Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno

Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume.

Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno.

1. Kwanza kabisa ni kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo ya hedhi, nayo uchangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu kusudi hedhi kuwepo Kuna maumivu yanayoambatana na maumivu kwenye kiuno.

 

2. Uvimbe kwenye mayai.

Kwa sababu ya kuwepo kwa uvimbe kwenye mayai usababisha na maumivu ya kiuno kwa sababu ni vigumu kumtambua Ila mpaka kuwepo na wataalamu wa afya Ili kuweza kugundua chanzo cha maumivu ya kiuno yanayosababishwa na uvimbe kwenye mayai.

 

3. Kuwepo kwa saratani ya ovaries au fibroids kwenye uterus.

Kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo haya usababisha pia kuwepo kwa maumivu kwenye kiuno. Kwa hiyo ni vizuri kutafuta matibabu Ili kuepuka na matatizo haya.

 

4. Pengine ni matatizo mbalimbali ya kimwili, nayo pia yanaweza kusababisha maumivu makali kwenye kiuno, matatizo hayo ni pamoja na Osteomyelitis yaani maambukizi kwenye mifupa.

 

5. Kuharibika kwa diski zilizomo Kati kati ya pingili za Uti wa mgongo ( kama vile kufuatia osteoporosis) kwa sababu mwili kwa ujumla huwa viungo vyake vinawasiliana unaweza kukuta unaumwa mgongo kumbe ni kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye pingili za mgongo.

 

6. Kuwepo kwa maambukizi kwenye tyuma ya uti wa mgongo.

Kwa hiyo tyuma hiyo usababisha na maumivu kwenye kiuno.

 

7. Kuwepo kwa ugonjwa wa baridi yabisi.

Pia na ugonjwa huu usababisha akina Mama kupata maumivu kwenye kiuno.

 

8. Pengine inawezekana kuwepo kwa ajali mbalimbali.kwa mfano mtu anaweza kupata ajali na kuumia sehemu ambayo imeunganika na Uti wa mgongo kwa hiyo usababisha maumivu kwenye kiuno.

 

9. Kwa hiyo tunaona wazi kuwa maumivu kwenye kiuno yanasababishwa na mambo mengi kwa hiyo ni vizuri kabisa kujua sababu ni ipi Ili kuweza kufanya matibabu ya uhakika ,  kama ni matatizo kwenye kizazi, au kama ni ajali au kama ni matatizo kwenye Uti wa mgongo, baada ya kujua tatizo na matibabu ni rahisi kufanyiwa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2390

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dalili za jipu la jino.

Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria. Jipu linaweza kutokea katika maeneo tofauti ya jino kwa sababu tofauti.

Soma Zaidi...
Dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu

Post hii inahusu zaidi mtu aliyekula chakula chenye sumu, chakula chenye sumu ni chakula ambacho kikitumiwa na mtu yeyote kinaweza kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu hata kifo.

Soma Zaidi...
Mtu anaye umwaaa UTI anaweza kuona siku zake?

Kutokuona siku zake mwanamke ni ishara kuwa kuna shida kwenye umfumo wa uzazi. Wakati mwingine kutokuona siku ni ishara ya baraka ya kupata mtoto. Ijapokuwa kuna wengine wanadiriki kutoa mimba kwa sababu zisizo za msingi. Je unadhani UTI inaweza kusababi

Soma Zaidi...
Tahadhari za ugonjwa wa UTI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tahadhari za kuchukua ili kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Sababu za vidonda kwenye uume

Vidonda kwenye uume vinaweza kusababishwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs) kama kaswende na herpes, maambukizi ya fangasi au bakteria, majeraha madogo, mzio (allergy), au usafi duni. Uchunguzi wa kitabibu ni muhimu ili kutambua chanzo na kupata tiba sahihi.

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 13: Faida za bamia

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za bamia mwilini

Soma Zaidi...
Dalili za fangasi Mdomoni.

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za fangasi Mdomoni kwa watoto, vijana, watu wazima na mama wanaonyonyeshwa.

Soma Zaidi...
Dalili za malaria

Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu kwa kitaalamu anaitwa Anopheles.na anasambazwa na mbu jike pale anapotafuta chakula hasa wakati akiwa na mimba. Mbu hawa hupenda kuishi kwenye mnyasi, madibwi haswa kwenye maji yaliyo simama.

Soma Zaidi...
Madhara ya Tiba homoni kwa wagonjwa wa saratani

Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani.

Soma Zaidi...
Maradhi ya macho, dalili zake na matibabu yake

Makala hii itakufundisha maradho makuu ya macho, matibabu yake na tiba zake

Soma Zaidi...