Post hii itakujuza maana ya uislamu na nguzo zake.
Uislamu ni nini?
Uislamu unetokana na neno la kiarabu silm kwa maana ya kujisalimisha. Au neno salam kwa maana ya Amani.
Kilugha uislamu ni amani inayopatikana baada ya kujisalimisha kwa Allah.
Kisheria uislamu ni kunyenyekea kwa Allah na kuyafuata yote ambayokujanayo Mtume Muhammad s.a.w.
Nguzo za uislamu:
Uislamu umengwa kwa nguzo kuu tano ambazo hi; -
1. Shahada mbili
2.Kusimamisha swala
3. Kutoa zaka
4. Kufunga ramadhan
5 Kuhiji kwa mwenye kuweza.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Nazingatio muhimu katika uchumi unaofuata sheria za kiislamu.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza mambo ambayo akiyafanya mtu aliyefunga, basi funga yake itaharibika.
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Swala iliyosimamishwa vilivyo ndiyo nyenzo kuu ya kumtakasa Muislamu na kumpa sifa zinazomuwezesha kustahiki kufanya kazi takatifu ya kusimamisha Uislamu katika jamii.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kuzijuwa aina za twahara katika uislamu. Utaviona vigawanyo vya twahara kulingana na maulamaa wa Fiqh
Soma Zaidi...عَنْ ابْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "لَا يَحِلُّ دَمُ امْرِئٍ مُسْلِمٍ [ يشهد أن ل?...
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya Istikhara
Soma Zaidi...