Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza
Swali:
👉Fungus ikiw kali inaxababixh dam kutok uken
Jibu:
âœï¸Kawaida fangasi hasababishi kutokwa na damu. Ila ndio endapo watasababisha michubuko yes damu inawwza kutoka.
âœï¸Mfano ni fangasi wa kwenye uke, ama kwenye mapimbu (korodani). Hawa wanaweza kusababisha majeraha madogo kwenye ngazi ama wakati wa kujikuna.
Swali:
👉Hvy fungus ikiixha dam haita toka na mzunguko wng wa hedhi utaendelea kama kawaida
Jibu:
âœï¸Endapo fangasi imeshambulia sana kwenye uke hata kuwa PID na kusababisha mvurugiko wa hedhi, hali hii inahitaji matibabu kwa ulazima.
âœï¸Punde fangasi itakapotibiwa mzunguko wa hedhi utarudi kawaida. Na hata kama kulikuwa na michubuko iliyosababisha damu itakoma.
Swali:
👉Na fungus uwa na madhara gan ikiwepo mda mref ktk mwili.
Jibu:
âœï¸Si kawaida kwa fangasi kusababisha kifo, ila ni haki ambayo inasumbuwa sana. Hizi ni chache tu ya athari zinazoweza kutokea: -
1. Kuharibu mzunguko wa hedhi
2. Maumivu, miwasho na harufu ukeni na kutokwa namajimaji zaidi.
3. Kama hawatatibiwa wanaweza kuathiri kizazi
Swali:
👉Ni nin nifnye ili niepukane na maambukiz ya fungus
Jibu:
âœï¸ Unaweza kuepukana na fangasi kwa kuchukuwa tahadhari juu ya namna ambavyo unaishi. Kwa mfano: -
1. Pata matibabu hakikisha umepata matibabu kutoka kituo cha afya ama kama ni duka la dawa iwe imepewa na daktari.
2. Hakikisha sehemu za siri zinabakia kavu muda mwingi, kwa kuvaa nguo zisizobana, kama joto kali punguza nguo kama upo faragha unaweza bakiwa na chache tu
3. Kama huwa unavaliana na mtu, ama unashea taulo, au sabuni wacha kabisa
4. Hakikisha mpenzi wako unamuamini na anakuamini, yaani kila mmoja asiwe namichepuko.
5. Usitumie kemikali kali ama sabuni Kali kusafisha uke usitumie kusafishaji chochite maalumu cha uke. Vyema kutumia zanuba za kawaida.
6. Hakikisha pedi unazitumia ni zaoamba na zinabakia kuwakavu, kama iimechafuka bariki nyingine kila baada ya muda kulingana na maelezo yake.
Swali:
👉Kupata miwaxho kwenye kitov ni ugonjwa na unaxababishwa na nini?
Jibu:
âœï¸Huwenda ni fangasi, hakikisha unatumia dawa za kutibu tatizo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya makunfi ya watu walio hatarini kupata UTI
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo Uweza kujitokeza na kuona kwamba ni Dalili za miguu kufa ganzi, pengine utokea kwa watu wote na pengine huwa ni kwa ghafla
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo VVU huambukizwa
Soma Zaidi...Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu elimu ya kuhusu HIV na UKIMWI
Soma Zaidi...