picha

Huduma kwa wanaopata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi

Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi.

Huduma kwa wenye hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuna Watu ambao mizunguko yao ni tofauti na sio rahisi kuielewa kwa sababu ya kuingia kwenye siku zake za mwezi zaidi ya mara moja kwa hiyo hawa huwa wana sababu mbalimbali za kibiologia nna kwa walio wengi hali yao ubadilika na kuwa kawaida kwa hiyo tunaweza kuwasaidia kama ifuatavyo.

 

2. Kwanza kabisa tunapaswa kuwapatia dawa ya kutuliza maumivu kwa sababu wanakuwa na maumivu makali kwa wakati mwingine upungua kwa sababu ya jambo ambalo usababisha kuwepo kwa hedhi za mara kwa mara, tunaweza kuwapatia asprin na hawapaswi kuzitumia mara kwa mara kwa sababu zinasababisha vidonda vya tumbo.

 

3. Pia wanapaswa kupewa vidonge ambavyo vina homoni ili kama ni mabadiliko ya homoni vinaweza kusaidia vidonge hivyo ni vidonge ambavyo utumiwa na wanawake wa uzazi wa mpango vinaitwa kwa kitaalamu ni combined contraceptive pill, hivi vidonge usaidia sana na vitumike kwa maelekezo ya wataalamu wa afya.

 

4.  Wakati mwingine kunakuwepo na Maambukizi ndoa yanaweza kufanya damu kutoka zaidi ya mara moja kwa mwezi kwa hiyo antibiotics ambazo zimeagizwa na daktari zinapaswa kutolewa ili kuzuia maambukizi na kama kuna uhitaji wa upasuaji mgonjwa anapaswa kuandaliwa ili kumpeleka kwa ajili ya upasuaji.

 

5.kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa huyu mgonjwa anapoteza kiwango fulani cha damu kwa hiyo ni vizuri kumpatia vyakula vinavyoongeza damu ili kurudisha damu iliyotoka kwa mwezi mmoja.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/16/Wednesday - 03:17:50 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1215

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Mm tumbo linaniuma mara kwa mara na linakua kama linages alaf kichwa kinauma mara kwa mara na nakosa choo wakati mwingine na kiuno kinauma je?inawezakua n ujauzito? Maana nilshirki tendo la ndoa siku ya tano baada ya kutoka hedhi

Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.

Soma Zaidi...
Mambo yanayodhihirisha afya ya nguvu za kiume

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuongeza nguvu za kiume

Post hii itakwenda kukuletea orodha ya vyakla vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume.

Soma Zaidi...
TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO

KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.

Soma Zaidi...
Nini kinasababisha uume kutoa maji meupe bila muwasho,na tiba yake ni ipi

Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.

Soma Zaidi...
Mimi naumwa na tumbo chini ya kitovu upande wa kulia, ninapotok kushiriki tendo la ndoa ndonapata maumivu zaid pia nawashwa sehemu za siri itakuwa shida ni nin?

Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya

Soma Zaidi...
Kwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?

Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?

Soma Zaidi...