Mtazamo wa uislamh juu ya ibada

Katika kipengele hich tutajifunza dhana ya ibada katika uislamu,maana ua ibada

5 .MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA IBADA.

5.1.Dhana ya Ibada katika Uislamu.

-     ‘Ibada’ linatokana na neno la Kiarabu ‘abd’ lenye maana ya mtumwa au mja.

-     Hivyo, ‘Ibada’ maana yake ni kumtumikia Mwenyezi Mungu (s.w) kikamilifu kwa kufuata maamrisho na kuacha makatazo yake yote.

-     Pia ‘ibada’ lina maana ya kila jambo (kitendo) analoliridhia Mwenyezi Mungu (s.w).

Rejea Qur’an (51:56).

 

-     Ibada maalumu kama vile; swala, funga, zaka, hija, n.k. ndio nyenzo kuu za humuandaa na humuwezesha muumini kumuabudu na kumtumikia Allah (s.w) kwa kila kipengele cha maisha ya binafsi, kifamilia na kijamii.

 

-     Kila jambo jema ni ibada inayomkurubisha mja kwa Allah (s.w) kama litafanywa kwa misingi ya Qur’an na Sunnah za Mtume (s.a.w).

     

Jaabir na Hudhaifa (r.a) wameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema:

“Kila kitendo kizuri ni sadaqat” (Bukhari na Muslim).

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Tawhid Main: Dini File: Download PDF Views 3776

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰2 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Kuamini vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)..

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Nguzo za imani

Zifuatazo Ni nguzo za imani (EDK form 2: elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Ni Ipi Elimu yenye manufaa

Elimu inaweza kugawanyika katika makundibmrngine mawili ambayo ni elimu yenye manufaa na elimubisiyi na manufaa

Soma Zaidi...
Sifa za wanafiki zilizotajwa katika surat at-Tawbah

Mwenyezi Mungu amekuwia radhi (amekusamehe).

Soma Zaidi...
Mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu

Ni upi mgawanyo sahihi wa elimu katika uislamu? Nini naana ya elimu ya muongizo. Je elimu ya mazingiravmaana yakeni nini. Ni upi utofauti wa elimu ya muongozo na elimu ya mazingira?

Soma Zaidi...
Nafasi ya Elimu katika uislamu

Je ni ipi nafasi ya Elimukatika dini ya uislamu?

Soma Zaidi...
NGUZO ZA IMAN

Jifunze tawhid yaani kumpwekesha Allah subhaanah wata'aala

Soma Zaidi...