Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi.
Huduma kwa wenye hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuna Watu ambao mizunguko yao ni tofauti na sio rahisi kuielewa kwa sababu ya kuingia kwenye siku zake za mwezi zaidi ya mara moja kwa hiyo hawa huwa wana sababu mbalimbali za kibiologia nna kwa walio wengi hali yao ubadilika na kuwa kawaida kwa hiyo tunaweza kuwasaidia kama ifuatavyo.
2. Kwanza kabisa tunapaswa kuwapatia dawa ya kutuliza maumivu kwa sababu wanakuwa na maumivu makali kwa wakati mwingine upungua kwa sababu ya jambo ambalo usababisha kuwepo kwa hedhi za mara kwa mara, tunaweza kuwapatia asprin na hawapaswi kuzitumia mara kwa mara kwa sababu zinasababisha vidonda vya tumbo.
3. Pia wanapaswa kupewa vidonge ambavyo vina homoni ili kama ni mabadiliko ya homoni vinaweza kusaidia vidonge hivyo ni vidonge ambavyo utumiwa na wanawake wa uzazi wa mpango vinaitwa kwa kitaalamu ni combined contraceptive pill, hivi vidonge usaidia sana na vitumike kwa maelekezo ya wataalamu wa afya.
4. Wakati mwingine kunakuwepo na Maambukizi ndoa yanaweza kufanya damu kutoka zaidi ya mara moja kwa mwezi kwa hiyo antibiotics ambazo zimeagizwa na daktari zinapaswa kutolewa ili kuzuia maambukizi na kama kuna uhitaji wa upasuaji mgonjwa anapaswa kuandaliwa ili kumpeleka kwa ajili ya upasuaji.
5.kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa huyu mgonjwa anapoteza kiwango fulani cha damu kwa hiyo ni vizuri kumpatia vyakula vinavyoongeza damu ili kurudisha damu iliyotoka kwa mwezi mmoja.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Madara ya kutomsaidia mama anayetokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja, aina hiyo ya mimba kwa kitaalamu huitwa complete abortion.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.
Soma Zaidi...Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Γ’ΕΒΓ―ΒΈΒ hadi mwisho
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.
Soma Zaidi...