Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza
Swali:
👉Fungus ikiw kali inaxababixh dam kutok uken
Jibu:
âœï¸Kawaida fangasi hasababishi kutokwa na damu. Ila ndio endapo watasababisha michubuko yes damu inawwza kutoka.
âœï¸Mfano ni fangasi wa kwenye uke, ama kwenye mapimbu (korodani). Hawa wanaweza kusababisha majeraha madogo kwenye ngazi ama wakati wa kujikuna.
Swali:
👉Hvy fungus ikiixha dam haita toka na mzunguko wng wa hedhi utaendelea kama kawaida
Jibu:
âœï¸Endapo fangasi imeshambulia sana kwenye uke hata kuwa PID na kusababisha mvurugiko wa hedhi, hali hii inahitaji matibabu kwa ulazima.
âœï¸Punde fangasi itakapotibiwa mzunguko wa hedhi utarudi kawaida. Na hata kama kulikuwa na michubuko iliyosababisha damu itakoma.
Swali:
👉Na fungus uwa na madhara gan ikiwepo mda mref ktk mwili.
Jibu:
âœï¸Si kawaida kwa fangasi kusababisha kifo, ila ni haki ambayo inasumbuwa sana. Hizi ni chache tu ya athari zinazoweza kutokea: -
1. Kuharibu mzunguko wa hedhi
2. Maumivu, miwasho na harufu ukeni na kutokwa namajimaji zaidi.
3. Kama hawatatibiwa wanaweza kuathiri kizazi
Swali:
👉Ni nin nifnye ili niepukane na maambukiz ya fungus
Jibu:
âœï¸ Unaweza kuepukana na fangasi kwa kuchukuwa tahadhari juu ya namna ambavyo unaishi. Kwa mfano: -
1. Pata matibabu hakikisha umepata matibabu kutoka kituo cha afya ama kama ni duka la dawa iwe imepewa na daktari.
2. Hakikisha sehemu za siri zinabakia kavu muda mwingi, kwa kuvaa nguo zisizobana, kama joto kali punguza nguo kama upo faragha unaweza bakiwa na chache tu
3. Kama huwa unavaliana na mtu, ama unashea taulo, au sabuni wacha kabisa
4. Hakikisha mpenzi wako unamuamini na anakuamini, yaani kila mmoja asiwe namichepuko.
5. Usitumie kemikali kali ama sabuni Kali kusafisha uke usitumie kusafishaji chochite maalumu cha uke. Vyema kutumia zanuba za kawaida.
6. Hakikisha pedi unazitumia ni zaoamba na zinabakia kuwakavu, kama iimechafuka bariki nyingine kila baada ya muda kulingana na maelezo yake.
Swali:
👉Kupata miwaxho kwenye kitov ni ugonjwa na unaxababishwa na nini?
Jibu:
âœï¸Huwenda ni fangasi, hakikisha unatumia dawa za kutibu tatizo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi aina mbili za kifua kikuu, aina ya kwanza ni ile ya kawaida ambayo ushambulia mapafu na aina ya pili ni ile ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye limfu node, kwenye sehemu za moyo, kwenye uti wa mgongo, kwen
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia Ugonjwa wa kaswende, tunajua wazi kuwa Ugonjwa huu unasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kufanya ngono zembe na njia nyingine kwa hiyo tunaweza kuzuia kusambaa na kuenea kwa ugonjwa huu kwa n
Soma Zaidi...MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA FIGOFigo ni kiungo muhimu sana katika uchujaji wa mkojo, na afya ya mfumo wa utoaji taka mwili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanawake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ukoma, ni Ugonjwa unaosababishwa na mdudu anayeitwa mycobacterium leprae, mdudu huyu kwa kawaida uathiri sana sehemu za ngozi na sehemu za Neva mbalimbali za mwili
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Soma Zaidi...HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupunguza hatari yako ya vidonda vya tumbo ikiwa unafuata mikakati sawa inayopendekezwa kama tiba ya nyumbani kutibu vidonda.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo.
Soma Zaidi...