image

Nina shida hiyo maumivu chini ya tumbo upande wa kushoto na mkojo wa kahawia sana na unatoa arufu

Kama unapatwa na maumivu ya tumbo na ilhali mkojo ni mchafu, ama una harufu sana, basi post hii ni kwa ajili yako.

Swali

Me pia Nina shida hiyo maumivu chini ya tumbo upande wa kushoto na mkojo wa kaawia Sana na unatoa arufu.

 

Jibu:

Mkojo kuwa mchafu na wenye harufu sana huwenda ikawa ni dalili ya UTI. Pamoja na maumivu hayo huwenda nayo yanasababishwa na UTI. Ijapokuwa zipo sababu nyingine zinazoweza kusababisha maumivu ya tumbo upande wa kushoto kama shida kwenye mfumo wa chakula, ama tumbo kujaa gesi. Huwenda pia shida kwenye mfumo wa mkojo kama mawe kwenye kibofu ama figo.

 

Kwanza ukapate vipimo vya UTI, kisha ikionekana hali hivyo hivyo ilhali huna UTI daktari atahitaji kufanya uchunguzi wa afya yako zaidi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 977


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

HUDUMA ZA KIAFYA KATIKA JAMII
Umuhimu wa huduma za kiafya katika jamii Soma Zaidi...

darasa la lishe
Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe Soma Zaidi...

TAHADHARI KWENYE VYAKULA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

KITABU HA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...

NAMNA AMBAZO MWILI HUPAMBANA NA MARADHI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Dua Sehemu ya 01
Zijue fadhila za kuomba dua, tambua umuhimu na mahimizo juu ya kuomba dua? Soma Zaidi...

KITABU CHA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...

AFYA YA UZAZI NI NINI?, PIA UTAJIFUNZA MATATIZO YA HEDHI, KUTOKUPATA UJAUZITO, ULEZI WA MIMBA NA MTOTO, TEZI DUME NA NGIRI MAJI, NGUVU ZA KIUME
AFYA YA UZAZI Afya ya uzazi huweza kufungamana na mambo mengi sana. Soma Zaidi...

MAWAKALA WA MARADHI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

darasa la lishe
Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe Soma Zaidi...

utaratibu wa lishe
Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe Soma Zaidi...

matunda na mboga
Soma Zaidi...