Tojan na virus no aina za malware ambozo zinaadhiri kompyuta yako eidha kuharibu mafaili au kuunganisha kompyuta yako na hacker (wezi was kimitandao)
Trojan .
Trojan ni program za kicompyuta (malicious computer programme) hutumika kuhaki kifaa chako kwa kukuunganisha na hackers. Trojan zinafanyakazi zaidi na ilokusudiwa. Yaani unaweza ukafanya installation ya software kwa ajili ya kufanya jambo Fulani lakini tofauti na kufanya kazi hi yo software hii inakuwa na kazi nyengine usio ifahamu ambayo itaadhiri kompyuta yako eidha kuongeza ads au kuunganisha kompyuta yako na mitandao ya hackers. trojan
Virus Hizi,programme nazo zilizoandaliwa kuathiri kompyuta yako kwa mfano kuharibu mafaili au kula window n k. Virus vimeandaliwa ili vimfanye mtumiaji was kompyuta anunue antivirus software. Kwa kifupi virusi ni progam au faili ambazo huweza kuhama kutoka kompyuta moja kwenda nyingine na kuacha athari zake kwenye kompyuta. virus
Kama tulivyosema katika post ya hapo juu vyite hivi vinaweza kuifanya kompyuta yako iwe slow na kuathiri utumiaji wako. Sambamba na hill pia virus vinaeeza kuifanya kompyuta yako ikakolaps window mama visipo tibiwa katika muda sahihi.
Kuondowa virus I na Trojan unahitajika kuwa na antvirus iliyo active . Pia utahitajika kuiskan kompyuta yako yote yaan full scanning. Kisha ondowa software zote zilikopatikana kuwa zinaathiri kompyuta yako. Kisha ristat kompyuta.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
NJIA RAHISI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE Teknolojia ya mawasiliano ni muhimu katika kuhakikisha kuwa ulimwengu unafikika kama kijiji kimoja na hapa ndipo unapata maana halisi ya neno UTANDAWAZA yaani kwa lugha ya kimombo ni globalization.
Soma Zaidi...Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuepuka malware ukiwa mtandaoni
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na malware
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao
Soma Zaidi...