Umuhimu wa kupiga push up kiafya

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupiga push up kiafya, ni mambo au faida zipatikanazo ki afya kwa wapigaji wa push up kama ifuatavyo.

Umuhimu wa kupiga push up kiafya.

1 uboreshaji wa mkao na mwonekano wako. 

Kwa sababu kila sehemu ya mwili uwa kwenye mpangilio wake ndio maana ukifuatilia wapigaji wa push up wako vizuri ki mipangilio kwa sehemu zote za mwili.

 

2. Uimarisha misuli.

Kwa kawaida wapigaji wengi wa push up wanakuwa wameimarika kwa misuli yao kwa sababu ya kupiga push up kila siku kwa hiyo hata kama akiumia uchukua mda mfupi kupona kwa sababu ya misuli yake kuwa imara.

 

3. Uimarisha pia mifupa .

Kwa sababu ya kupiga push up kila siku mifupa uimarika kabisa na kuwa imara.

 

4. Uongezeka kifua 

Misuli ikiboreshwa umbo la kifua nalo uongezeka kwa hiyo ulifatilia sana wapiga push up huwa na vifua vikubwa.

 

5. Usaidia kupunguza uzito.

Kwa kupiga push up uzito unaweza kupungua kwa sababu mafuta na nyama zote uyeyuka kwa sababu ya kuwepo kwa upigaji wa push up kila siku.

 

6. Uondoa maumivu ya mgongo.

Kwa sababu ya kuwepo kwa push up misuli ambayo imo mgongoni nayo inawezekana kunyooka na kusababisha maumivu ya mgongo kupungua.

 

7. Uweka viungo vya mwili kwenye usawa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa push up kila mara viungo vyote unyooka na kuwa kwenye hali yake ya kawaida.

 

8. Push up uweka tumbo kwenye mpangilio mzuri yaani kwenye six - parks na mwonekano wa tumbo huwa kawaida

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 3178

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...
ZIJUWE NYANJA KUU 6 ZA AFYA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...
dondoo za afya

Basi tambua haya;- 1.

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Kitabu Cha matunda

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Safari ya damu kwa Kila siku

Posti hii inakwenda kukuletea mfumo wa damu mwilini na safari zake za Kila siku

Soma Zaidi...
Dondoo za afya 1-20

Somo Hili linakwenda kukuletea dondoo mbalimbali za afya

Soma Zaidi...
Sheria za kutunza usafi wakati wa upasuaji.

Posti hii inahusu zaidi sheria za kutunza usafi wakati wa upasuaji, iwapo sheria mojawapo ikienda kinyume ijulikane kuwa usafi haujaenda sawa na pengine kwa kitaalamu huitwa contamination.

Soma Zaidi...