picha

Namna ya kujikinga na VVU/UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza namna mbalimbali za kujikinga na VVU/UKIMWI

Namna ya kujikinga na VVU na UKIMWI

Watumiaji wa dawa hizi wanaweza kujihisi wapo salama, ila ukweli ni kuwa dawa hizi haritibu VVU hivyo wataendelea kuishi na VVU, na huku wanaendelea kupata tiba kwa uangalizi wa daktari.

 

Njia za kujikliga na VVU

1.Tumia kinga ya kondomu kila unapotaka kushiriki ngono

2.Hakikisha kama ni mjamzito unapata vipimo

3.Usishiriki sindano

4.Kuwa muaminifu kwa mwenza

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2103

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 ai web app     πŸ‘‰2 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰3 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰4 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰5 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

je..! naweza kuambukizwa fangasi kwa kujamiiana na mtu mwenye fangasi?

Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Bawasili

Posti hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa Bawasili, ni ugonjwa unaotokea kwenye njia ya haja kubwa hali ambayo upelekea kuwepo kwa uvimbe au nyama ambazo uonekana hadi nje, kwa lugha ya kitaalamu ujulikana kama haemorrhoid au pokea.

Soma Zaidi...
Dalili za UKIMWI na VVU kutoka mwanzoni mwa siku za mwanzo

Je na wewe ni katika wanaosumbuka sana kujuwa dalili za kwanza za ukimwi toka siku ya kwanza, ama dalili za ukimwi kwenye ulimi, ama unatakakujuwa ni muda gani ukimwi huonekana, na je ukishiriki ngono zembe ndio utapata ukimwi? Basi makala hii ni kwa ajil

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster

Soma Zaidi...
Matibabu ya maumivu chini ya kitovu

Post hii inahusu zaidi matibabu ya kutibu ugonjwa wa maumivu chini ya kitovu.

Soma Zaidi...
Akili kuchoka na kushindwa kufanya maamuzi (Decision fatigue).

​Muhtasari ​Katika maisha ya kisasa yenye changamoto nyingi, kila siku tunafanya maelfu ya maamuzi, kuanzia yale madogo kama "nivae nini?" hadi makubwa ya kikazi na kifamilia. Hali hii ya kufanya maamuzi mengi mfululizo husababisha hali inayofahamika kama Decision Fatigue (uchovu wa maamuzi). Makala hii inachambua kisaikolojia jinsi hali hii inavyoathiri tija yako, afya ya akili, na inatoa mbinu za kisayansi za kupunguza athari zake ili uweze kufanya maamuzi bora kila siku.

Soma Zaidi...