Njia za kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine

Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

1. Kwa kawaida magonjwa usambaa kwa njia kuu mbili yaani njia ya Moja kwa Moja ambayo kwa kitaalamu huitwa direct transmission ambapo unaweza kusambaa ugonjwa kwa kubusiana, kujamiiana na kugusana ambapo ugonjwa uenda Moja kwa Moja kwa mwingine. Pia Kuna njia nyingine ambayo siyo ya Moja kwa Moja ambapo huwezi kuambukiza ugonjwa Moja kwa Moja mpaka upitie kwa kitu ambapo njia huyo huitwa inderect transmission na hiyo njia imegawanyika  kama ifuatavyo.

 

2.ugonjwa unaweza kusambazwa na wadudu ambapo kwa kitaalamu huitwa vector transmission ambapo mdudu haingizi ugonjwa Moja kwa Moja kwenda mwili Ili kuonyesha maambukizi Bali upitia kwenye hatua Moja kwenda kwa mwingine, kwa mfano mdudu anayeeneza malaria kwa kawaida uingia kwenye Damu na baadae malaria upatikana kwa hiyo ugonjwa umepitia kwenye mdudu ndo maana tunaita siyo Moja kwa Moja.

 

3. Pia ugonjwa mwingine upitia kwenye maji maji ambapo kwa kitaalamu huitwa droplt, utokea pale mtu akipiga chafya au kukohoa .

 

4. Njia nyingine ni kupitia kwenye maumivu ambayo kwa kitaalamu huitwa Airborne disease ambapo wadudu utoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya vumbi.

 

5. Pengine ugonjwa upitia katika vitu ambayo vimechafuliwa au sio visafi kwa kitaalamu huitwa vehicle mode of transmission kwa mfano kumwekea mtu dawa yenye virus vya ukimwi au virus vya homa ya inn bila kupima kwa hiyo wadudu wanaweza kusambaa kwa mtindo huo

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1181

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Je vidonda vya tumbo husababisha maumivu mpka upande mmoja wa mgongoni !?

Ni ngumu kujuwa vidonda vya tumbo uhakika wake bila ya kupata vipimo. Unajuwa ni kwa nini, ni kwa sababu maumivu ya tumbo ni dalili ya shida nyingi za kiafya kama ujauzito, mimba, typhod, na shida kwenye unfumo wa chakula.

Soma Zaidi...
Ni nini husababisha kuziba kwa Njia ya machozi

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa kuziba kwa Njia ya machozi yaani kukosa machozi ambayo husababishwa na maambukizi.

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Njia za kupambana na saratani

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na saratani

Soma Zaidi...
Njia za kutibu saratani

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa.

Soma Zaidi...
Tatizo la fizi kuachana.

Posti hii inahusu zaidi tatizo la fizi kuachana, ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi kwa wakati mwingine unakuta fizi zimeachana kutoka sehemu moja kwa nyingine kwa hiyo tunaweza kuona sababu kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Homa ya ini Nini Nini, na husababishwa na nini

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa ngiri

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo mgonjwa wa ngiri anaweza kuzipata, kwa hiyo baada ya kusoma na kuelewa dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali mapema kwa ajili ya kupata matibabu.

Soma Zaidi...
Yajuwe maradhi ya PID yaani uvimbe kwenye fupanyonga

Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke.

Soma Zaidi...
Uvimbe wa mishipa midogo ya Damu kwenye ngozi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha,

Soma Zaidi...