Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
1. Kwa kawaida magonjwa usambaa kwa njia kuu mbili yaani njia ya Moja kwa Moja ambayo kwa kitaalamu huitwa direct transmission ambapo unaweza kusambaa ugonjwa kwa kubusiana, kujamiiana na kugusana ambapo ugonjwa uenda Moja kwa Moja kwa mwingine. Pia Kuna njia nyingine ambayo siyo ya Moja kwa Moja ambapo huwezi kuambukiza ugonjwa Moja kwa Moja mpaka upitie kwa kitu ambapo njia huyo huitwa inderect transmission na hiyo njia imegawanyika kama ifuatavyo.
2.ugonjwa unaweza kusambazwa na wadudu ambapo kwa kitaalamu huitwa vector transmission ambapo mdudu haingizi ugonjwa Moja kwa Moja kwenda mwili Ili kuonyesha maambukizi Bali upitia kwenye hatua Moja kwenda kwa mwingine, kwa mfano mdudu anayeeneza malaria kwa kawaida uingia kwenye Damu na baadae malaria upatikana kwa hiyo ugonjwa umepitia kwenye mdudu ndo maana tunaita siyo Moja kwa Moja.
3. Pia ugonjwa mwingine upitia kwenye maji maji ambapo kwa kitaalamu huitwa droplt, utokea pale mtu akipiga chafya au kukohoa .
4. Njia nyingine ni kupitia kwenye maumivu ambayo kwa kitaalamu huitwa Airborne disease ambapo wadudu utoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya vumbi.
5. Pengine ugonjwa upitia katika vitu ambayo vimechafuliwa au sio visafi kwa kitaalamu huitwa vehicle mode of transmission kwa mfano kumwekea mtu dawa yenye virus vya ukimwi au virus vya homa ya inn bila kupima kwa hiyo wadudu wanaweza kusambaa kwa mtindo huo
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo mgonjwa wa ngiri anaweza kuzipata, kwa hiyo baada ya kusoma na kuelewa dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali mapema kwa ajili ya kupata matibabu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ya matiti ya Mwanaume ni Saratani nadra ambayo hutokea katika tishu za matiti za wanaume. Ingawa saratani ya matiti hufikiriwa zaidi kuwa ugonjwa wa wanawake, saratani ya matiti ya mwanaume hutokea. Saratani y
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na kisukari
Soma Zaidi...Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunz akuhusu vidonda vya tumbo na jinsi vinavyotokea. Utajifunza pia tahadhari anazopasa mtu achukuwe na vyakula salama anavyopaswa kula.
Soma Zaidi...Posti inahusu zaidi madhara ya kaswende kwa mama mjamzito na mtoto, Ni ugonjwa unaopatikana hasa kwa njia ya kujamiiana na utoka kwa mwenye Ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa, kwa hiyo tunapaswa kujua madhara ya ugonjwa huu kwa mama mjamzito na mt
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili.
Soma Zaidi...