image

Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno

Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume.

Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno.

1. Kwanza kabisa ni kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo ya hedhi, nayo uchangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu kusudi hedhi kuwepo Kuna maumivu yanayoambatana na maumivu kwenye kiuno.

 

2. Uvimbe kwenye mayai.

Kwa sababu ya kuwepo kwa uvimbe kwenye mayai usababisha na maumivu ya kiuno kwa sababu ni vigumu kumtambua Ila mpaka kuwepo na wataalamu wa afya Ili kuweza kugundua chanzo cha maumivu ya kiuno yanayosababishwa na uvimbe kwenye mayai.

 

3. Kuwepo kwa saratani ya ovaries au fibroids kwenye uterus.

Kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo haya usababisha pia kuwepo kwa maumivu kwenye kiuno. Kwa hiyo ni vizuri kutafuta matibabu Ili kuepuka na matatizo haya.

 

4. Pengine ni matatizo mbalimbali ya kimwili, nayo pia yanaweza kusababisha maumivu makali kwenye kiuno, matatizo hayo ni pamoja na Osteomyelitis yaani maambukizi kwenye mifupa.

 

5. Kuharibika kwa diski zilizomo Kati kati ya pingili za Uti wa mgongo ( kama vile kufuatia osteoporosis) kwa sababu mwili kwa ujumla huwa viungo vyake vinawasiliana unaweza kukuta unaumwa mgongo kumbe ni kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye pingili za mgongo.

 

6. Kuwepo kwa maambukizi kwenye tyuma ya uti wa mgongo.

Kwa hiyo tyuma hiyo usababisha na maumivu kwenye kiuno.

 

7. Kuwepo kwa ugonjwa wa baridi yabisi.

Pia na ugonjwa huu usababisha akina Mama kupata maumivu kwenye kiuno.

 

8. Pengine inawezekana kuwepo kwa ajali mbalimbali.kwa mfano mtu anaweza kupata ajali na kuumia sehemu ambayo imeunganika na Uti wa mgongo kwa hiyo usababisha maumivu kwenye kiuno.

 

9. Kwa hiyo tunaona wazi kuwa maumivu kwenye kiuno yanasababishwa na mambo mengi kwa hiyo ni vizuri kabisa kujua sababu ni ipi Ili kuweza kufanya matibabu ya uhakika ,  kama ni matatizo kwenye kizazi, au kama ni ajali au kama ni matatizo kwenye Uti wa mgongo, baada ya kujua tatizo na matibabu ni rahisi kufanyiwa.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1288


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Dalili za kuaribika kwa mishipa ya retina.
Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari. Soma Zaidi...

Dalili za mkojo mchafu na rangi za mkojo na mkojo mchafu
Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake Soma Zaidi...

Dalili za UKIMWI huonekana baada ya muda gani
Hapa utajifunza muda mabao dalili za VVU na UKIMWI huonekana, na kwa muda gani mgonjwa ataishi na UKIMWI bila ya kutumia ARV Soma Zaidi...

Madhara ya fangasi.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema. Soma Zaidi...

Madhara ya kaswende kwa wajawazito na watoto wadogo.
Posti inahusu zaidi madhara ya kaswende kwa mama mjamzito na mtoto, Ni ugonjwa unaopatikana hasa kwa njia ya kujamiiana na utoka kwa mwenye Ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa, kwa hiyo tunapaswa kujua madhara ya ugonjwa huu kwa mama mjamzito na mt Soma Zaidi...

Dalili za anemia ya upungufu wa vitamin.
Anemia ya upungufu wa vitamini ni ukosefu wa seli nyekundu za damu zenye afya unaosababishwa na kiasi kidogo cha vitamini fulani kuliko kawaida. Soma Zaidi...

Njia za kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Soma Zaidi...

Uvimbe wa mishipa midogo ya Damu kwenye ngozi
Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha, Soma Zaidi...

Dalili za kisukari na njia za kuzuia kisukari
Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisakari, dalili zake,na namna ya kujikinga usipate kisukari au Kama tayari unakisukari ukijikinga madhara yanapungua au kupona kabisa.Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwa Soma Zaidi...

Dalili za coma
Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la kichwa , Kiharusi, Tumor ya ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi, kama vile Kisukari au maambukizi. Soma Zaidi...

Sababu za kuumwa na tumbo, chini ya kitomvu ama upande wa kulia
Post hii inakwenda kukutajia baadhi tu ya sababu zinazopelekea kuumwa na tumbo. Hali hizi zinawweza kuwapata watu wa jinsia zote katika umri wowote ule. Ijapokuwa nyingine si kwa wote ni kwa baadhi ya watu. hapa nitakuletea sababu 5 tu. Soma Zaidi...

Walio katika hatari ya kupata homa ya inni
Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu. Soma Zaidi...