MADHARA YA MAUMIVU KWENYE NYONGA NA KIUNO.


image


Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.


Madhara ya kutotibu maambukizi kwenye nyonga na kiuno.

1. Upelekea kushindwa kufanya tendo la ndoa.

Kwa kawaida Ili tendo la ndoa liweze kufanyika ni lazima mwili wote uwe imara na pia kusiwepo na maumivu yoyote, kwa kitendo cha kuwepo kwa maumivu kwenye nyonga usababisha pia kuwepo kwa maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa maumivu hayo uanza taratibu na pia uongezeka na kuwa makali Zaidi endapo matibabu yasipokuwepo.

 

2. Upelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili.

Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye kiuno pia usababisha maumivu kwenye baadhi ya viungo vya mwili na pengine usababisha damu isiendelee kupita  kwenye baadhi ya sehemu za mwili na kusababisha baadhi ya viungo kupooza kwa sababu ya kuzuiliwa kwa mzunguko wa damu.

 

3. Usababisha kuwahi kufika kileleni wakati wa kufanya tendo la ndoa.

Kwa kawaida damu ikishindwa kusafiri vizuri kwenda mwili kwa sababu ya kuwepo kwa mkandamizo wa nevu na hivyo hivyo na baadhi ya mifumo ya mwili nayo upata matatizo mbalimbali kama vile kufika kileleni mapema au kuchoka sana baada ya tendo la ndoa.

 

4. Kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu kwenye nyonga na kiuno, Kuna uwezekano wa kushindwa kutembea kabisa kwa sababu ya kuchoka kwa misuli inayosababisha miguu iweze kusimama na mtu kabisa anaweza kufikia huko.

 

5. Kwa hiyo baada ya kujua madhara ya kutotibu maumivu kwenye kiuno pia kwenye nyonga ni vizuri kabisa kutafuta matibabu kwa kuongea na wataalamu wa afya Ili kuweza kupata tiba muhimu na yenye maana kwa kufanya hivyo tutaweza kuepuka matatizo na madhara mbalimbali kwenye mwili.

 

6. Na pia katika matibabu tunapaswa kuepuka na Mila na desturi ambazo zinaponga matibabu ya hospital na kuamini Sana matibabu ambayo hayafai yanayopelekea kuwapoteza wenzetu au kupata matatizo zaidi ya Yale ya mwanzo.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    4 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    5 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya php    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Jifunze zaidi mzunguko wa mfumo wa damu kwa binadamu
Posti hii inahusu zaidi mfumo wa mwili ambao huhusika na kusafirisha damu ,virutubisho na takamwili.mfumo huu unajumuisha damu,mishipa ya damu na moyo.moyo husukuma damu kupitia mishipa ya damu na kufika maeneo yote ya mwili. Soma Zaidi...

image Je ni kweli vitunguu saumu vinashusha presure
Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda. Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia ugonjwa wa kisonono
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo utumiwa Ili kuweza kuzuia kuwepo ugonjwa wa kisonono, kwa kufuata njia hizi ugonjwa huu wa kisonono unaweza kupungua kwa kiasi au kuisha kabisa. Soma Zaidi...

image Umuhimu wa kutumia dawa za ARV
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo . Soma Zaidi...

image Uwepo wa asidi nyingi mwilini
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kuwepo kwa asidi nyingi mwilini hali uwasumbua watu wengi na kufikia kiasi cha kusababisha madhara mengine mawilini ikiwamo pamoja na kansa ya koo, ili kujua kama una wingi wa asildi mwilini unapaswa kujua dalili kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili. Soma Zaidi...

image Mbinu za kuzuia na kuepukana na maradhi ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepukana na tatizo la ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo. Soma Zaidi...

image Inakuwaje unafanya ngono na aliyeathirika na usipate UKIMWI?
Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzingatia ni kuwa si kila anayeshiriki ngono na aliyeathirika na yeye ataathirika. Makala hii itakwenda kukufundisha mengi kuhusu somo hili. Soma Zaidi...

image Sababu ya maumivu ya magoti.
Posti hii inahusu zaidi sababu za maumivu ambayo yanasikika kwenye magoti, huu ni ugonjwa ambao umewapata walio wengi na bado ni kilio kwa walio wengi kwa vijana na kwa wazee, Kuna wataalamu mbalimbali ambao wameweza kugundua sababu za maumivu kwenye magoti kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Matibabu kwa mtu mwenye kiungulia
Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mtu mwenye kiungulia,ni tiba ambayo mtu anapaswa kutumia kama ana tatizo la kiungulia Soma Zaidi...