Kwenye kipengele hichi tutajifunza ni nani muislamu.
​​​​​​​Nani Muislamu.
- Ni yule anayemnyenyekea Allah (s.w) kwa kufuata kikamilifu sheria na kanuni zake zote.
- Ni yule anayeishi maisha yake yote kwa kuchunga bara bara mipaka ya Allah (s.w) kwa kufanya yale yote aliyoamrishwa na kuacha yote aliyokatazwa kwayo.
Rejea Qur’an (2:208), (3:102).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mwanaadamu ametunukiwa neema mbali mbali na Mola wake kuliko viumbe wengine wote kama tuanvyojifunza katika aya mbali mbali za Qur'an.
Soma Zaidi...Kwa nini katika uislamu elimu imepewa nafasi ya kwanza ( EDK form 1 Dahana ya elimu)
Soma Zaidi...Ni upi mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu (EDK form 1: mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...