image

Namna ya kuepuka Ugonjwa wa ngiri.

Posti hii inahusu zaidi namna au njia za kuepuka na Ugonjwa huu wa ngiri ambao uleta madhara kwa watoto, vijana na watu wazima, kwa hiyo ili tuweze janga hili ni lazima tufanye yafuatayo.

Njia za kuepuka Ugonjwa wa ngiri.

1. Kwaza kabisa tunapaswa kutumia vyakula vyenye nyuzi nyuzi kama vile machungwa, maembe na aina mbalimbali za matunda kwa kufanya hivyo tunaweza kuufanya mwili ujengeke na hatimaye kuepuka na janga hili la ugonjwa wa ngiri.

 

2.Pia tunapaswa kula vyakula vyenye wingi wa protini.

Kwa kawaida tunajua kazi ya protini ni kuufanya mwili ukue vizuri na kurudisha sehemu iliyokuwa imeharibika kuwa vizuri, kwa kutumia vyakula vya hivyo kama maziwa, mahindi, karanga na mambo kama hayo usaidia mwili kuwa imara na kupunguza tatizo la ngiri.

 

3. Epuka kazi ngumu.

Ili kuepuka Ugonjwa huu wa ngiri tunapaswa kuepuka kazi ngumu ambayo Usababisha viungo vya mwili kutenguka na pia kuepuka mazoezi magumu sana nayo usababisha viungo vya mwili kuachia hali ambayo Usababisha kuwepo kwa uwazi na utumbo au nyama kukua kuelekea kwenye sehemu ya uwazi 

 

4. Kutumia virutubisho vya mwili.

Tunajua kubwa chakula bora ni dawa kwa kutumia chakula bora na chenye aina zote za virutubisho usaidia kuwepo kwa kinga ya kutosha mwilini na hatimaye mwili kujijenga wenyewe na kupungua kwa Ugonjwa huu wa ngiri.

 

5. Tunapaswa kujenga Tabia ya kufanya uchunguzi.

Kwa kufanya uchunguzi tunaweza kupunguza matatizo kuwa makubwa zaidi,kwa kufanya hivyo hata tatizo liligunduliwa ni rahisi kutibiwa.

 

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1780


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Dalilili zinazotokea kwenye mrija wa mkojo
Mrija wa mkojo hutoa mkojo nje ya mwili lakini mrija huu unapoziba hufanya utoaji wa mkojo kutoka kwa shida au maumivu Soma Zaidi...

Walio kwenye hatari ya kupata UTI
Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Dalili za HIV na UKIMWI kwenye Ulimi na Mdomo
Dalili za HIV na UKIMWI kwenye mdomo na ulimi utaziomna hapa. hizi zinaweza kuwa ndio za kwanza kwa ambaye hajapima HIV Soma Zaidi...

Ugonjwa wa vitiligo, chanzo, dalili na matibabu yake
Katika post hii utajifunza kuhusu ugonjwa wa vitiligo, chanzo chake, dalili zake na matibabu yaje Soma Zaidi...

Elimu kuhusu HIV na UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu elimu ya kuhusu HIV na UKIMWI Soma Zaidi...

Dalili za madhara ya ini
Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification Soma Zaidi...

Kuharisha choo cha marenda renda ni dalili gani?
Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana. Soma Zaidi...

Dalili za VVU/UKIMWI Ni zipi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za VVU/ UKIMWI Soma Zaidi...

Ni Nini husababisha kinjwaa kutoa harufu mbaya?
Posti hii inaelezea kuhusiana na sababu zinazosababisha kinjwa au mdomo kutoa harufu mbaya? Soma Zaidi...

Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo Soma Zaidi...

Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.
Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo Soma Zaidi...

Samahan naomb kujua staili za tendo la ndoa
Post hii inakwenda kujibu swali la muulizaji. Kuhusu syyle za tendo la ndoa Soma Zaidi...