Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.
1. Upelekea kushindwa kufanya tendo la ndoa.
Kwa kawaida Ili tendo la ndoa liweze kufanyika ni lazima mwili wote uwe imara na pia kusiwepo na maumivu yoyote, kwa kitendo cha kuwepo kwa maumivu kwenye nyonga usababisha pia kuwepo kwa maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa maumivu hayo uanza taratibu na pia uongezeka na kuwa makali Zaidi endapo matibabu yasipokuwepo.
2. Upelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili.
Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye kiuno pia usababisha maumivu kwenye baadhi ya viungo vya mwili na pengine usababisha damu isiendelee kupita kwenye baadhi ya sehemu za mwili na kusababisha baadhi ya viungo kupooza kwa sababu ya kuzuiliwa kwa mzunguko wa damu.
3. Usababisha kuwahi kufika kileleni wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Kwa kawaida damu ikishindwa kusafiri vizuri kwenda mwili kwa sababu ya kuwepo kwa mkandamizo wa nevu na hivyo hivyo na baadhi ya mifumo ya mwili nayo upata matatizo mbalimbali kama vile kufika kileleni mapema au kuchoka sana baada ya tendo la ndoa.
4. Kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu kwenye nyonga na kiuno, Kuna uwezekano wa kushindwa kutembea kabisa kwa sababu ya kuchoka kwa misuli inayosababisha miguu iweze kusimama na mtu kabisa anaweza kufikia huko.
5. Kwa hiyo baada ya kujua madhara ya kutotibu maumivu kwenye kiuno pia kwenye nyonga ni vizuri kabisa kutafuta matibabu kwa kuongea na wataalamu wa afya Ili kuweza kupata tiba muhimu na yenye maana kwa kufanya hivyo tutaweza kuepuka matatizo na madhara mbalimbali kwenye mwili.
6. Na pia katika matibabu tunapaswa kuepuka na Mila na desturi ambazo zinaponga matibabu ya hospital na kuamini Sana matibabu ambayo hayafai yanayopelekea kuwapoteza wenzetu au kupata matatizo zaidi ya Yale ya mwanzo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la Kurithi ambapo Damu inatoka kwa muda mrefu wakati au baada ya jeraha bila kuganda.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu magonjwa ya zinaa, ni magonjwa yanayosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana pasipo kutumia kinga au kwa lugha nyingine tunaita ngono zembe.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari unaopelekea kukosa fahamu ni tatizo linalohatarisha maisha kisukari ambalo husababisha kupoteza fahamu. Ikiwa una kisukari, sukari ya juu ya damu (hyperglycemia) au sukari iliyopungua sana (hypoglyc
Soma Zaidi...Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasi
Soma Zaidi...VYNZO VYA MINYOO Kama tulivyoona hapo mwanzo kuusu aina za minyoo, pia tumeona vyanzo vya minyoo hao kulingana na aina zao.
Soma Zaidi...Post hii itakwena kukufundisha kuhusu historia fupi ya Ukimwi na matibabu yake. Ni wapi wapo hatarini kupata maambukizi na ni kitu gani wafanye?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye liski ya kupata magonjwa ya ngono, ni watu wanaofanya mambo yanayosababisha kupata magonjwa ya ngono.
Soma Zaidi...Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV
Soma Zaidi...Manung'uniko ya moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako.
Soma Zaidi...