Mtazamo wa uislamh juu ya ibada

Mtazamo wa uislamh juu ya ibada

Katika kipengele hich tutajifunza dhana ya ibada katika uislamu,maana ua ibada

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

5 .MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA IBADA.

5.1.Dhana ya Ibada katika Uislamu.

-     ‘Ibada’ linatokana na neno la Kiarabu ‘abd’ lenye maana ya mtumwa au mja.

-     Hivyo, ‘Ibada’ maana yake ni kumtumikia Mwenyezi Mungu (s.w) kikamilifu kwa kufuata maamrisho na kuacha makatazo yake yote.

-     Pia ‘ibada’ lina maana ya kila jambo (kitendo) analoliridhia Mwenyezi Mungu (s.w).

Rejea Qur’an (51:56).

 

-     Ibada maalumu kama vile; swala, funga, zaka, hija, n.k. ndio nyenzo kuu za humuandaa na humuwezesha muumini kumuabudu na kumtumikia Allah (s.w) kwa kila kipengele cha maisha ya binafsi, kifamilia na kijamii.

 

-     Kila jambo jema ni ibada inayomkurubisha mja kwa Allah (s.w) kama litafanywa kwa misingi ya Qur’an na Sunnah za Mtume (s.a.w).

     

Jaabir na Hudhaifa (r.a) wameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema:

“Kila kitendo kizuri ni sadaqat” (Bukhari na Muslim).

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Tawhid Main: Dini File: Download PDF Views 3361

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Tawhiid
Tawhiid

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Dalili za kuwepo mwenyezi Mungu
Dalili za kuwepo mwenyezi Mungu

Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Ni lipi lengo la Elimu katika yislamu?
Ni lipi lengo la Elimu katika yislamu?

Ni lipi lengo kuu la Elimu katika uislamu (Edk form 1 Dhanaya Elimu)

Soma Zaidi...
Kuamini vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)
Kuamini vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)

Nguzo za Imani (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mwanadamu hawezi kuishi bila dini kutokana na vipawa alivyooewa na Allah
Mwanadamu hawezi kuishi bila dini kutokana na vipawa alivyooewa na Allah

Je ni kwa nini mwanadamu hawezi kuishi bila ya kuwa na dini?. Vipawa alivyopewa na Allahni jibu tosha juu ya swali jilo

Soma Zaidi...
Umbile la mbingu na ardhi linavyothibitisha uwepo wa Allah
Umbile la mbingu na ardhi linavyothibitisha uwepo wa Allah

Allah anatutaka kuchunguza umbile na mbingu na ardhi ili kupata mazingatio.

Soma Zaidi...
Tofauti kati ya Quran na vitabu vingine vya mwenyezi Mungu
Tofauti kati ya Quran na vitabu vingine vya mwenyezi Mungu

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Sifa za wanafiki zilizotajwa katika surat at-Tawbah
Sifa za wanafiki zilizotajwa katika surat at-Tawbah

Mwenyezi Mungu amekuwia radhi (amekusamehe).

Soma Zaidi...