Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza
Swali:
👉Fungus ikiw kali inaxababixh dam kutok uken
Jibu:
âœï¸Kawaida fangasi hasababishi kutokwa na damu. Ila ndio endapo watasababisha michubuko yes damu inawwza kutoka.
âœï¸Mfano ni fangasi wa kwenye uke, ama kwenye mapimbu (korodani). Hawa wanaweza kusababisha majeraha madogo kwenye ngazi ama wakati wa kujikuna.
Swali:
👉Hvy fungus ikiixha dam haita toka na mzunguko wng wa hedhi utaendelea kama kawaida
Jibu:
âœï¸Endapo fangasi imeshambulia sana kwenye uke hata kuwa PID na kusababisha mvurugiko wa hedhi, hali hii inahitaji matibabu kwa ulazima.
âœï¸Punde fangasi itakapotibiwa mzunguko wa hedhi utarudi kawaida. Na hata kama kulikuwa na michubuko iliyosababisha damu itakoma.
Swali:
👉Na fungus uwa na madhara gan ikiwepo mda mref ktk mwili.
Jibu:
âœï¸Si kawaida kwa fangasi kusababisha kifo, ila ni haki ambayo inasumbuwa sana. Hizi ni chache tu ya athari zinazoweza kutokea: -
1. Kuharibu mzunguko wa hedhi
2. Maumivu, miwasho na harufu ukeni na kutokwa namajimaji zaidi.
3. Kama hawatatibiwa wanaweza kuathiri kizazi
Swali:
👉Ni nin nifnye ili niepukane na maambukiz ya fungus
Jibu:
âœï¸ Unaweza kuepukana na fangasi kwa kuchukuwa tahadhari juu ya namna ambavyo unaishi. Kwa mfano: -
1. Pata matibabu hakikisha umepata matibabu kutoka kituo cha afya ama kama ni duka la dawa iwe imepewa na daktari.
2. Hakikisha sehemu za siri zinabakia kavu muda mwingi, kwa kuvaa nguo zisizobana, kama joto kali punguza nguo kama upo faragha unaweza bakiwa na chache tu
3. Kama huwa unavaliana na mtu, ama unashea taulo, au sabuni wacha kabisa
4. Hakikisha mpenzi wako unamuamini na anakuamini, yaani kila mmoja asiwe namichepuko.
5. Usitumie kemikali kali ama sabuni Kali kusafisha uke usitumie kusafishaji chochite maalumu cha uke. Vyema kutumia zanuba za kawaida.
6. Hakikisha pedi unazitumia ni zaoamba na zinabakia kuwakavu, kama iimechafuka bariki nyingine kila baada ya muda kulingana na maelezo yake.
Swali:
👉Kupata miwaxho kwenye kitov ni ugonjwa na unaxababishwa na nini?
Jibu:
âœï¸Huwenda ni fangasi, hakikisha unatumia dawa za kutibu tatizo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Ugonjwa wa kula kupindukia ni ugonjwa mbaya wa ulaji ambapo mara kwa mara unatumia kiasi kikubwa cha chakula na kuhisi huwezi kuacha kula.
Soma Zaidi...Magonjwa ya kuambukiza: Ni yale yanayoweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine au kutoka kwa wanyama kwenda kwa mtu Mlipuko tukio lililoenea la ugonjwa katika jamii kwa wakati fulani ambao huonekana kama kesi mpya kwa kiwango ambacho kinazi
Soma Zaidi...Kuharibika kwa mimba ni upotevu wa hiari wa ujauzito kabla ya wiki ya 20. Takriban asilimia 10 hadi 20 ya mimba zinazojulikana huisha kwa kuharibika kwa mimba. Lakini idadi halisi labda ni kubwa zaidi kwa sababu mimba nyingi hutokea mapema sana katika u
Soma Zaidi...Huwenda ukawa ni moja kati ya watu wanaotaka kujuwa juu ya dalili za ukimwi. Kama wewe ni katika watu hawa tambuwa kuwa kuna dalili za VVU (hiv) na dalili za ukimwi. Makala hii itakwenda kukuletea dalili kuu za mwanzo za VVU na HIV kuanzia wiki tatu za mw
Soma Zaidi...Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za mtu aliyegongwa na nyoka, nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na sumu ikiingia mwilini mtu huwa na dalili mbalimbali
Soma Zaidi...Ugonjwa sugu wa figo, pia huitwa kushindwa kwa figo sugu, huelezea upotevu wa taratibu wa utendakazi wa figo. Figo zako huchuja taka na Majimaji kupita kiasi kutoka kwa damu yako, ambayo hutolewa kwenye mkojo wako. Ugonjwa sugu wa figo unapofikia hatua
Soma Zaidi...Saratani ya uke ni Saratani adimu inayotokea kwenye uke wako mrija wa misuli unaounganisha uterasi na sehemu zako za siri. Saratani ya uke mara nyingi hutokea katika seli zilizo kwenye uso wa uke wako, ambao wakati mwingine huitwa njia ya uzazi. Wan
Soma Zaidi...