picha

Huduma kwa wanaopata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi

Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi.

Huduma kwa wenye hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuna Watu ambao mizunguko yao ni tofauti na sio rahisi kuielewa kwa sababu ya kuingia kwenye siku zake za mwezi zaidi ya mara moja kwa hiyo hawa huwa wana sababu mbalimbali za kibiologia nna kwa walio wengi hali yao ubadilika na kuwa kawaida kwa hiyo tunaweza kuwasaidia kama ifuatavyo.

 

2. Kwanza kabisa tunapaswa kuwapatia dawa ya kutuliza maumivu kwa sababu wanakuwa na maumivu makali kwa wakati mwingine upungua kwa sababu ya jambo ambalo usababisha kuwepo kwa hedhi za mara kwa mara, tunaweza kuwapatia asprin na hawapaswi kuzitumia mara kwa mara kwa sababu zinasababisha vidonda vya tumbo.

 

3. Pia wanapaswa kupewa vidonge ambavyo vina homoni ili kama ni mabadiliko ya homoni vinaweza kusaidia vidonge hivyo ni vidonge ambavyo utumiwa na wanawake wa uzazi wa mpango vinaitwa kwa kitaalamu ni combined contraceptive pill, hivi vidonge usaidia sana na vitumike kwa maelekezo ya wataalamu wa afya.

 

4.  Wakati mwingine kunakuwepo na Maambukizi ndoa yanaweza kufanya damu kutoka zaidi ya mara moja kwa mwezi kwa hiyo antibiotics ambazo zimeagizwa na daktari zinapaswa kutolewa ili kuzuia maambukizi na kama kuna uhitaji wa upasuaji mgonjwa anapaswa kuandaliwa ili kumpeleka kwa ajili ya upasuaji.

 

5.kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa huyu mgonjwa anapoteza kiwango fulani cha damu kwa hiyo ni vizuri kumpatia vyakula vinavyoongeza damu ili kurudisha damu iliyotoka kwa mwezi mmoja.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 1248

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 ai web app     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 web hosting     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uume

Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Namna ya kutibu ugumba kwa Mwanaume.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa Mwanaume, ni njia ambazo utumiwa na wataalam mbalimbali Ili kuweza kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuongeza nguvu za kiume

Post hii itakwenda kukuletea orodha ya vyakla vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume.

Soma Zaidi...
Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Soma Zaidi...