Ni ngumu kujuwa vidonda vya tumbo uhakika wake bila ya kupata vipimo. Unajuwa ni kwa nini, ni kwa sababu maumivu ya tumbo ni dalili ya shida nyingi za kiafya kama ujauzito, mimba, typhod, na shida kwenye unfumo wa chakula.
SwaliðŸ¦
Je vidonda vya tumbo husababisha maumivu mpka upande mmoja wa mgongoni !?
Swali ðŸ”
Nimesoma jarida lenu la maumivu ya tumbo upande wa kishoto na mgongoni kwa ulewa wangu Inawezekana nikawa na henia lakini Sina dalili Hata moja
JIBU:
👉 Ndio vidonda vya tumbo vinaweza kusababisha maumivu ambayo yanaweza kuendelea kwenye kifua na upande wa nyuma kwa mgongoni.
👉 Henia unaweza ukawa nayo hata bila ya kuonyesha dalili zozote ama kupatwa namaumivu. Ilakadiri siku zinavyokwenda na inapoendelea kujuwa ndipo baadaye inawezakusababisha maumivu ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Kama enihadi una henia wasiliana 📞 na daktari Malema iwezekanapo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa macho, ugonjwa huu kwa kawaida una dalili kuu tano kadri ya maambukizi yanavyoongezeka na madhara yake kwa hiyo tunapaswa kujua dalili hizo Kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha mambo mbalimbali yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Katika somo hili na yanayofuata utajifunz akuhusu ini. Post hii ina muendelezo wa post zinazofuat. Katika mfululizo huuutajifunz akuhusu ini na maradhi yake na kujiking nayo.
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wa tishu za matiti kwa wavulana au wanaume, unaosababishwa na kutofautiana kwa homoni za estrojeni na testosterone. Pia unaweza kuathiri matiti moja au zote mbili, wakati mwingine bila usawa. Watoto wachanga,
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa ambao husababisha kuvimba kwa mishipa ya damu katika mwili wako wote. Ambao kitaalamu hujulikana Kama Behcet .
Soma Zaidi...