Kama unapatwa na maumivu ya tumbo na ilhali mkojo ni mchafu, ama una harufu sana, basi post hii ni kwa ajili yako.
Swali
Me pia Nina shida hiyo maumivu chini ya tumbo upande wa kushoto na mkojo wa kaawia Sana na unatoa arufu.
Jibu:
Mkojo kuwa mchafu na wenye harufu sana huwenda ikawa ni dalili ya UTI. Pamoja na maumivu hayo huwenda nayo yanasababishwa na UTI. Ijapokuwa zipo sababu nyingine zinazoweza kusababisha maumivu ya tumbo upande wa kushoto kama shida kwenye mfumo wa chakula, ama tumbo kujaa gesi. Huwenda pia shida kwenye mfumo wa mkojo kama mawe kwenye kibofu ama figo.
Kwanza ukapate vipimo vya UTI, kisha ikionekana hali hivyo hivyo ilhali huna UTI daktari atahitaji kufanya uchunguzi wa afya yako zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Kwa kuimarisha afya ya ubongo unaweza kuimarisha kumbukumbu, Kinga za mwili na mengineyo mengi ambayo utajifunza kwenye makala hii
Soma Zaidi...Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.
Soma Zaidi...Yajuwe mambo yanayoathiri afya ya miili yetu, jifunze mambo mengi kuhusu afya.
Soma Zaidi...