Namna ya kufanya ngozi kuwa laini

Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufanya ili ngozi iweze kuwa laini bila kuwa na make up yoyote.

Namna ya kufanya ngozi yako kuwa laini.

1. Ni njia ambazo utumiwa na watu mbalimbali ili kuhakikisha kubwa ngozi inakuwa laini kwa matumizi mbalimbali ya vyakula na mazoezi kwa kuzingatia yafuatayo.

 

2. Punguza matumizi ya chumvi.

Kwa kawaida chumvi usaidia kufanya vitu mbalimbali kwenye mwili ila na yenyewe ikiwa nyingi usababisha mwili kutokuwa na hali ya kuvutia.

 

2. Usichanganye maziwa  ya wanyama na matunda.

Kwa sababu kazi ya maziwa huwa ni kufyonza kwa hiyo ukichanganya maziwa na matunda kwa kawaida maziwa yatafyonza vitamini muhimu ambavyo usababisha mwili kunawili.

 

3. Epuka matumizi ya mara kwa mara ya make up nzito usababisha mwili kuwa na makunyanzi.

 

4. Fanya mazoezi mepesi na kunywa maji kwa wingi kwa sababu maji usaidia kurainisha mwili.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 1833

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 web hosting    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

KITABU HA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kupiga push up kiafya

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupiga push up kiafya, ni mambo au faida zipatikanazo ki afya kwa wapigaji wa push up kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
CHUKUWA TAHADHARI HIZI KWENYE MAZINGIRA ILI KULINDA AFYA YAKO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Dondoo za afya 81-100

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dondoo za afya

Soma Zaidi...
darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji, ni mbinu mbalimbali ambazo utumika ili kujaribu kuepuka Dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji.

Soma Zaidi...