Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.
1. Upelekea kushindwa kufanya tendo la ndoa.
Kwa kawaida Ili tendo la ndoa liweze kufanyika ni lazima mwili wote uwe imara na pia kusiwepo na maumivu yoyote, kwa kitendo cha kuwepo kwa maumivu kwenye nyonga usababisha pia kuwepo kwa maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa maumivu hayo uanza taratibu na pia uongezeka na kuwa makali Zaidi endapo matibabu yasipokuwepo.
2. Upelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili.
Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye kiuno pia usababisha maumivu kwenye baadhi ya viungo vya mwili na pengine usababisha damu isiendelee kupita kwenye baadhi ya sehemu za mwili na kusababisha baadhi ya viungo kupooza kwa sababu ya kuzuiliwa kwa mzunguko wa damu.
3. Usababisha kuwahi kufika kileleni wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Kwa kawaida damu ikishindwa kusafiri vizuri kwenda mwili kwa sababu ya kuwepo kwa mkandamizo wa nevu na hivyo hivyo na baadhi ya mifumo ya mwili nayo upata matatizo mbalimbali kama vile kufika kileleni mapema au kuchoka sana baada ya tendo la ndoa.
4. Kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu kwenye nyonga na kiuno, Kuna uwezekano wa kushindwa kutembea kabisa kwa sababu ya kuchoka kwa misuli inayosababisha miguu iweze kusimama na mtu kabisa anaweza kufikia huko.
5. Kwa hiyo baada ya kujua madhara ya kutotibu maumivu kwenye kiuno pia kwenye nyonga ni vizuri kabisa kutafuta matibabu kwa kuongea na wataalamu wa afya Ili kuweza kupata tiba muhimu na yenye maana kwa kufanya hivyo tutaweza kuepuka matatizo na madhara mbalimbali kwenye mwili.
6. Na pia katika matibabu tunapaswa kuepuka na Mila na desturi ambazo zinaponga matibabu ya hospital na kuamini Sana matibabu ambayo hayafai yanayopelekea kuwapoteza wenzetu au kupata matatizo zaidi ya Yale ya mwanzo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 2220
Sponsored links
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Kitabu cha Afya
dondoo 100
Basi tambua haya;- 1. Soma Zaidi...
Dalili za vidonda vya tumbo
Vidonda vya tumbo no tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda,hutokea baada ya ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaitwa mucus kuharibika.
Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) imegawanyika katika ma Soma Zaidi...
Naomb niulize ukiingiliana na mwanmke mweny ukimwi unaweza kuambikizwa na kusaambaaa kwa mda gan ndan ya mwil
Muda gani ukimwi huweza kuonekana mwilini ama kugundulika kama umeathirika, ni dalili zipo hujitokeza punde tu utakapoathirika Soma Zaidi...
DALILI ZA UTUMBO KUZIBA
Kuziba kwa utumbo ni kuziba kwa chakula au kimiminika kisipite kwenye utumbo mwembamba au utumbo mpana (colon). Kuziba kwa matumbo kunaweza kusababishwa na mikanda ya nyuzi kwenye fumbatio ambayo huunda baada ya upasuaji, mifuko iliyovimba au iliyoambuk Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa Saratani.
Saratani inahusu ugonjwa wowote kati ya idadi kubwa ya magonjwa ambayo yanaonyeshwa na ukuaji wa seli zisizo za kawaida ambazo hugawanyika bila kudhibitiwa na kuwa na uwezo wa kupenya na kuharibu tishu za kawaida za mwili. Saratani mara nyingi ina uwezo Soma Zaidi...
Dalili za coma
Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la kichwa , Kiharusi, Tumor ya ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi, kama vile Kisukari au maambukizi.
Soma Zaidi...
Dalili na madhara ya Kiungulia
post hii inaelezea kuhusiana na dalili au ishara na madhara ya Kiungulia ni maumivu ya moto kwenye kifua chako, nyuma ya mfupa wako wa kifua. Maumivu huwa mabaya zaidi wakati wa kulala au kuinama Soma Zaidi...
Namna Maambukizi kwenye milija na ovari yanavyotokea
Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu mbalimbali. Soma Zaidi...
Msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni huduma maalumu ambayo utolewa kwa mtu ambaye ana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Zifuatazo ni huduma maalumu kwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa kipindupindu
Post hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa kipindupindu.Ni dalili zinzojitokeza kwa magonjwa wa kipindupindu. Soma Zaidi...