Tumesha mzika maiti sasa imebakia mali yae nyumbani, watoto, wake na menginyeo.
Tumesha mzika maiti sasa imebakia mali yae nyumbani, watoto, wake na menginyeo. Baada ya kumzika maiti sasa kuna utaratibu utafanyika. Watu ambao wamebaki duniani bado wana nafasi ya kumsaidi maiti akiwa kaburini, kumsadia kwa heri ama kwa shari. Makala hii inakwenda kukuorodheshea mambo kadhaa ambayo ni muhimu kwa waliohai kuyafanya baada ya kumzika ndugu yao:
Nini tufanye baada ya kuzika:
1.Kumuombea dua marehemu, dua hii anaweza kuombewa na watoto wake, ndugu zake, wake zake ama yoyote anaye mfahamu
2.Kuzungumza mema ya marehemu na kuwacha kuzungumza maovu yake.
3.Kumlipia madeni yake
4.Kuwafariji ndugu na familia ya marehemu
5.Kuwapikia chakula wafiwa
6.Kutekeleza usia wake baada ya kulipa madeni
7.Kurithisha mali yake baada ya kulipa madeni na kutekeleza usia
8.Kumtolea sadaka
9.Kum;ipia baaadhi ya ibada zake kama hija na swaumu
10.Kumhijia
11.Kuzuru kaburi lake
12.Kumuombea dua pindi unapomkumbuka
13.Kufanya wma katika mali zake
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Post hii itakufundisha kuhusu swala ya kupatwa yaani kupatwa kwa juwa na kupatwa kwa mwezi swalat kusuf na swalat khusuf
Soma Zaidi...Yajuwe mambo ambayo yanapendeza kuyafanya wakati ukiwa umefunga Ramadhani.
Soma Zaidi...Kipengele hichi tutajifunza namna ya kusimamisha swala ukiwa safarini na vitani na nguzo zake.
Soma Zaidi...Mirathi katika jamii za kijahiliKatika jamii nyingi za kijahili kama vile jamii ya Waarabu kabla ya Mtume Muhammad (s.
Soma Zaidi...Amesema mtume (s.a.w) kuwa Allah (s.w) amesema: kila amali ya mwanaadamu ni kwa ajili yake isipokuwa funga.
Soma Zaidi...Kwa nini Lengo la Zakat na Sadaqat Halijafikiwa katika Jamii yetu?
Soma Zaidi...Tofauti kati ya mfumo wa uchumi wa Kiislamu na ile ya Kitwaghuti (i) Dhana ya mafanikioKatika mtazamo wa uchumi wa Kiislamu mafanikio yanatazamwa kwa kuzingatia hatima ya ama mtu kupata radhi za Mwenyezi Mungu au kubeba laana ya Mwenyezi Mungu.
Soma Zaidi...Fahamu darsa mbalimbali za fiqh kama swala, twahara, zaka pamoja na funga. Zijuwe sharti za swala, funga na zaka.
Soma Zaidi...