Navigation Menu



Umuhimu wa kupiga push up kiafya

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupiga push up kiafya, ni mambo au faida zipatikanazo ki afya kwa wapigaji wa push up kama ifuatavyo.

Umuhimu wa kupiga push up kiafya.

1 uboreshaji wa mkao na mwonekano wako. 

Kwa sababu kila sehemu ya mwili uwa kwenye mpangilio wake ndio maana ukifuatilia wapigaji wa push up wako vizuri ki mipangilio kwa sehemu zote za mwili.

 

2. Uimarisha misuli.

Kwa kawaida wapigaji wengi wa push up wanakuwa wameimarika kwa misuli yao kwa sababu ya kupiga push up kila siku kwa hiyo hata kama akiumia uchukua mda mfupi kupona kwa sababu ya misuli yake kuwa imara.

 

3. Uimarisha pia mifupa .

Kwa sababu ya kupiga push up kila siku mifupa uimarika kabisa na kuwa imara.

 

4. Uongezeka kifua 

Misuli ikiboreshwa umbo la kifua nalo uongezeka kwa hiyo ulifatilia sana wapiga push up huwa na vifua vikubwa.

 

5. Usaidia kupunguza uzito.

Kwa kupiga push up uzito unaweza kupungua kwa sababu mafuta na nyama zote uyeyuka kwa sababu ya kuwepo kwa upigaji wa push up kila siku.

 

6. Uondoa maumivu ya mgongo.

Kwa sababu ya kuwepo kwa push up misuli ambayo imo mgongoni nayo inawezekana kunyooka na kusababisha maumivu ya mgongo kupungua.

 

7. Uweka viungo vya mwili kwenye usawa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa push up kila mara viungo vyote unyooka na kuwa kwenye hali yake ya kawaida.

 

8. Push up uweka tumbo kwenye mpangilio mzuri yaani kwenye six - parks na mwonekano wa tumbo huwa kawaida

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 2922


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

ITAMBUE SARATANI CHANZO CHAKE, DALILI NA KUKABILIANA NAYO
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

NAMNA YA KUTUNZA AFYA KUANZIA JIKONI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Namna ya kufanya ngozi kuwa laini
Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufanya ili ngozi iweze kuwa laini bila kuwa na make up yoyote. Soma Zaidi...

Somo la afya na dawa na matibabu
Soma Zaidi...

kitabu cha afya
Soma Zaidi...

darasa la lishe
Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe Soma Zaidi...

KAULI ZA WATU MASHUHURI KUHUSU AFYA
Soma Zaidi...

CHUKUWA TAHADHARI HIZI KWENYE MAZINGIRA ILI KULINDA AFYA YAKO
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

darasa la lishe
Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe Soma Zaidi...

Kujiepusha na Vishawishi vya Zinaa
Kujiepusha na Vishawishi vya ZinaaKatika macho ya sheria kitendo cha zinaa kinahesabiwa pale wanapokutana kimwili mwanamume na mwanamke nje ya ndoa. Soma Zaidi...