Namna ya kuepuka Ugonjwa wa ngiri.

Posti hii inahusu zaidi namna au njia za kuepuka na Ugonjwa huu wa ngiri ambao uleta madhara kwa watoto, vijana na watu wazima, kwa hiyo ili tuweze janga hili ni lazima tufanye yafuatayo.

Njia za kuepuka Ugonjwa wa ngiri.

1. Kwaza kabisa tunapaswa kutumia vyakula vyenye nyuzi nyuzi kama vile machungwa, maembe na aina mbalimbali za matunda kwa kufanya hivyo tunaweza kuufanya mwili ujengeke na hatimaye kuepuka na janga hili la ugonjwa wa ngiri.

 

2.Pia tunapaswa kula vyakula vyenye wingi wa protini.

Kwa kawaida tunajua kazi ya protini ni kuufanya mwili ukue vizuri na kurudisha sehemu iliyokuwa imeharibika kuwa vizuri, kwa kutumia vyakula vya hivyo kama maziwa, mahindi, karanga na mambo kama hayo usaidia mwili kuwa imara na kupunguza tatizo la ngiri.

 

3. Epuka kazi ngumu.

Ili kuepuka Ugonjwa huu wa ngiri tunapaswa kuepuka kazi ngumu ambayo Usababisha viungo vya mwili kutenguka na pia kuepuka mazoezi magumu sana nayo usababisha viungo vya mwili kuachia hali ambayo Usababisha kuwepo kwa uwazi na utumbo au nyama kukua kuelekea kwenye sehemu ya uwazi 

 

4. Kutumia virutubisho vya mwili.

Tunajua kubwa chakula bora ni dawa kwa kutumia chakula bora na chenye aina zote za virutubisho usaidia kuwepo kwa kinga ya kutosha mwilini na hatimaye mwili kujijenga wenyewe na kupungua kwa Ugonjwa huu wa ngiri.

 

5. Tunapaswa kujenga Tabia ya kufanya uchunguzi.

Kwa kufanya uchunguzi tunaweza kupunguza matatizo kuwa makubwa zaidi,kwa kufanya hivyo hata tatizo liligunduliwa ni rahisi kutibiwa.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2091

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Fahamu Ugonjwa wa kipindupindu.

Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa uchovu sugu.

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika

Soma Zaidi...
Fahamu Mambo yanayosababisha Ugonjwa wa kipindupindu

Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini. Ikiachwa bila kutibiwa, Kipindupindu kinaweza kusababisha kifo kwa muda wa saa chache, hata kwa watu walioku

Soma Zaidi...
Elimu kuhusu HIV na UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu elimu ya kuhusu HIV na UKIMWI

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa mapafu.

posti hii inahusu dalili za ugonjwa wa mapafu.ambapo kitaalamu hujulikana Kama Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu yako. Majimaji mengi kw

Soma Zaidi...
Dalili za macho kuwa makavu

posti hii inaelezea kuhusiana na dalilili na Mambo ya hatari ya Macho makavu  hutokea wakati machozi yako hayawezi kutoa unyevu wa kutosha kwa macho yako. Machozi yanaweza kuwa duni kwa sababu nyingi. Kwa mfano, Macho makavu  yanaweza ku

Soma Zaidi...
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.

Soma Zaidi...
MJUE MBU, NA YAJUWE MARADHI MAKUU MATANO (5) HATARI YANAYOAMBUKIZWA NA MBU, malaria kukamata namba moja kwenye maradhi hayo)

Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu.

Soma Zaidi...
Sababu za miguu kufa ganzi.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali,za miguu kufa ganzi,ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi na walio wengi hawafahamu kabisa ni sababu zipi ambazo uleta tatizo hili.

Soma Zaidi...