Tumesha mzika maiti sasa imebakia mali yae nyumbani, watoto, wake na menginyeo.
Tumesha mzika maiti sasa imebakia mali yae nyumbani, watoto, wake na menginyeo. Baada ya kumzika maiti sasa kuna utaratibu utafanyika. Watu ambao wamebaki duniani bado wana nafasi ya kumsaidi maiti akiwa kaburini, kumsadia kwa heri ama kwa shari. Makala hii inakwenda kukuorodheshea mambo kadhaa ambayo ni muhimu kwa waliohai kuyafanya baada ya kumzika ndugu yao:
Nini tufanye baada ya kuzika:
1.Kumuombea dua marehemu, dua hii anaweza kuombewa na watoto wake, ndugu zake, wake zake ama yoyote anaye mfahamu
2.Kuzungumza mema ya marehemu na kuwacha kuzungumza maovu yake.
3.Kumlipia madeni yake
4.Kuwafariji ndugu na familia ya marehemu
5.Kuwapikia chakula wafiwa
6.Kutekeleza usia wake baada ya kulipa madeni
7.Kurithisha mali yake baada ya kulipa madeni na kutekeleza usia
8.Kumtolea sadaka
9.Kum;ipia baaadhi ya ibada zake kama hija na swaumu
10.Kumhijia
11.Kuzuru kaburi lake
12.Kumuombea dua pindi unapomkumbuka
13.Kufanya wma katika mali zake
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 936
Sponsored links
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Kitau cha Fiqh
Mazao ambayo inapasa kutolewa zaka
Soma Zaidi...
Kumuandaa Maiti kabla ya kufa ama kukata roho
Soma Zaidi...
Kusimamisha swala za faradh katika nyakati za dharura.
Kipengele hichi tutajifunza namna ya kusimamisha swala ukiwa safarini na vitani na nguzo zake. Soma Zaidi...
Taratibu za ndoa ya kiislamu, hatua kwa hatua
Soma Zaidi...
Sifa za uchumi wa kiislamu na njia halali za uchumi na umiliki mali katika uislamu
Soma Zaidi...
Jinsi ya kiswali swala ya tahajud na swala za usiku yaani qiyamu layl
Post hii itakujuza jinsi ya kiswali swala ya tahajudi. Pia utajifunza jinsi ya kuswali swala za usikubyaanibqiyamublayl Soma Zaidi...
NI KWA NINI TUNASWALI?, NI UPI UMUHIMU WA KUSWALI NA NI ZIPI FADHILA ZA KUSWALI
Umuhimu wa KusimamishaSwala Kwa mujibu wa Hadith ya Ibn Umar (r. Soma Zaidi...
Mtazamo na Msimamo wa Uislamu Juu ya Kudhibiti Uzaz (uzazi wa mpango) na hukumu yake
Soma Zaidi...
haki na wajibu kwa watumishi wa nyumbani (house boy and house girl)
Soma Zaidi...
Mifumo ya benk na uchumi wa kiislamu
7. Soma Zaidi...