Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea pale ambapo Ugonjwa wa ngiri unaposhindwa kutibiwa mapema.
Madhara ya kutotibu ugonjwa wa ngiri.
1. Kwanza kabisa tusipotibu ugonjwa wa ngiri tunaweza kusababisha kuwepo kwa Maambukizi kwa sababu kuna maji maji yanayotoka kwenye sehemu yenye tatizo na kuingia kwenye sehemu isiyokuwa na tatizo hali ambayo Usababisha Maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
2. Kuwepo kwa uvimbe unaobadilika badilika rangi.
Kwa sababu ya kutotibu ugonjwa huu wa ngiri na uvimbe utokea ambao ubadilika rangi kwa hiyo uvimbe huo na husipotibiwa unaweza kusababisha kuwepo kwa magonjwa ya kansa na kusababisha hali ya mgonjwa kuwa mbaya zaidi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kutibu Ugonjwa huu mara moja pale inapotokea ili kuepuka kuwepo kwa magonjwa makubwa
3. Kuwepo kwa maumivu makali na ya kila mara.
Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili hali hii usababisha kuwepo kwa maumivu makali kwenye kitovu, kwenye via vya uzazi na pia kwenye kifua, na kwenye kifua usababisha upumuaji kuwa wa shida zaidi, kwa hiyo mara nyingi utasikia wanaume wana lalamika kuhusu maumivu makali ambayo wana yasikia.na pia watoto wanakaa wanalia kwa sababu ya Maumivu makali kwenye kitovu.
4. Kuwepo hali ya kichefuchefu na kutapika.
Kwa kawaida tunajua wazi kuwa, ngiri usababishwa na utumbo kuhamia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye kifua, via vya uzazi, kitovu na sehemu mbalimbali kwa kufanya hivyo ufanya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula nao pia kubadilika hali ambayo Usababisha kichefu chefu na kutapika, mtoto akitapika sana usababisha kupungua kwa maji mwilini.
5. Kuwepo kwa homa kali.
Kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya mwili pamoja na maumivu homa nayo inawezekana kutokea ikiwa kali, kama ni kwa mtoto usababisha degedege kwa watoto wadogo na kuishiwa na maji mwilini.
6. Mgonjwa kuhisi kwenda chooni ila akifika huko utoa gesi tu, kwa hiyo na mmeng'enyo wa chakula nao uwa na matatizo hali ambayo upelekea mgonjwa kutoa gesi badala ya kinyesi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Bila shaka umeshawahi kujiuliza kuwa je mate yanaambukiza HIV ama laa. Na kama hayaambukizi ni kwa sababu gani. Sio mate tu pia kuhusu jasho kama pia linaweza kuambukiza ukimwi ama HIV. Wapo pia wanajiuliza kuhusu mkojo kama unaweza kuambukizwa HIV. Kar
Soma Zaidi...Post hii fupi inakwenda kukujuza juu ya tatizo la fangasi na nini ufanye.
Soma Zaidi...Posti hii inahusisha maambukizi ya virusi vya ukimwi .pia tutangalia njia za kujikinga na ugonjwa wa UKIMWI
Soma Zaidi...Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria. Jipu linaweza kutokea katika maeneo tofauti ya jino kwa sababu tofauti.
Soma Zaidi...Maambukizi ya Norovirus yanaweza kusababisha kutapika sana na Kuhara. Virusi huambukiza sana na kwa kawaida huenea kupitia chakula au maji ambayo yamechafuliwa na kinyesi wakati wa kutayarisha. Unaweza pia kuambukizwa kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wale ambao tayari wameshakuwa na tatizo la asidi mwilini, ni njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza tatizo hili au Mgonjwa anapoendelea kupata matibabu.
Soma Zaidi...Mfumo wa chakula unaweza kuwa dhaifu kwa sababu nyingi ikiwepo vyakula vyenyewe, vinywaji ama maradhi. Vipi kuhusu minyoo? Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
Soma Zaidi...Kaika post hii utakwenda kujifunz akuhusu dalili za homa ya ini. Dalili hizi sio lazima zitokee zote. Zinaweza zikatokea baadhi tu na ikatosha kuonjesha kuw auna homa ya ini.
Soma Zaidi...