Kwenye kipengele hichi tutajifunza ni nani muislamu.
​​​​​​​Nani Muislamu.
- Ni yule anayemnyenyekea Allah (s.w) kwa kufuata kikamilifu sheria na kanuni zake zote.
- Ni yule anayeishi maisha yake yote kwa kuchunga bara bara mipaka ya Allah (s.w) kwa kufanya yale yote aliyoamrishwa na kuacha yote aliyokatazwa kwayo.
Rejea Qur’an (2:208), (3:102).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika Qur'an tunakumbushwa neema mbali mbali walizotunukiwa Bani Israil (Mayahudi) na Mola wao ili kuwawezesha kusimamisha Ufalme wa Allah(s.
Soma Zaidi...Katika kipengele hich tutajifunza dhana ya ibada katika uislamu,maana ua ibada
Soma Zaidi...Allah hutumia maandishi kuwafundisha wanadamu. Mfano mzuri ni nabii Musa ambaye alipewa vibao vya maandishi.
Soma Zaidi...Kuua nafsi bila ya Haki, ni kuiua nafsi isiyo na kosa linalostahiki hukumu ya kifo.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Si zinaa tu iliyoharamishwa bali hata yale yote yanayotengeneza mazingira na kuchochea kufanyika kwa zinaa nayo pia yameharamishwa.
Soma Zaidi...