Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
1. Kwa kawaida magonjwa usambaa kwa njia kuu mbili yaani njia ya Moja kwa Moja ambayo kwa kitaalamu huitwa direct transmission ambapo unaweza kusambaa ugonjwa kwa kubusiana, kujamiiana na kugusana ambapo ugonjwa uenda Moja kwa Moja kwa mwingine. Pia Kuna njia nyingine ambayo siyo ya Moja kwa Moja ambapo huwezi kuambukiza ugonjwa Moja kwa Moja mpaka upitie kwa kitu ambapo njia huyo huitwa inderect transmission na hiyo njia imegawanyika kama ifuatavyo.
2.ugonjwa unaweza kusambazwa na wadudu ambapo kwa kitaalamu huitwa vector transmission ambapo mdudu haingizi ugonjwa Moja kwa Moja kwenda mwili Ili kuonyesha maambukizi Bali upitia kwenye hatua Moja kwenda kwa mwingine, kwa mfano mdudu anayeeneza malaria kwa kawaida uingia kwenye Damu na baadae malaria upatikana kwa hiyo ugonjwa umepitia kwenye mdudu ndo maana tunaita siyo Moja kwa Moja.
3. Pia ugonjwa mwingine upitia kwenye maji maji ambapo kwa kitaalamu huitwa droplt, utokea pale mtu akipiga chafya au kukohoa .
4. Njia nyingine ni kupitia kwenye maumivu ambayo kwa kitaalamu huitwa Airborne disease ambapo wadudu utoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya vumbi.
5. Pengine ugonjwa upitia katika vitu ambayo vimechafuliwa au sio visafi kwa kitaalamu huitwa vehicle mode of transmission kwa mfano kumwekea mtu dawa yenye virus vya ukimwi au virus vya homa ya inn bila kupima kwa hiyo wadudu wanaweza kusambaa kwa mtindo huo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Dalili za typhid zinapasa kuangaliwa kwa umakini. Bila vipimo mtu asitumie dawa za tyohod, kwanu dalili za tyohid hufanana na daliki za maradhi mengi.
Soma Zaidi...Nimonia ni Hali ya kuvimba pafu inayoathiri hasa vifuko vya hewa viitwavyo Alveoli, husababishwa na Maambukizi ya virusi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa kitaalamu hali hii ya kuwa na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo huitwa cystitis.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii, hizi ni njia za awali za kupambana na kuwepo kwa Ugonjwa wa Bawasili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe
Soma Zaidi...Je kujaa kwa mate mdomoni ni dalili ya kuwa na VVU, na je ni zipi dalili za Virusi Vya Ukimwi (VVU) mdomoni?
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa na Ugonjwa unaohusiana na joto ambao hujulikana Kama Anhidrosis ni kutoweza jasho kawaida. Usipotoa jasho mwili wako hauwezi kujipoza, jambo ambalo linaweza kusababisha joto kupita. wakati mwingine inaweza k
Soma Zaidi...Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria.
Soma Zaidi...Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
Soma Zaidi...