picha

Madhara ya kutotibu ngiri.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea pale ambapo Ugonjwa wa ngiri unaposhindwa kutibiwa mapema.

Madhara ya kutotibu ugonjwa wa ngiri.

1. Kwanza kabisa tusipotibu ugonjwa wa ngiri tunaweza kusababisha kuwepo kwa Maambukizi kwa sababu kuna maji maji yanayotoka kwenye sehemu yenye tatizo na kuingia kwenye sehemu isiyokuwa na tatizo hali ambayo Usababisha Maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

 

2. Kuwepo kwa uvimbe unaobadilika badilika rangi.

Kwa sababu ya kutotibu ugonjwa huu wa ngiri na uvimbe utokea ambao ubadilika rangi kwa hiyo uvimbe huo na husipotibiwa unaweza kusababisha kuwepo kwa magonjwa ya kansa na kusababisha hali ya mgonjwa kuwa mbaya zaidi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kutibu Ugonjwa huu mara moja pale inapotokea ili kuepuka kuwepo kwa magonjwa makubwa 

 

3. Kuwepo kwa maumivu makali na ya kila mara.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili hali hii usababisha kuwepo kwa maumivu makali kwenye kitovu, kwenye via vya uzazi na pia kwenye kifua, na kwenye kifua usababisha upumuaji  kuwa wa shida zaidi, kwa hiyo mara nyingi utasikia wanaume wana lalamika kuhusu maumivu makali ambayo wana yasikia.na pia watoto wanakaa wanalia kwa sababu ya Maumivu makali kwenye kitovu.

 

4. Kuwepo hali ya kichefuchefu na kutapika.

Kwa kawaida tunajua wazi kuwa, ngiri usababishwa na utumbo kuhamia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye kifua, via vya uzazi, kitovu na sehemu mbalimbali kwa kufanya hivyo ufanya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula nao pia kubadilika hali ambayo Usababisha kichefu chefu na kutapika, mtoto akitapika sana usababisha kupungua kwa maji mwilini.

 

5. Kuwepo kwa homa kali.

Kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya mwili pamoja na maumivu homa nayo inawezekana kutokea ikiwa kali, kama ni kwa mtoto usababisha degedege kwa watoto wadogo na kuishiwa na maji mwilini.

 

6. Mgonjwa kuhisi kwenda chooni ila akifika huko utoa gesi tu, kwa hiyo na mmeng'enyo wa chakula nao uwa na matatizo hali ambayo upelekea mgonjwa kutoa gesi badala ya kinyesi.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3112

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Fahamu ugonjwa wa Varicose vein

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa vericose veini, hili ni tatizo ambalo utokea katika mzunguko wa damu hasa kwenye miguu.

Soma Zaidi...
Homa ya ini Nini Nini, na husababishwa na nini

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.

Soma Zaidi...
Tatizo la Kikohozi Cha muda mrefu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kikohozi cha muda mrefu ni zaidi ya kero. Kikohozi cha muda mrefu kinaweza kuharibu usingizi wako na kukuacha unahisi uchovu. Matukio makali ya kikohozi cha muda mrefu yanaweza kusababisha kutapika, kizunguz

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali.

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali ni ugonjwa ambao hutokea wakati mwili wako hutoa kiasi cha kutosha cha homoni fulani zinazozalishwa na tezi zako za adrenali. ugonjwa huu hutokea katika makundi yote ya umri na huathiri

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
tatizo la kushindwa kujaza misuli ya mwilini na kusinyaa kwa misuli mwilini

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.

Soma Zaidi...