Menu



Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?

Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza

Swali: 

👉Fungus ikiw kali inaxababixh dam kutok uken

 

Jibu: 

✍️Kawaida fangasi hasababishi kutokwa na damu.  Ila ndio endapo watasababisha michubuko yes damu inawwza kutoka. 

 

✍️Mfano ni fangasi wa kwenye uke,  ama kwenye mapimbu (korodani). Hawa wanaweza kusababisha majeraha madogo kwenye ngazi ama wakati wa kujikuna. 

 

Swali: 

👉Hvy fungus ikiixha dam haita toka na mzunguko wng wa hedhi utaendelea kama kawaida

 

Jibu: 

✍️Endapo fangasi imeshambulia sana kwenye uke hata kuwa PID na kusababisha mvurugiko wa hedhi,  hali hii inahitaji matibabu kwa ulazima. 

 

✍️Punde fangasi itakapotibiwa mzunguko wa hedhi utarudi kawaida.  Na hata kama kulikuwa na michubuko iliyosababisha damu itakoma. 

 

Swali: 

👉Na fungus uwa na madhara gan ikiwepo mda mref ktk mwili. 

 

Jibu: 

✍️Si kawaida kwa fangasi kusababisha kifo,  ila ni haki ambayo inasumbuwa sana. Hizi ni chache tu ya athari zinazoweza kutokea: -

1. Kuharibu mzunguko wa hedhi
2. Maumivu,  miwasho na harufu ukeni na kutokwa namajimaji zaidi. 
3. Kama hawatatibiwa wanaweza kuathiri kizazi

 

Swali: 

👉Ni nin nifnye ili niepukane na maambukiz ya fungus

 

Jibu: 

✍️ Unaweza kuepukana na fangasi kwa kuchukuwa tahadhari juu ya namna ambavyo unaishi. Kwa mfano: -

1. Pata matibabu hakikisha umepata matibabu kutoka kituo cha afya ama kama ni duka la dawa iwe imepewa na daktari. 

2. Hakikisha sehemu za siri zinabakia kavu muda mwingi, kwa kuvaa nguo zisizobana,  kama joto kali punguza nguo kama upo faragha unaweza bakiwa na chache tu

3. Kama huwa unavaliana na mtu,  ama unashea taulo,  au sabuni wacha kabisa

4. Hakikisha mpenzi wako unamuamini na anakuamini, yaani kila mmoja asiwe namichepuko. 

5. Usitumie kemikali kali ama sabuni Kali kusafisha uke usitumie kusafishaji chochite maalumu cha uke.  Vyema kutumia zanuba za kawaida. 

6. Hakikisha pedi unazitumia ni zaoamba na zinabakia kuwakavu,  kama iimechafuka bariki nyingine kila baada ya muda kulingana na maelezo yake. 

 

Swali: 

👉Kupata miwaxho kwenye kitov ni ugonjwa na unaxababishwa na nini? 

 

Jibu: 

✍️Huwenda ni fangasi,  hakikisha unatumia dawa za kutibu tatizo. 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1380

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Dalilili za saratani ya utumbo

Saratani ya Utumbo ni Saratani ya utumbo mpana (koloni), sehemu ya chini ya mfumo wako wa usagaji chakula. Kwa pamoja, mara nyingi hujulikana kama Saratani ya utumbo mpana. Visa vingi vya Saratani ya utumbo mpana huanza

Soma Zaidi...
Walio katika hatari ya kupata magonjwa ya ngono

Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye liski ya kupata magonjwa ya ngono, ni watu wanaofanya mambo yanayosababisha kupata magonjwa ya ngono.

Soma Zaidi...
Maambukizi ya tishu ya Matiti.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi ya tishu ya matiti ambayo husababisha maumivu ya matiti, uvimbe, joto na uwekundu. Pia unaweza kuwa na Homa na baridi. Ugonjwa huu huwapata zaidi wanawake wanaonyonyesha ingawa wakati mwingine hali hi

Soma Zaidi...
Daliliza shinikizo la Chini la damu.

Shinikizo la chini la damu (hypotension) litaonekana kuwa jambo la kujitahidi. Hata hivyo, kwa watu wengi, shinikizo la chini la damu linaweza kusababisha dalili za Kizunguzungu na kuzirai. Katika hali mbaya, shinikizo la chini la damu linawez

Soma Zaidi...
ugonjwa wa Malaria dalili zake na chanzo chake.

Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.

Soma Zaidi...
Kuharisha choo cha marenda renda ni dalili gani?

Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana.

Soma Zaidi...
Njia za kuangalia sehemu yenye maumivu

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu.

Soma Zaidi...
Dalili za kifua kikuu (tuberculosis)

Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis.

Soma Zaidi...
Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

Soma Zaidi...
Magonjwa ya kuambukiza.

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasi

Soma Zaidi...