Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno

Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno

Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno.

1. Kwanza kabisa ni kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo ya hedhi, nayo uchangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu kusudi hedhi kuwepo Kuna maumivu yanayoambatana na maumivu kwenye kiuno.

 

2. Uvimbe kwenye mayai.

Kwa sababu ya kuwepo kwa uvimbe kwenye mayai usababisha na maumivu ya kiuno kwa sababu ni vigumu kumtambua Ila mpaka kuwepo na wataalamu wa afya Ili kuweza kugundua chanzo cha maumivu ya kiuno yanayosababishwa na uvimbe kwenye mayai.

 

3. Kuwepo kwa saratani ya ovaries au fibroids kwenye uterus.

Kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo haya usababisha pia kuwepo kwa maumivu kwenye kiuno. Kwa hiyo ni vizuri kutafuta matibabu Ili kuepuka na matatizo haya.

 

4. Pengine ni matatizo mbalimbali ya kimwili, nayo pia yanaweza kusababisha maumivu makali kwenye kiuno, matatizo hayo ni pamoja na Osteomyelitis yaani maambukizi kwenye mifupa.

 

5. Kuharibika kwa diski zilizomo Kati kati ya pingili za Uti wa mgongo ( kama vile kufuatia osteoporosis) kwa sababu mwili kwa ujumla huwa viungo vyake vinawasiliana unaweza kukuta unaumwa mgongo kumbe ni kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye pingili za mgongo.

 

6. Kuwepo kwa maambukizi kwenye tyuma ya uti wa mgongo.

Kwa hiyo tyuma hiyo usababisha na maumivu kwenye kiuno.

 

7. Kuwepo kwa ugonjwa wa baridi yabisi.

Pia na ugonjwa huu usababisha akina Mama kupata maumivu kwenye kiuno.

 

8. Pengine inawezekana kuwepo kwa ajali mbalimbali.kwa mfano mtu anaweza kupata ajali na kuumia sehemu ambayo imeunganika na Uti wa mgongo kwa hiyo usababisha maumivu kwenye kiuno.

 

9. Kwa hiyo tunaona wazi kuwa maumivu kwenye kiuno yanasababishwa na mambo mengi kwa hiyo ni vizuri kabisa kujua sababu ni ipi Ili kuweza kufanya matibabu ya uhakika ,  kama ni matatizo kwenye kizazi, au kama ni ajali au kama ni matatizo kwenye Uti wa mgongo, baada ya kujua tatizo na matibabu ni rahisi kufanyiwa.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1703

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Habari nasumbuliwa na tumbo upande wakilia adi nikikojoa mkojo wa mwisho uwa wa kahawia tiba take nini?
Habari nasumbuliwa na tumbo upande wakilia adi nikikojoa mkojo wa mwisho uwa wa kahawia tiba take nini?

Maumivu ya tumbo yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo typhod, vidonda vya tumbo na shida nyingine kwenye mfumo wa chakula.

Soma Zaidi...
Dalili za UTI upande wa wanawake
Dalili za UTI upande wa wanawake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanawake

Soma Zaidi...
Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi
Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Soma Zaidi...
Madhara ya minyoo
Madhara ya minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea madhara ya minyoo

Soma Zaidi...
Kiungulia na tiba zake kwa wajawazito.
Kiungulia na tiba zake kwa wajawazito.

Posti hii inahusu kiungulia kwa wanawake wajawazito na tiba yake, ni ugonjwa au hali inayowapata wajawazito walio wengi kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu
Mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kusababishwa mgongo wAko au kiuno kwa na maumivu, Mgongo ukiwa na maumivu makali Sana yanaweza kusababishwa shida kubwa ata utakapokaa au ukilala au ukitumia bado maumivu yanakuwepo.

Soma Zaidi...
Sababu za ugonjwa wa mkojo kuwa na damu
Sababu za ugonjwa wa mkojo kuwa na damu

Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu.

Soma Zaidi...
Zijue dalili za maambukizi ndani ya sikio na madhara yake
Zijue dalili za maambukizi ndani ya sikio na madhara yake

Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi

Soma Zaidi...
Chanzo cha kiungulia
Chanzo cha kiungulia

Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki.

Soma Zaidi...
Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe
Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe

Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.

Soma Zaidi...