Post hii itakujuza maana ya uislamu na nguzo zake.
Uislamu ni nini?
Uislamu unetokana na neno la kiarabu silm kwa maana ya kujisalimisha. Au neno salam kwa maana ya Amani.
Kilugha uislamu ni amani inayopatikana baada ya kujisalimisha kwa Allah.
Kisheria uislamu ni kunyenyekea kwa Allah na kuyafuata yote ambayokujanayo Mtume Muhammad s.a.w.
Nguzo za uislamu:
Uislamu umengwa kwa nguzo kuu tano ambazo hi; -
1. Shahada mbili
2.Kusimamisha swala
3. Kutoa zaka
4. Kufunga ramadhan
5 Kuhiji kwa mwenye kuweza.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Mambo haya yanaweza kuharibu funga ya mtu ama kupunguza malipo ya funga.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutawadha kama vile ambavyo alitawadha Mtume
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...