa hali ya juu sana ili kuepuka aina yoyote ya uchafu kuwepo kwenye chumba hicho, zifuatazo ni na Soma Zaidi...

Habari za uzima,nimesoma makala yako tumbo linaniuma upande wa kulia Ila sisikii Sana yenyewe Ila nikibonyeza na mkono ndio inauma yaani ni Kama nimegongwa sehem flani alafu Kuna maumivu lakini ni mpaka upaguse ndio una experience maumivu Kama Kuna namna
Kama unasumbuliwana tumbo upande wa kulia, kushoto, kitomvuni ama kuoande wa kuliavkwachini, basi muulizaji huyu atakupa uelewa. Soma Zaidi...

Sheria za kutunza usafi wakati wa upasuaji.
Posti hii inahusu zaidi sheria za kutunza usafi wakati wa upasuaji, iwapo sheria mojawapo ikienda kinyume ijulikane kuwa usafi haujaenda sawa na pengine kwa kitaalamu huitwa contamination. Soma Zaidi...

Ijue timu ya upasuaji
Posti hii inahusu timu ya upasuaji hii ni timu ambayo inahusika katika chumba cha upasuaji, kwa sababu ya kutunza usafi na usalama chumba hiki kinapaswa juwa na timu ya watu wanne na walio na elimu kuhusu kazi hiyo. Soma Zaidi...

Dondoo za afya 1-20
Somo Hili linakwenda kukuletea dondoo mbalimbali za afya Soma Zaidi...