Madhara ya kutotibu ngiri.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea pale ambapo Ugonjwa wa ngiri unaposhindwa kutibiwa mapema.

Madhara ya kutotibu ugonjwa wa ngiri.

1. Kwanza kabisa tusipotibu ugonjwa wa ngiri tunaweza kusababisha kuwepo kwa Maambukizi kwa sababu kuna maji maji yanayotoka kwenye sehemu yenye tatizo na kuingia kwenye sehemu isiyokuwa na tatizo hali ambayo Usababisha Maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

 

2. Kuwepo kwa uvimbe unaobadilika badilika rangi.

Kwa sababu ya kutotibu ugonjwa huu wa ngiri na uvimbe utokea ambao ubadilika rangi kwa hiyo uvimbe huo na husipotibiwa unaweza kusababisha kuwepo kwa magonjwa ya kansa na kusababisha hali ya mgonjwa kuwa mbaya zaidi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kutibu Ugonjwa huu mara moja pale inapotokea ili kuepuka kuwepo kwa magonjwa makubwa 

 

3. Kuwepo kwa maumivu makali na ya kila mara.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili hali hii usababisha kuwepo kwa maumivu makali kwenye kitovu, kwenye via vya uzazi na pia kwenye kifua, na kwenye kifua usababisha upumuaji  kuwa wa shida zaidi, kwa hiyo mara nyingi utasikia wanaume wana lalamika kuhusu maumivu makali ambayo wana yasikia.na pia watoto wanakaa wanalia kwa sababu ya Maumivu makali kwenye kitovu.

 

4. Kuwepo hali ya kichefuchefu na kutapika.

Kwa kawaida tunajua wazi kuwa, ngiri usababishwa na utumbo kuhamia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye kifua, via vya uzazi, kitovu na sehemu mbalimbali kwa kufanya hivyo ufanya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula nao pia kubadilika hali ambayo Usababisha kichefu chefu na kutapika, mtoto akitapika sana usababisha kupungua kwa maji mwilini.

 

5. Kuwepo kwa homa kali.

Kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya mwili pamoja na maumivu homa nayo inawezekana kutokea ikiwa kali, kama ni kwa mtoto usababisha degedege kwa watoto wadogo na kuishiwa na maji mwilini.

 

6. Mgonjwa kuhisi kwenda chooni ila akifika huko utoa gesi tu, kwa hiyo na mmeng'enyo wa chakula nao uwa na matatizo hali ambayo upelekea mgonjwa kutoa gesi badala ya kinyesi.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2528

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

tatizo la kushindwa kujaza misuli ya mwilini na kusinyaa kwa misuli mwilini

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.

Soma Zaidi...
Madhara ya Tiba kemikali kwa wagonjwa wa saratani

Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba kemikali, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wa saratani, madhara haya yanayoweza kuwa ni kwa Sababu mbalimbali kama vile kuaribika kwa seli zinazoendelea kufanya kazi kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Sababu za ugonjwa wa pumu, dalili zake na jinsi ya kujilinda na pumu.

Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa ambapo mgonjwa hushindwa kupumua vizuri na hupelekea matatizo ya kudumu kama haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Sababu za mtu kuwa na mfadhaiko au wasiwasi

Post hii inahusu sababu za mtu kuwa na mfadhaiko na wasiwasi, mfadhaiko ni nguvu fulani anayoisikia ndani mwake kwa sababu ya tukio la kushutushwa linalomfanya afikilie sana,

Soma Zaidi...
Namna ya kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo

Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa madonda ya koo,ni njia ambazo usaidia katika kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo.

Soma Zaidi...
Mbinu za kupunguza Magonjwa ya kuambukiza.

Posti hii inahusu zaidi mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza kiwango cha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa hiyo zifuatazo ni mbinu ambazo zinapaswa kutumika ili kupunguza kiwango cha magonjwa ya kuambukiza.

Soma Zaidi...
Fangasi wa kwenye uke.

Fangasi hawa kitaalamu wanafahamika kama vagina yeast infection na majina mengine ya kitaalamu ni kama vagina candidiasis, u vulvovaginal candidiasis au candidal vaginitis.

Soma Zaidi...
Dalilili za mimba Kuharibika

Kuharibika kwa mimba ni upotevu wa hiari wa ujauzito kabla ya wiki ya 20. Takriban asilimia 10 hadi 20 ya mimba zinazojulikana huisha kwa kuharibika kwa mimba. Lakini idadi halisi labda ni kubwa zaidi kwa sababu mimba nyingi hutokea mapema sana katika u

Soma Zaidi...
Ishara na dalilili za Mtoto mwenye kuhara

postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb

Soma Zaidi...
Maambukizi ya tezi za mate

Psti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi ya tezi za mate ambao hujulikana Kama MABUSHA (mumps) ni maambukizi ya virusi ambayo kimsingi huathiri tezi mojawapo ya jozi tatu za tezi za mate zinazotoa mate, zilizo chini na mbele ya masikio

Soma Zaidi...