Post hii itakujuza maana ya uislamu na nguzo zake.
Uislamu ni nini?
Uislamu unetokana na neno la kiarabu silm kwa maana ya kujisalimisha. Au neno salam kwa maana ya Amani.
Kilugha uislamu ni amani inayopatikana baada ya kujisalimisha kwa Allah.
Kisheria uislamu ni kunyenyekea kwa Allah na kuyafuata yote ambayokujanayo Mtume Muhammad s.a.w.
Nguzo za uislamu:
Uislamu umengwa kwa nguzo kuu tano ambazo hi; -
1. Shahada mbili
2.Kusimamisha swala
3. Kutoa zaka
4. Kufunga ramadhan
5 Kuhiji kwa mwenye kuweza.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Hapa utajifunza utaratibu wa hutuba ya ndoa ya kiislamu. Sharti za jutuba ya ndoa na jinsibya kuozesha
Soma Zaidi...Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Uislamu umeweka taratibu maalumu za kuzifata katika kusherehekea siku ya idi.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi yavkuchunga nyakatibza swala tano.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...