Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi.
Huduma kwa wenye hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuna Watu ambao mizunguko yao ni tofauti na sio rahisi kuielewa kwa sababu ya kuingia kwenye siku zake za mwezi zaidi ya mara moja kwa hiyo hawa huwa wana sababu mbalimbali za kibiologia nna kwa walio wengi hali yao ubadilika na kuwa kawaida kwa hiyo tunaweza kuwasaidia kama ifuatavyo.
2. Kwanza kabisa tunapaswa kuwapatia dawa ya kutuliza maumivu kwa sababu wanakuwa na maumivu makali kwa wakati mwingine upungua kwa sababu ya jambo ambalo usababisha kuwepo kwa hedhi za mara kwa mara, tunaweza kuwapatia asprin na hawapaswi kuzitumia mara kwa mara kwa sababu zinasababisha vidonda vya tumbo.
3. Pia wanapaswa kupewa vidonge ambavyo vina homoni ili kama ni mabadiliko ya homoni vinaweza kusaidia vidonge hivyo ni vidonge ambavyo utumiwa na wanawake wa uzazi wa mpango vinaitwa kwa kitaalamu ni combined contraceptive pill, hivi vidonge usaidia sana na vitumike kwa maelekezo ya wataalamu wa afya.
4. Wakati mwingine kunakuwepo na Maambukizi ndoa yanaweza kufanya damu kutoka zaidi ya mara moja kwa mwezi kwa hiyo antibiotics ambazo zimeagizwa na daktari zinapaswa kutolewa ili kuzuia maambukizi na kama kuna uhitaji wa upasuaji mgonjwa anapaswa kuandaliwa ili kumpeleka kwa ajili ya upasuaji.
5.kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa huyu mgonjwa anapoteza kiwango fulani cha damu kwa hiyo ni vizuri kumpatia vyakula vinavyoongeza damu ili kurudisha damu iliyotoka kwa mwezi mmoja.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.
Soma Zaidi...Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv
Soma Zaidi...Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma kwa mtoto mwenye shida ya kupumua, mtoto kama ana shida ya kupumua tunaangalia dalili kwanza na baadaye tunaweza kutoa huduma kulingana na Dalili.
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kuthibitisha dalili za ujauzito kuwa ni za kweli. Tambuwa namna ya kupima mimba na muda mujarabu wa kupima
Soma Zaidi...Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa h
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...