picha

Baada ya kumzika maiti nini kifanyike kumsaidia marehemu

Tumesha mzika maiti sasa imebakia mali yae nyumbani, watoto, wake na menginyeo.

Baada ya kumzika maiti nini kifanyike kumsaidia marehemu

BAADA YA KUZIKA NINI KIFANYIKE


Tumesha mzika maiti sasa imebakia mali yae nyumbani, watoto, wake na menginyeo. Baada ya kumzika maiti sasa kuna utaratibu utafanyika. Watu ambao wamebaki duniani bado wana nafasi ya kumsaidi maiti akiwa kaburini, kumsadia kwa heri ama kwa shari. Makala hii inakwenda kukuorodheshea mambo kadhaa ambayo ni muhimu kwa waliohai kuyafanya baada ya kumzika ndugu yao:

Nini tufanye baada ya kuzika:
1.Kumuombea dua marehemu, dua hii anaweza kuombewa na watoto wake, ndugu zake, wake zake ama yoyote anaye mfahamu
2.Kuzungumza mema ya marehemu na kuwacha kuzungumza maovu yake.
3.Kumlipia madeni yake
4.Kuwafariji ndugu na familia ya marehemu
5.Kuwapikia chakula wafiwa
6.Kutekeleza usia wake baada ya kulipa madeni
7.Kurithisha mali yake baada ya kulipa madeni na kutekeleza usia
8.Kumtolea sadaka
9.Kum;ipia baaadhi ya ibada zake kama hija na swaumu
10.Kumhijia
11.Kuzuru kaburi lake
12.Kumuombea dua pindi unapomkumbuka
13.Kufanya wma katika mali zake



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2176

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 web hosting    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Masharti ya swala

Sharti za SwalaSharti za Swala Sharti za swala ni yale mambo ya lazima anayotakiwa Muislamu ayachunge na kuyatekeleza kabla hajaanza kuswali.

Soma Zaidi...
Mda wa mwisho wa kula daku mwezi wa ramadhani

Post hii fupi itakwenda kukujulisha utaratibu wa kula daku.

Soma Zaidi...
Mtazamo wa uislamu juu ya ndoa ya mke zaidi ya mmoja

Je jamii inachukuliaje swala la kuoa mke zaidi ya mmoja.

Soma Zaidi...
Swala ya ijumaa, nguzo zake, sharti zake na jinsi ya kuiswali

Post hii inakwenda kukugundisha kuhusu swala ya ijumaa taratibu zake na jinsi ya kuiiswali.

Soma Zaidi...
Aina za talaka, sharti zake na taratibu za kutaliki katika uislamu

Maana: ni utaratibu wa kuvunja mkataba wa ndoa baina ya mume na mke mbele ya mashahidi wawili kwa kuzingatia sheria ya Kiislamu.

Soma Zaidi...
Swala ya kuomba mvua swalat istiqaa na jinsi ya kuiswali.

Hapa nitakujulisha kuhusu swala ya kuomba mvia, na taratibu za kuiswali.

Soma Zaidi...
Dhana ya haki na uadilifu katika uislamu

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...