Namna ya kufanya ngozi kuwa laini

Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufanya ili ngozi iweze kuwa laini bila kuwa na make up yoyote.

Namna ya kufanya ngozi yako kuwa laini.

1. Ni njia ambazo utumiwa na watu mbalimbali ili kuhakikisha kubwa ngozi inakuwa laini kwa matumizi mbalimbali ya vyakula na mazoezi kwa kuzingatia yafuatayo.

 

2. Punguza matumizi ya chumvi.

Kwa kawaida chumvi usaidia kufanya vitu mbalimbali kwenye mwili ila na yenyewe ikiwa nyingi usababisha mwili kutokuwa na hali ya kuvutia.

 

2. Usichanganye maziwa  ya wanyama na matunda.

Kwa sababu kazi ya maziwa huwa ni kufyonza kwa hiyo ukichanganya maziwa na matunda kwa kawaida maziwa yatafyonza vitamini muhimu ambavyo usababisha mwili kunawili.

 

3. Epuka matumizi ya mara kwa mara ya make up nzito usababisha mwili kuwa na makunyanzi.

 

4. Fanya mazoezi mepesi na kunywa maji kwa wingi kwa sababu maji usaidia kurainisha mwili.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 1783

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

SHUGHULI ZA KILA SIKU

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
AINA ZA VYAKULA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
MARADHI YASABABISHWAYO NA HALI ZA MAISHA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Kitabu cha Afya 03

Yajuwe mambo yanayoathiri afya ya miili yetu, jifunze mambo mengi kuhusu afya.

Soma Zaidi...
kitabu cha kanuni 100 za afya

Zijue kanuni 100 za afya ambazo watu wengi hawazijui. Laiti wangelizijua kwa hakika wangefaidika sana.

Soma Zaidi...
NAMNA YA KUTUNZA AFYA KUANZIA JIKONI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
UGONJWA WA MALARIA NA TAKWIMU ZA ATHARI YAKE KIDUNIA

Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles.

Soma Zaidi...
darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...