Umuhimu wa kupiga push up kiafya

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupiga push up kiafya, ni mambo au faida zipatikanazo ki afya kwa wapigaji wa push up kama ifuatavyo.

Umuhimu wa kupiga push up kiafya.

1 uboreshaji wa mkao na mwonekano wako. 

Kwa sababu kila sehemu ya mwili uwa kwenye mpangilio wake ndio maana ukifuatilia wapigaji wa push up wako vizuri ki mipangilio kwa sehemu zote za mwili.

 

2. Uimarisha misuli.

Kwa kawaida wapigaji wengi wa push up wanakuwa wameimarika kwa misuli yao kwa sababu ya kupiga push up kila siku kwa hiyo hata kama akiumia uchukua mda mfupi kupona kwa sababu ya misuli yake kuwa imara.

 

3. Uimarisha pia mifupa .

Kwa sababu ya kupiga push up kila siku mifupa uimarika kabisa na kuwa imara.

 

4. Uongezeka kifua 

Misuli ikiboreshwa umbo la kifua nalo uongezeka kwa hiyo ulifatilia sana wapiga push up huwa na vifua vikubwa.

 

5. Usaidia kupunguza uzito.

Kwa kupiga push up uzito unaweza kupungua kwa sababu mafuta na nyama zote uyeyuka kwa sababu ya kuwepo kwa upigaji wa push up kila siku.

 

6. Uondoa maumivu ya mgongo.

Kwa sababu ya kuwepo kwa push up misuli ambayo imo mgongoni nayo inawezekana kunyooka na kusababisha maumivu ya mgongo kupungua.

 

7. Uweka viungo vya mwili kwenye usawa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa push up kila mara viungo vyote unyooka na kuwa kwenye hali yake ya kawaida.

 

8. Push up uweka tumbo kwenye mpangilio mzuri yaani kwenye six - parks na mwonekano wa tumbo huwa kawaida

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 3873

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

dondoo 100 za Afya

Basi tambua haya;- 61.

Soma Zaidi...
MARADHI YASABABISHWAYO NA HALI ZA MAISHA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Dondoo za afya 21-40

Somo Hili linakwenda kukuletea dondoo mbalimbali za afya

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA PROTINI NA FATI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
JIFUNZE NAMNA YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA MAFUA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Namna ambavyo usingizi unasaidia kuimarisha afya ya ubongo

Kwa kuimarisha afya ya ubongo unaweza kuimarisha kumbukumbu, Kinga za mwili na mengineyo mengi ambayo utajifunza kwenye makala hii

Soma Zaidi...
afya somo la 15

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
CHUKUWA TAHADHARI KWENYE SHUGHULI ZAKO KULINDA AFYA YAKO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...