picha

KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI

Post hii fupi inakwenda kukujuza juu ya tatizo la fangasi na nini ufanye.

Swali: Kama nasumbuliwa na fangasi nini nifanye?

Jibu: Ufupi wa maneno fika kituo cha afya kwa vipimo na matibabu. Kufanya hivi ni salama kwa afya yako.
Pia unaweza kufika duka la dawa na ukapatiwa dawa za Fangasi. zipo zakupaka na kumeza.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1693

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 web hosting     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Dalili za ugonjwa wa schizophrenia

Schizophrenia ni ugonjwa wa akili ambao huathiri jinsi mtu anavyofikiri, kuhisi, na kuamua. Dalili za schizophrenia zinaweza kuwa kama ifuatavyo hapo chini

Soma Zaidi...
Kikohozi kikavu: Chanzo chake na dawa za asili za kutibu.

Kikohozi kikavu ni tatizo linaloathiri mfumo wa upumuaji bila kuzalisha makohozi, mara nyingi likisababishwa na mzio (allergies), maambukizi ya virusi, au asidi ya tumbo kupanda kooni (GERD). Makala haya ya kina yanachambua vyanzo vikuu vya kitaalamu vya changamoto hii na kuorodhesha tiba 6 za asili zilizothibitishwa kisayansi kama vile asali, tangawizi, na binzari. Pia, utajifunza ishara hatari zinazohitaji uononaji wa daktari na ukweli wa kimatibabu kuhusu kikohozi kupitia sehemu ya "Je, Wajua?".

Soma Zaidi...
Dalili za Ukimwi

Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV

Soma Zaidi...
Maambukizi ya H.pylori (Vidonda vya tumbo)

Maambukizi ya H. pylori hutokea wakati aina ya bakteria inayoitwa Helicobacter pylori (H. pylori) inapoambukiza tumbo lako. Hii kawaida hutokea wakati wa utoto. Sababu ya kawaida ya Vidonda vya tumbo, maambukizi ya H. pylori yanaweza kuwa katika za

Soma Zaidi...
Hasira za asubuhi (Morning irritability): Nini cha kufanya?

​Je, unajikuta ukiwa na hasira, msongo wa mawazo, au hali ya kutotaka kuongea na mtu yeyote kila unapoamka? Hii hali inajulikana kama "Morning Irritability." Gundua sababu zake za kisaikolojia na kibaolojia, na jifunze mikakati ya kitaalamu ya kuanza siku yako kwa utulivu, furaha, na tija zaidi.

Soma Zaidi...
Kumsaidia sliyepungukiwa na damu kwa sababu ya minyoo

Posti hii inahusu namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepungukiwa na damu kwa sababu ya minyoo.

Soma Zaidi...