Namna ya kujikinga na VVU/UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza namna mbalimbali za kujikinga na VVU/UKIMWI
Namna ya kujikinga na VVU na UKIMWI
Watumiaji wa dawa hizi wanaweza kujihisi wapo salama, ila ukweli ni kuwa dawa hizi haritibu VVU hivyo wataendelea kuishi na VVU, na huku wanaendelea kupata tiba kwa uangalizi wa daktari.
Njia za kujikliga na VVU
1.Tumia kinga ya kondomu kila unapotaka kushiriki ngono
2.Hakikisha kama ni mjamzito unapata vipimo
3.Usishiriki sindano
4.Kuwa muaminifu kwa mwenza
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 ai web app 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Kupunguzwa kwa kiwosi cha lehemu (Cholesterol) mwilini.
Lehemu (cholesterol) ni kiambato muhimu katika mwili wa binadamu, lakini kiwango chake kinapozidi kiasi kinachohitajika, huwa hatari kubwa kwa mfumo wa moyo na mishipa ya damu. Makala hii inatoa uchambuzi wa kitaalamu kuhusu taratibu za kupunguza lehemu mbaya (LDL), umuhimu wa uwiano wa lehemu nzuri (HDL), na mikakati ya kisayansi ya kudhibiti lehemu kupitia lishe, mazoezi, na dawa.
Soma Zaidi...Upungufu wa damu (Anemia): Dalili na vyakula vya kuongeza damu.
Upungufu wa damu (Anemia) ni changamoto kubwa ya afya ya jamii duniani inayotokea pale mwili unapokosa seli nyekundu za damu au protini ya hemoglobin ya kutosha kusafirisha oksijeni. Makala haya ya kitaalamu yanachambua kwa kina dalili za kliniki za anemia, makundi yaliyo katika hatari kubwa, na namna ya kukabili tatizo hili kupitia lishe. Muundo maalum wa makala haya unalenga kutoa mwongozo wa vyakula vyenye madini ya chuma ya Heme na Non-Heme, nafasi ya Vitamini C katika ufyonzwaji wa virutubisho, na mbinu za kuzuia anemia kwa mujibu wa miongozo ya kisayansi ya Shirika la Afya Duniani (WHO).
Soma Zaidi...Sababu za mwanamke kuumwa tumbo y chini ya kitovu.
Posti hii inahusu sababu za mwanamke kuumwa tumbo chini ya kitovu, ni tatizo ambalo limewapata wanawake wengi na pengine sababu ni vigumu kupata au pengine zinapatikana lakini kwa kuchelewa hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa Dondakoo na namna unavyoweza kuenea
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dondakoo na namna unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine.
Soma Zaidi...Hatua za kupambana na ugonjwa wa UTI
Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu.
Soma Zaidi...