Nina shida hiyo maumivu chini ya tumbo upande wa kushoto na mkojo wa kahawia sana na unatoa arufu
Kama unapatwa na maumivu ya tumbo na ilhali mkojo ni mchafu, ama una harufu sana, basi post hii ni kwa ajili yako.
Swali
Me pia Nina shida hiyo maumivu chini ya tumbo upande wa kushoto na mkojo wa kaawia Sana na unatoa arufu.
Jibu:
Mkojo kuwa mchafu na wenye harufu sana huwenda ikawa ni dalili ya UTI. Pamoja na maumivu hayo huwenda nayo yanasababishwa na UTI. Ijapokuwa zipo sababu nyingine zinazoweza kusababisha maumivu ya tumbo upande wa kushoto kama shida kwenye mfumo wa chakula, ama tumbo kujaa gesi. Huwenda pia shida kwenye mfumo wa mkojo kama mawe kwenye kibofu ama figo.
Kwanza ukapate vipimo vya UTI, kisha ikionekana hali hivyo hivyo ilhali huna UTI daktari atahitaji kufanya uchunguzi wa afya yako zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 ai web app 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
YANAYOATHIRI AFYA KATIKA MAZINGIRZ
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...YANAYOATHIRI AFYA TABIA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Madhara kwa wasiofanya mazoezi
Posti hii inahusu zaidi madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa watu wasiofanya mazoezi, mazoezi ni kama tiba kwa namna Moja au nyingine ila Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale ambao hawafanyi mazoezi.
Soma Zaidi...