Post hii itakujuza maana ya uislamu na nguzo zake.
Uislamu ni nini?
Uislamu unetokana na neno la kiarabu silm kwa maana ya kujisalimisha. Au neno salam kwa maana ya Amani.
Kilugha uislamu ni amani inayopatikana baada ya kujisalimisha kwa Allah.
Kisheria uislamu ni kunyenyekea kwa Allah na kuyafuata yote ambayokujanayo Mtume Muhammad s.a.w.
Nguzo za uislamu:
Uislamu umengwa kwa nguzo kuu tano ambazo hi; -
1. Shahada mbili
2.Kusimamisha swala
3. Kutoa zaka
4. Kufunga ramadhan
5 Kuhiji kwa mwenye kuweza.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya haja na jisi ya kuiswali.
Soma Zaidi...- Riba ni kipato chochote kile cha ziada kutokana na mkopo au mtaji bila kushiriki katika faida au hasara.
Soma Zaidi...Atika uislamu swala la kupanga uzazi linaruhusiwa endapo kutakuwa na sababu maalumu za kisheria.
Soma Zaidi...