Kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI
Kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI
Yes inawezekana, na hili ni swali watu wengi wamekuwa wakijiuliza. Itambulike kuwa kushiriki tendo la ndoa na aliyeathirika si lazima kuwa nawe utaathirika, ila kauli hii isieleweke vibaya. Kwani njia ambayo inaongoza leo katika kueneza maambukizi ya HIV ni kushiriki tendo la ndio. Mtu anaweza kushiriki tendo la ndoa na aliyeathirika bila ya kuathirika endapo:-
A.Endapo hakutatokea michubuko wakati wa tendo
B.Endapo muathirika ametumia dawa za ART kwa muda mrefu kwa kufuata masharti hata viral load yake ikawa haionekani (undetected) na akadumu kwa hali hii walau miezi 6
C.Endapo walitumia kinga wakati wa kushiriki tendo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 web hosting 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Dalilili za polio
Polio ni ugonjwa wa virusi unaoambukiza ambao katika hali mbaya zaidi husababisha kupooza, kupumua kwa shida na wakati mwingine kifo.
Soma Zaidi...Homa ya manjano (Jaundice): Chanzo chake na dalili.
Homa ya manjano (Jaundice) si ugonjwa wenyewe, bali ni dalili ya kuwepo kwa tatizo la msingi linaloathiri ini, nyongo (gallbladder), au mfumo wa damu. Makala hii inachunguza kwa kina fiziolojia ya ugonjwa huu, ikielezea jinsi mkusanyiko wa bilirubin unavyopelekea ngozi na nyeupe za macho kugeuka rangi ya manjano. Tutachambua visababishi vikuu, dalili zinazoambatana na hali hii, na umuhimu wa kupata uchunguzi wa kimatibabu haraka
Soma Zaidi...Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.
Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Soma Zaidi...Sababu za miguu kufa ganzi.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali,za miguu kufa ganzi,ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi na walio wengi hawafahamu kabisa ni sababu zipi ambazo uleta tatizo hili.
Soma Zaidi...Dalili za PID kwa Mwanamke
Ugonjwa wa kuvimba kwa viungo vya uzazi vya mwanamke, maarufu kama PID (Pelvic Inflammatory Disease), ni maambukizi yanayoshambulia mfumo wa uzazi wa mwanamke, ikiwemo mji wa mimba, mirija ya uzazi (fallopian tubes), na ovari. Makala hii inaelezea kwa kina dalili za PID, visababishi vyake, na kwa nini ni muhimu kupata matibabu ya haraka ili kuzuia madhara ya kudumu kama ugumba.
Soma Zaidi...