picha

Namna ya kujikinga na VVU/UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza namna mbalimbali za kujikinga na VVU/UKIMWI

Namna ya kujikinga na VVU na UKIMWI

Watumiaji wa dawa hizi wanaweza kujihisi wapo salama, ila ukweli ni kuwa dawa hizi haritibu VVU hivyo wataendelea kuishi na VVU, na huku wanaendelea kupata tiba kwa uangalizi wa daktari.

 

Njia za kujikliga na VVU

1.Tumia kinga ya kondomu kila unapotaka kushiriki ngono

2.Hakikisha kama ni mjamzito unapata vipimo

3.Usishiriki sindano

4.Kuwa muaminifu kwa mwenza

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2145

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰3 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰4 ai web app     πŸ‘‰5 web hosting     πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Matibabu ya fangasi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya fangasi

Soma Zaidi...
Sababu za Wanandoa Kukosa Maelewano

​Kukosa maelewano katika ndoa ni changamoto inayowapata wanandoa wengi, na mara nyingi chanzo chake ni mrundikano wa mambo madogo yasiyotatuliwa. Post hii inaangazia sababu kuu za migogoro hiyo na jinsi ya kurejesha amani na uelewano ndani ya nyumba.

Soma Zaidi...
Kukosa hamu ya kufanya chochote: Nini cha kufanya?

​Katika ulimwengu wa sasa wenye kasi kubwa, kukumbwa na hali ya kukosa hamu ya kufanya chochote (ambayo kitaalamu hujulikana kama avolition au apathy) ni changamoto inayowakabili watu wengi. Makala hii inachunguza visababishi vya hali hii, athari zake katika maisha ya kila siku, na kutoa mikakati madhubuti ya kurejesha ari, nguvu, na motisha ya kufanya kazi na kufurahia maisha.

Soma Zaidi...
Kukosa choo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kukosa choo

Soma Zaidi...
Ugumba (Infertility): Je, tatizo huanzia wapi kwa mwanamume na mwanamke?

Ugumba hufafanuliwa kama hali ya kutoweza kupata ujauzito baada ya kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara bila kutumia njia zozote za uzazi wa mpango kwa kipindi cha mwaka mmoja (au miezi sita kwa wanawake walio na umri wa zaidi ya miaka 35). Ni tatizo linalogusa pande zote mbili; takwimu zinaonyesha kuwa katika visa vya ugumba, karibu theluthi moja inatokana na mwanamume, theluthi moja inatokana na mwanamke, na theluthi iliyobaki ni mchanganyiko wa pande zote mbili au sababu zisizojulikana.

Soma Zaidi...