Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume.
1. Kwanza kabisa ni kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo ya hedhi, nayo uchangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu kusudi hedhi kuwepo Kuna maumivu yanayoambatana na maumivu kwenye kiuno.
2. Uvimbe kwenye mayai.
Kwa sababu ya kuwepo kwa uvimbe kwenye mayai usababisha na maumivu ya kiuno kwa sababu ni vigumu kumtambua Ila mpaka kuwepo na wataalamu wa afya Ili kuweza kugundua chanzo cha maumivu ya kiuno yanayosababishwa na uvimbe kwenye mayai.
3. Kuwepo kwa saratani ya ovaries au fibroids kwenye uterus.
Kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo haya usababisha pia kuwepo kwa maumivu kwenye kiuno. Kwa hiyo ni vizuri kutafuta matibabu Ili kuepuka na matatizo haya.
4. Pengine ni matatizo mbalimbali ya kimwili, nayo pia yanaweza kusababisha maumivu makali kwenye kiuno, matatizo hayo ni pamoja na Osteomyelitis yaani maambukizi kwenye mifupa.
5. Kuharibika kwa diski zilizomo Kati kati ya pingili za Uti wa mgongo ( kama vile kufuatia osteoporosis) kwa sababu mwili kwa ujumla huwa viungo vyake vinawasiliana unaweza kukuta unaumwa mgongo kumbe ni kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye pingili za mgongo.
6. Kuwepo kwa maambukizi kwenye tyuma ya uti wa mgongo.
Kwa hiyo tyuma hiyo usababisha na maumivu kwenye kiuno.
7. Kuwepo kwa ugonjwa wa baridi yabisi.
Pia na ugonjwa huu usababisha akina Mama kupata maumivu kwenye kiuno.
8. Pengine inawezekana kuwepo kwa ajali mbalimbali.kwa mfano mtu anaweza kupata ajali na kuumia sehemu ambayo imeunganika na Uti wa mgongo kwa hiyo usababisha maumivu kwenye kiuno.
9. Kwa hiyo tunaona wazi kuwa maumivu kwenye kiuno yanasababishwa na mambo mengi kwa hiyo ni vizuri kabisa kujua sababu ni ipi Ili kuweza kufanya matibabu ya uhakika , kama ni matatizo kwenye kizazi, au kama ni ajali au kama ni matatizo kwenye Uti wa mgongo, baada ya kujua tatizo na matibabu ni rahisi kufanyiwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hepatitis C ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na kusababisha kuvimba. Watu wengi walioambukizwa na virusi vya Hepatitis C (HCV) hawana dalili. Kwa kweli, watu wengi hawajui kuwa wana maambukizi ya Hepatitis C hadi uharibifu wa ini
Soma Zaidi...post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuishiwa damu kwa kitaalamu huitwa(Anemia) ni ugonjwa wa kuishiwa na damu mwilini na kusababisha maisha ya mtu kuwa hatarini
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangre
Soma Zaidi...Je, mtu mwenye dalili zifuatazo Kama, Mapigo ya moyo kwenda mbio, mwili kuchoka,kichefuchefu, kizungungu, joto kiasi.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kichaa cha mbwa ni virusi hatari vinavyoenezwa kwa watu kutoka kwa mate ya wanyama walioambukizwa. Virusi vya kichaa cha mbwa kawaida hupitishwa kwa kuuma.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya moyo, kwa kawaida watu wakisikia habari za magonjwa ya moyo huwa hawaelewi yanakuwaje kuwaje, Leo nataka niwafahamishe kuhusu magonjwa ya moyo na sehemu mbalimbali zinazoathirika.
Soma Zaidi...Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke.
Soma Zaidi...Ukistaajabu ya Musa utastaajabu ya Firauni. Haya ni maneno ya wahenga. Sasa hebu njoo u staajabu ya damu
Soma Zaidi...