Mtazamo wa uislamh juu ya ibada
Katika kipengele hich tutajifunza dhana ya ibada katika uislamu,maana ua ibada
5 .MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA IBADA.
5.1.Dhana ya Ibada katika Uislamu.
- Maana ya Ibada.
- ‘Ibada’ linatokana na neno la Kiarabu ‘abd’ lenye maana ya mtumwa au mja.
- Hivyo, ‘Ibada’ maana yake ni kumtumikia Mwenyezi Mungu (s.w) kikamilifu kwa kufuata maamrisho na kuacha makatazo yake yote.
- Pia ‘ibada’ lina maana ya kila jambo (kitendo) analoliridhia Mwenyezi Mungu (s.w).
Rejea Qur’an (51:56).
- Uhusiano wa Ibada maalumu na maisha ya kila siku.
- Ibada maalumu kama vile; swala, funga, zaka, hija, n.k. ndio nyenzo kuu za humuandaa na humuwezesha muumini kumuabudu na kumtumikia Allah (s.w) kwa kila kipengele cha maisha ya binafsi, kifamilia na kijamii.
- Kila jambo jema ni ibada inayomkurubisha mja kwa Allah (s.w) kama litafanywa kwa misingi ya Qur’an na Sunnah za Mtume (s.a.w).
Jaabir na Hudhaifa (r.a) wameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema:
“Kila kitendo kizuri ni sadaqat” (Bukhari na Muslim).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Sifa za wanafiki zilizotajwa katika surat at-Tawbah
Mwenyezi Mungu amekuwia radhi (amekusamehe).
Soma Zaidi...Udhaifu wa mtazamo wa makafiri juu ya dini dhidi ya mtazamo wa uislamu
Somo Hili linaeleza kuhusu mtazamo wa uislamu juu ya dini (EDK form2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Ni Ipi Elimu yenye manufaa
Elimu inaweza kugawanyika katika makundibmrngine mawili ambayo ni elimu yenye manufaa na elimubisiyi na manufaa
Soma Zaidi...KUAMINI MITUME WA ALLAH (S.W)
Mtu hawi Muumini wa kweli mpaka awe na yakini juu ya Mitume wa Allah (s.
Soma Zaidi...Nguzo za imani katika uislamu na mafunzo yake
Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nuzo 6 za imani ya uislamu na pia utajifunz akuhusu mafunzo yanayoweza kupatikana kwenye Nguzo hizi.
Soma Zaidi...Nguzo za Imani kwa mujibu wa mafunzo ya kiislami.
Makala hii inakwenda kukufundisha kuhusu nguzo sita za imani katika Uislamu.
Soma Zaidi...