Sheria za kutunza usafi wakati wa upasuaji.

Posti hii inahusu zaidi sheria za kutunza usafi wakati wa upasuaji, iwapo sheria mojawapo ikienda kinyume ijulikane kuwa usafi haujaenda sawa na pengine kwa kitaalamu huitwa contamination.

Sheria za usafi wakati wa upasuaji.

1.kifaa chochote ambacho kimegusa kidonda cha mgonjwa uhesabiwa kubwa ni kichafu na kinapaswa kufanyiwa usafi kwa kuanzia kwenye ndoo yenye maji ya sabuni, baadae kwenye maji ya chlorine na baadae kwenye maji masafi na baada ya hapo upelekea na kuunguzwa ili kuua wadudu wote na baadae kutumiwa tena. Kwa hiyo hata kama chombo kimegusa kwa sehemu ndogo kinaesabiwa kuwa ni kichafu.

 

2.Sehemu yoyote safi inapaswa kukutana na sehemu nyingine ambayo ni safi na sehemu chafu inapaswa kukutana na sehemu chafu, ikiwa sehemu ya kifaa kilicho safi limekutana na sehemu nyingine ya kifaa iliyochafu hata sehemu ndogo kifaa hicho kinaesabiwa kubwa ni kichafu kwa hiyo kinapaswa kusafishwa kwa utaratibu unaofaa.

 

3.Kwa upanda wa wafanyakazi au wahudumu wa kwenye chumba cha upasuaji wanapaswa kutembea kutoka kwenye sehemu safi kwenda sehemu safi na kutoka sehemu chafu kwenda chafu, ikitokea mmoja anatembelea kwenye sehemu safi kwenda chafu anaesabika kubwa hazingatii usafi na anapaswa kubadilisha nguo na kunawa vizuri ndipo anaruhusiwa kuendelea na shughuli za upasuaji.

 

4.Kutembea kutoka sehemu moja kwenda nyingine ila sehemu iliyo safi wakati wote wa upasuaji haina maana kwamba umekosea sheria za usafi wakati wa upasuaji, kwa sababu kuna vitu vinapaswa kutolewa sehemu moja kwenda nyingine, ila kama ni kutembea sehemu chafu na kurudi kwenye sehemu safi hapo kuna makosa.

 

5.Sehemu yoyote kwenye chumba cha upasuaji inapaswa kukingwa kutokana na unyevunyevu kwa maana unyevunyevu utunza uchafu mwingi sana na kusababisha magonjwa mengi na Maambukizi kwa mgonjwa kwa hiyo chumba cha upasuaji kinapaswa kusafishwa mda wote na kuhakikisha kubwa kinabaki safi hata mtu akigusa kwenye sehemu yoyote hasitoke na vumbi.

 

6.Wakati wa kufanya upasuaji vifaa vyote ambavyo ni safi na vinapaswa kutumiwa kwa mda huo vinapaswa  juwa wazi na vinaonekana kwa hiyo wahudumu wanaohusika na vifaa wanapaswa kuwa karibu ili kuweza kuweka vifaa karibu na kuepuka kutoka sehemu moja na kwenda nyingine, kwa hiyo maandalizi ni ya maana kwa mtunza vifaa.

 

7.Kifaa chochote ambacho kinatiliwa  mashaka kuhusu usafi kinaesabiwa kubwa ni kichafu kama kinapaswa kusafishwa na kutumia kama kinahitajika, kwa hiyo waandaaji wa vifaa wanapaswa kuwa makini katika kuandaa vifaa vyao ili kuepuka makosa wakati wa upasuaji na kutilia mashaka kwa baadhi ya vifaa.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/02/07/Monday - 05:14:44 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 537

Post zifazofanana:-

Mambo ambayo yanaweza kuongeza hatari ya Ugonjwa wa Homa ya ini yenye sumu.
Posti hii inazungumzia zaidi kuhusiana na Homa ya ini yenye sumu ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuguswa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, madawa ya kulevya au virutubisho vya lishe. Katika baadhi ya matukio, homa ya ini yenye sumu hukua ndani ya saa au siku baada ya kuathiriwa na sumu.Katika hali nyingine, inaweza kuchukua miezi ya matumizi ya kawaida kabla ya dalili na dalili za homa ya ini yenye sumu kuonekana. Lakini homa ya ini yenye sumu inaweza kuharibu ini kabisa, na kusababisha kovu lisiloweza kutenduliwa la tishu za ini (cirrhosis) na katika visa vingine ini kushindwa kufanya kazi Soma Zaidi...

Nini kinasababisha kizunguzungu?
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu Soma Zaidi...

Dawa ya Carvedilol na kazi yake.
Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo. Soma Zaidi...

Dalili za mimba inayotishi kutoka
Posti hii inahusu zaidi dalili za mimba inayotaka kutoka yenyewe, Kuna wakati mwingine mama anabeba mimba na mimba hiyo I atishia kutoka na huwa inaonyesha dalili mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni dalili za mimba kutaka kutoka yenyewe. Soma Zaidi...

Dalili za minyoo ya tumbo
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria. Soma Zaidi...

Mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba,Ni mambo ya kuzingatia ili mama akija kubeba mimba awe mzima kimwili, ki afya na kisaikolojia na hivyo hivyo Mtoto atakayezaliwa atakuwa salama. Soma Zaidi...

Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri. Soma Zaidi...

Namna ya Kuzuia Mtoto mwenye kifua kikuu (TB).
posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano. Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kliniki yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Soma Zaidi...

Tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu (gangrene)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangrene huathiri sehemu za mwisho, ikiwa ni pamoja na vidole vyako vya miguu, vidole na miguu, lakini pia unaweza kutokea kwenye misuli yako na viungo vya ndani. Soma Zaidi...

Mkojo mchafu na Rangi za mikojo na maana zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Rangi za mkojo na maana zake na mkojo mchafu Soma Zaidi...

Namna ya kutunza chumba cha upasuaji
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza chumba cha upasuaji, chumba cha upasuaji ni tofauti na vyumba vingine kwenye hospitali kwa hiyo vinahitaji uangalizi wa hali ya juu sana ili kuepuka aina yoyote ya uchafu kuwepo kwenye chumba hicho, zifuatazo ni namna ya kutunza chumba cha upasuaji. Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa
Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo Soma Zaidi...