image

Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?

Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza

Swali: 

👉Fungus ikiw kali inaxababixh dam kutok uken

 

Jibu: 

✍️Kawaida fangasi hasababishi kutokwa na damu.  Ila ndio endapo watasababisha michubuko yes damu inawwza kutoka. 

 

✍️Mfano ni fangasi wa kwenye uke,  ama kwenye mapimbu (korodani). Hawa wanaweza kusababisha majeraha madogo kwenye ngazi ama wakati wa kujikuna. 

 

Swali: 

👉Hvy fungus ikiixha dam haita toka na mzunguko wng wa hedhi utaendelea kama kawaida

 

Jibu: 

✍️Endapo fangasi imeshambulia sana kwenye uke hata kuwa PID na kusababisha mvurugiko wa hedhi,  hali hii inahitaji matibabu kwa ulazima. 

 

✍️Punde fangasi itakapotibiwa mzunguko wa hedhi utarudi kawaida.  Na hata kama kulikuwa na michubuko iliyosababisha damu itakoma. 

 

Swali: 

👉Na fungus uwa na madhara gan ikiwepo mda mref ktk mwili. 

 

Jibu: 

✍️Si kawaida kwa fangasi kusababisha kifo,  ila ni haki ambayo inasumbuwa sana. Hizi ni chache tu ya athari zinazoweza kutokea: -

1. Kuharibu mzunguko wa hedhi
2. Maumivu,  miwasho na harufu ukeni na kutokwa namajimaji zaidi. 
3. Kama hawatatibiwa wanaweza kuathiri kizazi

 

Swali: 

👉Ni nin nifnye ili niepukane na maambukiz ya fungus

 

Jibu: 

✍️ Unaweza kuepukana na fangasi kwa kuchukuwa tahadhari juu ya namna ambavyo unaishi. Kwa mfano: -

1. Pata matibabu hakikisha umepata matibabu kutoka kituo cha afya ama kama ni duka la dawa iwe imepewa na daktari. 

2. Hakikisha sehemu za siri zinabakia kavu muda mwingi, kwa kuvaa nguo zisizobana,  kama joto kali punguza nguo kama upo faragha unaweza bakiwa na chache tu

3. Kama huwa unavaliana na mtu,  ama unashea taulo,  au sabuni wacha kabisa

4. Hakikisha mpenzi wako unamuamini na anakuamini, yaani kila mmoja asiwe namichepuko. 

5. Usitumie kemikali kali ama sabuni Kali kusafisha uke usitumie kusafishaji chochite maalumu cha uke.  Vyema kutumia zanuba za kawaida. 

6. Hakikisha pedi unazitumia ni zaoamba na zinabakia kuwakavu,  kama iimechafuka bariki nyingine kila baada ya muda kulingana na maelezo yake. 

 

Swali: 

👉Kupata miwaxho kwenye kitov ni ugonjwa na unaxababishwa na nini? 

 

Jibu: 

✍️Huwenda ni fangasi,  hakikisha unatumia dawa za kutibu tatizo. 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1133


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO
DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO Dawa za kukabiliana na zaidi ambazo zina calcium carbonate (Tums, Rolaids), zinaweza kusaidia kutibu vidonda vya tumbo lakini hazipaswi kutumiwa kama matibabu ya msingi. Soma Zaidi...

DALILI ZA UTUMBO KUZIBA
Kuziba kwa utumbo ni kuziba kwa chakula au kimiminika kisipite kwenye utumbo mwembamba au utumbo mpana (colon). Kuziba kwa matumbo kunaweza kusababishwa na mikanda ya nyuzi kwenye fumbatio ambayo huunda baada ya upasuaji, mifuko iliyovimba au iliyoambuk Soma Zaidi...

Namna ya kugundua mtu mwenye kaswende.
Post hii inahusu zaidi njia za kumgundua mgonjwa wa kaswende, njia hizi utumika baada ya kuongea na mgonjwa kuhusu maisha yake hasa kujamiiana na watu mbalimbali. Soma Zaidi...

FIKRA POTOFU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO
Soma Zaidi...

Dalili za vidonda vya tumbo
Vidonda vya tumbo no tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda,hutokea baada ya ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaitwa mucus kuharibika. Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) imegawanyika katika ma Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa kisonono
Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi. Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa unaohusiana na kuzidi kwa joto mwilini (anhidrosis) ama heatshock
posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa na Ugonjwa unaohusiana na joto ambao hujulikana Kama Anhidrosis ni kutoweza jasho kawaida. Usipotoa jasho mwili wako hauwezi kujipoza, jambo ambalo linaweza kusababisha joto kupita. wakati mwingine inaweza k Soma Zaidi...

Dalilili za kukosa oksijeni
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalilili za kukosa oksijeni ambalo kitaalamu hujulikana Kama apnea.kukosa oksijeni ni tatizo ambapo kupumua kwako hukoma na kuanza unapolala. Soma Zaidi...

UGONJWA WA KASWENDE
Kaswende ni maambukizi ya bakteria kawaida huenezwa kwa kujamiiana pia ugonjwa huu hujulikana kama syphilis. Ugonjwa huu huanza kama kidonda kisicho na maumivu kwa kawaida kwenye sehemu zako za siri, rektamu au mdomo Soma Zaidi...

Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo. Soma Zaidi...

MARADHI YA MOYO: KUPALALAIZI, PRESHA, SHAMBULIZI LA MOYO, Atherosclerosis;
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe.
Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe ambao husababisha dalili kama za mafua. Dalili na ishara za Ugonjwa huu ni kati ya kuumwa na mwili kidogo hadi homa kali na kwa kawaida huonekana ndani ya wiki moja au mbili baada ya kuumwa na kupe. Njia bora ya Soma Zaidi...